fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
wivu wa kijinga huoSifa za kijinga
hii haihusi matokeo ya mechi bali ubunifu wetu yanga upo juu sana,mpende msipende,hutaki kajambe3 - 0 ft
kajambe3 - 0 ft
Watu wanajenga timu, wewe unasema ni sifa za kijinga..?? Endeleeni kusubiri pakucheSifa za kijinga
Timu inajengwa kwa kufungua tawiWatu wanajenga timu, wewe unasema ni sifa za kijinga..?? Endeleeni kusubiri pakuche
Yanga wakijiunganisha na kupata ruzuku serikalini, Simba wanalalamika kuwa Serikali inawabagua wakati wao hawana initiative ya kutafuta hizo ruzuku.Watu wanajenga timu, wewe unasema ni sifa za kijinga..?? Endeleeni kusubiri pakuche
au labda kwa kufungua whatsapp channel na kupandisha kibegi mlimaniTimu inajengwa kwa kufungua tawi
Hapana, inajengwa kwa kuwasajili misomisondoTimu inajengwa kwa kufungua tawi
Hawaoni kama tumeipeleka benki ya Serikali huko RSA... Fursa zinatafutwa, hawalijui hiliYanga wakijiunganisha na kupata ruzuku serikalini, Simba wanalalamika kuwa Serikali inawabagua wakati wao hawana initiative ya kutafuta hizo ruzuku.
hujui kuwa tunaongeza kipato kupitia ada za wanachama?Timu inajengwa kwa kufungua tawi
Kwa ubunifu Hersu yupo juu sanahii haihusi matokeo ya mechi bali ubunifu wetu yanga upo juu sana,mpende msipende,hutaki kajambe
Timu inajengwa kwa kufungua tawi