Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je kuna mapishi ya wali waweza tia juisi ya ukwaji au ubuyu ikanogo maana napenda sana hizo juisi natamani kupika hata kwenye chakula?
Lol, we jaribu tu halafu uje utupe mshindo nyuma hapa
juice ya ubuyu na ukwaju na hiliki dah....tamu mno
HHahahaha huo wali wa ukwaju au ubuyu utalika kweli!!!!!
yaani ni sawa na wali utie ndimu.hahahaaaaa uuuwiiiiiiiii.
Jamani hv ukwaju na ubuyu vina nafasi gani kwenye mwili wa binadamu.