Sasaivi hata Trafiki na polisi waruhusiwe kuvaa hijab na nikabu mbona waroma wanavaa rozali shuleni wakati kisheria haziruhusiwi.Hata mambo ya udini yanaathiri sana kwenye vichwa vya watu ukichukulia neg-
Mtoto wa Dada ako anaendeleaje saizi ?Weka namba yake hapa mabaharia tuchangamkie fursa ya uncle wako aliefaulu msalato akahamishiwa kusikojulikana.
Sent using
Jamii Forums mobile app