AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,646
- 2,378
Ina maana nyie Wazanzibar wenzangu hampo au dharau? Kwa hisani yenu tuelekezeni jamani, mana wengine sie tuna mimba changa so plzzzzzzz jamani,
Ndo wapi hapo? Nielekeze
Hii ndio Jamii Forum kisima cha yote ingawa utanyimwa Elimu lkn wako watakaokupa hapa Mrs Kharusy nampa maksi ... kwani anaelewa ila amekupa Hint ukahangaikeKama kuna mtu yoyote anayejua jinsi ya kutengeneza ubuyu ule wa rangi wenye pilipili wanauita ubuyu wa zanzibar anielekeze pls
jc--I hv n idea..unateleka maji glas moja na sukari nusu kg unatengeza shira. Unaweka tangawizi kidogo na pili manga , arki unayopenda potessa, vanilla au yyt. Jinsi yakuijua km imewiva chukua kibakuli weka maji kidogo halafu weka tone la shira ndani ya kibakuli likichawanyika haijawiva km litaenda chini moja kwa moja itakua imewiva..unachanganya na mabuyu yako uliyochambua unapeta peta hadi yanakauka. Wengine wakati wa kupeta hapa huongeza sukari kidogo iliosagwa....recipe ya babu issa hii......kiding@
Ilinibidi nifike hadi pale kiponda nijionee mwenyewe. Afu siku hizi wanazidi kupandisha bei
Hii ndio Jamii Forum kisima cha yote ingawa utanyimwa Elimu lkn wako watakaokupa hapa Mrs Kharusy nampa maksi ... kwani anaelewa ila amekupa Hint ukahangaike
jc--
- chambua Ubuyu km 2kg wako kuondoa nyuzinyuzi na mwishowe
- uutenge unga wake na
- ubuyu wenye tete (mbegu)
- chukua Sukari nusu kilo,Ice sugar (sukari atificially) rangi ya Ice cream, Vanila au hiliki,
- Sufuria kavu kabisa
- Moto, mwiko, na maji kidogo
Hatua za kufanya
acha upoe kwa muda
- anza kuikaanga sukari hiyo nusu kilo ikiwa kavu mapaka iyeyuke
- ongeza maji km kikombe cha chai tu
- changa viungo vyako km vanila, rangi ya Ice-crfam, pilipili
- hakikisha mpaka linatokea povu kubwa ndani ya viungo hivyo.
- sasa weka unga wa ubuyu na ukorogr mpaka litokee liUji zito
- Epua mara moja na uuingize ubuyu wako wote ule wenye mbegu na koroga chini / nje ya moto kwa mwiko.
- Ni vizuri ukawa unapepeta hiyo sufuria ili ubuyu usivunjikevunjike au knatana km ugali
Na sasa ubuyu wako ni tayari wa matumizi ya kumumusa
Unatengenezwa znz kwa babu issa kama mtu unataka kujifunza ana charge laki moja kwa wiki...
I hv n idea..unateleka maji glas moja na sukari nusu kg unatengeza shira. Unaweka tangawizi kidogo na pili manga , arki unayopenda potessa, vanilla au yyt. Jinsi yakuijua km imewiva chukua kibakuli weka maji kidogo halafu weka tone la shira ndani ya kibakuli likichawanyika haijawiva km litaenda chini moja kwa moja itakua imewiva..unachanganya na mabuyu yako uliyochambua unapeta peta hadi yanakauka. Wengine wakati wa kupeta hapa huongeza sukari kidogo iliosagwa....recipe ya babu issa hii......kiding@
Mrs Kharusy unaweza toa ratios za hivyo vitu?
Thanks for reply, je ubuyu au hilo shira lina chemshwa? Na je inawezekana kuweka maziwa?. Please usinchoke nataka kufanya practically na ntakupa mrejesho.Ukishakuuchambua Ubuyu wako, weka taratibu kwenye shira ili uweze kukisia...usiumimine wote kwa pamoja.
Kipimo exactly sikijui cha mabuyu mm hukisia tu
Thanks for reply, je ubuyu au hilo shira lina chemshwa? Na je inawezekana kuweka maziwa?. Please usinchoke nataka kufanya practically na ntakupa mrejesho.
MdogomdogoMkuu hio shira ukiitia maziwa badala ya maji nahisi itakua fagi. Ww chemshia na maji tu.
Na ubuyu hua mkavu ila yapo mapishi ya ubuyu wa rojo
Mdogomdogo