Jamani hv ukwaju na ubuyu vina nafasi gani kwenye mwili wa binadamu.
1) Chanzo kizuri cha viuasumu mwilini
antioxidants ambavyo huzuia Saratani
(cancer)
2) Chanzo cha Vitamini B na C vile vile
carotentes
Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, h
asa homa ya malaria na homa ya matumbo
3) Huulinda mwili dhidi ya mafua na kero za
mafua kooni
Husaidia myeyusho na mmengenyo wa
chakula na kuondosha kuvimbiwa
4) Husaidia kutibu matatizo ya nyongo (bile
disorders)
5) Husaidia kurahisisha choo (laxative)
6) Husaidia kupunguza wingi wa lehemu
(cholesterol) na hivyo kuimarisha moyo
7) Husaidia ngozi kuwa nyororo, vile vile
husaidia ngozi inayopona baada ya kuungua
au yenye vidonda
8) Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa
watoto wadogo)
9) Husaidia ngozi kuwa nyororo, vile vile
husaidia ngozi inayopona baada ya kuungua
au yenye vidonda
10) Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa
watoto wadogo)
www.hassan.com