fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Hili halina ubishi,jinsi walivyofungua tawi sauz,tena kwa ubunifu wa kwenda na crdb,na toka wamefika huko,wana shughuli za kila aina,rais wetu,hersi said kaongea na vyombo kadhaa vya habari.safi sana