AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,646
- 2,378
Ina maana nyie Wazanzibar wenzangu hampo au dharau? Kwa hisani yenu tuelekezeni jamani, mana wengine sie tuna mimba changa so plzzzzzzz jamani,
Mi niko mbali kidoogo na jiji la bandar salama nikijaaliwa kurudi salama ntakutumia kashata za ubuyu hizo ni tamu kuliko.