Ubuyu wa Diamond, Ruge na Kusaga

Ukitaka kujua mwanamke mjinga asiyejielewa hata kwenye maisha yake au mwanaume mpumbavu...msikilize vizuri anamtetea mange kwa asilimia ngapi...kama ni 5% ujue ndo kiwango cha ujinga wake..ukiona anamtetea mange 100% ujue kabisa ni loser,ana uwezo mdg wa kufikiria,yupo yupo na hajielewi kbs....hapa kwenye nyuzi hizi ndo najuaga uwezo wanawake wa humu na wanaume......najuaga majinga yote kwahiyo hata nkikutana nayo kwenye nyuzi nyingine najua hayana jipya
 
Tena wa kujiangalia zaidi ni Mond................... maana hata Shigongo keshamualart kuhusu anguko lake. just stay turn na atakayemuangusha ni Aslay let us see
Hivi unafualitiaga mziki kweli??si ajabu hujui ht nyimbo moja ya diamond wala huyo aslay,kama unajua nyimbo moja tu kati ya aslay au mond basi una uwezo mdg sana wa kuchambua mambo sanaaaaaaaa yaani utakiwi hata kuchangia mada humu zaidi ya kusoma na kujifunza..
 
Kila mwaka wanampandisha msanii yoyote kushindana na dai ila mwisho wa siku wasanii wao wanaishia level za akina harmonize. Kwann aslay na sio ali kiba kama walivyokua wanampamba aiseee
Ali kiba ana uwezo mdg[emoji23][emoji23]...kwenye game msumbufu ni daimond tu...ndo mana darassa na aslay wanapambanishwa na mond...na kiba ajue kbs kama watu wataendelea kumpambanisha simba na mbuzi(aslay) basi waelewe umuhimu wa kiba hautakuwepo tena na hapo ndo kutembelea nyota ya simba kutaisha...
 
Exactly,mange hana anayempenda Tanzania nzima wote anawachukia,huko marekan anaichukia familia ya mumewe,na umoja wa watanzania huko. Kila mtu anamuona mbaya kama kamsababishia anguko lake na simulizi zake za kuishi kitajiri.
Andiko lako linamaana sana kwa mtu asiyejua maisha ya Mange kwanini anachukia watu,na siku zote yeye anachukia waliomzidi uwezo tu kumbe ndoto zake za kuishi kitajiri zimeyeyuka alijua kuishi marekani, kuolewa na mzungu ndio kutoboa kimaisha na hiyo akili mpaka sasa anayo bado ndio maana anasema hawezi kudate na mtu mweusi yaani yeye bado anaamini mzungu ndie mwenye hela na mafanikio yake yapo chini ya bwana wake tajiri atakae muoa na sio juhudi zake binafsi.
 
kama kuna mtanzania anamuelewa huyu malaya bado tunasafari ndefu kiukweli
 
naam boss ..naona yule ni mwanaume kama asemavyo ila kaushangaza kumuita mange ..da mange..hahaa
Anaonesha ni mpenda ubuyu sana yule bwana, hakika nilipata utata kidogo
 
Mange anatafuta kick kwa kuwachafua watu maarufu, pia naona anatafuta ticket ya kuwaangusha WSB na Cloud media kwa kuwatengenezea mgogoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…