shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,799
- 4,312
Soma thread yote nimeelezeaa maana ya ushindani uliopo englandEPL ina ushindani gani wakati hadi ka Leicester kamekua bingwa, yani eti mchovu wa kushuka daraja anakua bingwa.......ubora wenu uleteni UEFA au Europa basi tuuone
PoaUEFA haipimi ligi, inapima wawakilishi wa Ligi
So hapo ndio mimi na wewe tunapo tofautiana
Kwangu ligi ni mashindano, na mashindano yenye upinzani mkali ndio bora.
Haiwezekani ligi miaka 8, timu moja imechukua mara 6 halafu useme ni bora.
Kuhusu kufanya vzuri au vibaya zipi sababu zake ambazo ni nje ya ubora, nazo ni ratiba ya EPL imekaa vibaya na kwa kuwa la liga hakuna ushindani timu zina focus kwenye makombe mengine kama EUROPA na EUFA kubwa.
Kweli kabisa mkuu hata ukiona Barcelona anacheza na Sevilla unaona mpira hauna radha sasa ukiona hata Leicester anacheza na Sunderland lazima ukodoe machoEPL iwe Mbayaa iwe mbovuuu iwe Na Tm Mbovu lakin Hamuach kwenda vibanda umiza kuziangali hzo hzo !!!
Madrid VP uko nijuzeni wadauWe kweli poyoyo na pimbi tu, Liverpool? Bayern Munich je? Juventus je? Shida mpira hamjui na mmeanza kushabikia mpira juzi juzi tu
basi sote mapoyoyo... we ndio kwa kutaja izo timu ndio umekuwa umeanza kufatilia mpira zamani? 😀 You are joking right? Mbona hukuitaja AC Milan? Lengo hapo sio kuzitaja timu zote, bali ni kutaja mifano ya big teams, saa nyengine sio lazima uwataje wanyama wote ndio mtu akuelewa unapomwambia maana ya mnyama. Au ulotaka pia nikutajie timu zote ambazo si kubwa nianze na wigan, bournmouth nikuandikie zote ndio uelewe? Kujifanya much know kumbe hamna kituWe kweli poyoyo na pimbi tu, Liverpool? Bayern Munich je? Juventus je? Shida mpira hamjui na mmeanza kushabikia mpira juzi juzi tu
We umeona PSG ndio kapata muelekeo? Kisa kamfunga Barca 4? Nawasubiri museme PSG anachukua kombe la UEFA mara hii... hahahah... kwa kigezo cha kumfunga barca 4.Yaan wewe hapo unaweka majina yaliyokosa mwelekeo unasema timu kubwaa yaana unaiweka arsenal mpaka sasa kapigwa 3:1 na bayern na unamsahau bayern
Hakuna ratiba mbaya kama ya la liga kama ulikua ujui sasa, kusimamisha ligi kwa karibia wiki tatu kupisha sikukuu ni mbaya sana maana hapa mchezaji ana loose fitness na kama unavojua ili uwe fit kwenye soka inabidi ucheze mpira kila wiki, hii ina favor EPL kabisa lakini mwisho wa siku mkija mashindano nje ya EPL mnaruka ruka hovyo tuUEFA haipimi ligi, inapima wawakilishi wa Ligi
So hapo ndio mimi na wewe tunapo tofautiana
Kwangu ligi ni mashindano, na mashindano yenye upinzani mkali ndio bora.
Haiwezekani ligi miaka 8, timu moja imechukua mara 6 halafu useme ni bora.
Kuhusu kufanya vzuri au vibaya zipi sababu zake ambazo ni nje ya ubora, nazo ni ratiba ya EPL imekaa vibaya na kwa kuwa la liga hakuna ushindani timu zina focus kwenye makombe mengine kama EUROPA na EUFA kubwa.
Mimi naangali EPL kwa ajili ya ku bet tu Ila huwa naangalia la liga kuona jinsi soka safi la pasi na ufundi mwingi linavyotandazwa.......Sasa subiri uone Sevilla anavyomchana chana bingwa wa dhaifu wa EPL leicesterKweli kabisa mkuu hata ukiona Barcelona anacheza na Sevilla unaona mpira hauna radha sasa ukiona hata Leicester anacheza na Sunderland lazima ukodoe macho
Umejaza ma team ya EPL ova ni bora hapo Ila hakuna kitu, hapo naona umefuata mahaba na sio umakinibasi sote mapoyoyo... we ndio kwa kutaja izo timu ndio umekuwa umeanza kufatilia mpira zamani? 😀 You are joking right? Mbona hukuitaja AC Milan? Lengo hapo sio kuzitaja timu zote, bali ni kutaja mifano ya big teams, saa nyengine sio lazima uwataje wanyama wote ndio mtu akuelewa unapomwambia maana ya mnyama. Au ulotaka pia nikutajie timu zote ambazo si kubwa nianze na wigan, bournmouth nikuandikie zote ndio uelewe? Kujifanya much know kumbe hamna kitu
Yaan wewe Klopp na Guardiola walalamikie kutokuwa na mapumziko halafu wewe hapa tandale useme ndio yana msaada!!?Hakuna ratiba mbaya kama ya la liga kama ulikua ujui sasa, kusimamisha ligi kwa karibia wiki tatu kupisha sikukuu ni mbaya sana maana hapa mchezaji ana loose fitness na kama unavojua ili uwe fit kwenye soka inabidi ucheze mpira kila wiki, hii ina favor EPL kabisa lakini mwisho wa siku mkija mashindano nje ya EPL mnaruka ruka hovyo tu
Unaongea as if kila timu haina wachezaji 22 kwenye kikosiYaan wewe Klopp na Guardiola walalamikie kutokuwa na mapumziko halafu wewe hapa tandale useme ndio yana msaada!!?
Ligi ina fatique, na kipindi ambacho ligi zengine hupumzika bas EPL wao hucheza kila baada ya saa 48, ndio maana wana pata sana injuries na wana ingia Eufa wakiwa wamechoka.
Kupumzika kuna saidia sana. Bosi
Winter break is the big differnce especially kama ligi haina ushindani safi sana.
Baelezeee..na tulibeba kombe nyumbani kwa bayernNaongelea ushindani, wana giants clubs kama madrid na barcelona so hiyo ndio advantage yao, ukisema hata ufaransa watakuwa ligi bora kwani wana PSG, au German watakuwa ligi bora kwani wana Bayern Munich.
Kuwa na two giants hakumaanishi ndio ligo bora.
Pia
Chelsea huwa ana mfunga barcelona sana tu
Usituchezee wewe tumewapa tatu na la kwenu moja... shwain we... Sema timu zingine ila sio Real Madrid... BArca wacha afungwe atolewe hili kombe ni Back to back Mwaka huu leo tena...Napoli 1 - 0 Real Madrid , itafahamika tu .
sevila na bilbao unawakumbuka,?[emoji1] [emoji1] [emoji1]Naongelea ushindani, wana giants clubs kama madrid na barcelona so hiyo ndio advantage yao, ukisema hata ufaransa watakuwa ligi bora kwani wana PSG, au German watakuwa ligi bora kwani wana Bayern Munich.
Kuwa na two giants hakumaanishi ndio ligo bora.
Pia
Chelsea huwa ana mfunga barcelona sana tu
Kwanini shabiki wa EPL mnatumia nguvu kubwa kuonyesha ligi ni bora.?Mtoa mada ni kiaz, anatumia mfano wa Barcelona kupigwa na PSG kudharau laliga, hatumii arsenal kuiongelea epl.