Ubuyu wa Zanzibar

Ubuyu wa Zanzibar

Ina maana nyie Wazanzibar wenzangu hampo au dharau? Kwa hisani yenu tuelekezeni jamani, mana wengine sie tuna mimba changa so plzzzzzzz jamani,

Mi niko mbali kidoogo na jiji la bandar salama nikijaaliwa kurudi salama ntakutumia kashata za ubuyu hizo ni tamu kuliko.
 
Kama kuna mtu yoyote anayejua jinsi ya kutengeneza ubuyu ule wa rangi wenye pilipili wanauita ubuyu wa zanzibar anielekeze pls
Hii ndio Jamii Forum kisima cha yote ingawa utanyimwa Elimu lkn wako watakaokupa hapa Mrs Kharusy nampa maksi ... kwani anaelewa ila amekupa Hint ukahangaike
I hv n idea..unateleka maji glas moja na sukari nusu kg unatengeza shira. Unaweka tangawizi kidogo na pili manga , arki unayopenda potessa, vanilla au yyt. Jinsi yakuijua km imewiva chukua kibakuli weka maji kidogo halafu weka tone la shira ndani ya kibakuli likichawanyika haijawiva km litaenda chini moja kwa moja itakua imewiva..unachanganya na mabuyu yako uliyochambua unapeta peta hadi yanakauka. Wengine wakati wa kupeta hapa huongeza sukari kidogo iliosagwa....recipe ya babu issa hii......kiding@
jc--
  • chambua Ubuyu km 2kg wako kuondoa nyuzinyuzi na mwishowe
  • uutenge unga wake na
  • ubuyu wenye tete (mbegu)
  • chukua Sukari nusu kilo,Ice sugar (sukari atificially) rangi ya Ice cream, Vanila au hiliki,
  • Sufuria kavu kabisa
  • Moto, mwiko, na maji kidogo

Hatua za kufanya
  • anza kuikaanga sukari hiyo nusu kilo ikiwa kavu mapaka iyeyuke
  • ongeza maji km kikombe cha chai tu
  • changa viungo vyako km vanila, rangi ya Ice-crfam, pilipili
  • hakikisha mpaka linatokea povu kubwa ndani ya viungo hivyo.
  • sasa weka unga wa ubuyu na ukorogr mpaka litokee liUji zito
    • Epua mara moja na uuingize ubuyu wako wote ule wenye mbegu na koroga chini / nje ya moto kwa mwiko.
    • Ni vizuri ukawa unapepeta hiyo sufuria ili ubuyu usivunjikevunjike au knatana km ugali
acha upoe kwa muda
Na sasa ubuyu wako ni tayari wa matumizi ya kumumusa
 
Last edited by a moderator:
Hii ndio Jamii Forum kisima cha yote ingawa utanyimwa Elimu lkn wako watakaokupa hapa Mrs Kharusy nampa maksi ... kwani anaelewa ila amekupa Hint ukahangaike
jc--
  • chambua Ubuyu km 2kg wako kuondoa nyuzinyuzi na mwishowe
  • uutenge unga wake na
  • ubuyu wenye tete (mbegu)
  • chukua Sukari nusu kilo,Ice sugar (sukari atificially) rangi ya Ice cream, Vanila au hiliki,
  • Sufuria kavu kabisa
  • Moto, mwiko, na maji kidogo

Hatua za kufanya
  • anza kuikaanga sukari hiyo nusu kilo ikiwa kavu mapaka iyeyuke
  • ongeza maji km kikombe cha chai tu
  • changa viungo vyako km vanila, rangi ya Ice-crfam, pilipili
  • hakikisha mpaka linatokea povu kubwa ndani ya viungo hivyo.
  • sasa weka unga wa ubuyu na ukorogr mpaka litokee liUji zito
    • Epua mara moja na uuingize ubuyu wako wote ule wenye mbegu na koroga chini / nje ya moto kwa mwiko.
    • Ni vizuri ukawa unapepeta hiyo sufuria ili ubuyu usivunjikevunjike au knatana km ugali
acha upoe kwa muda
Na sasa ubuyu wako ni tayari wa matumizi ya kumumusa

Hahaha..sikumuacha akahangaike hivo ndo nijuavyo mm. Anyway vizur na ww umetupa ilu kidogo sikuwahi jua km hio sukar inaunguzwa km ya puding kwahio one day ntaajaribu kuinguza nione utofauti.
 
Last edited by a moderator:
Asanteni jamani. Pia baada ya kusumbuka sana kutafuta huu ujuzi,juzi nimepata hii video from youtube. Inaonyesha step by step. Fungua hii link
http://m.youtube.com/watch?v=2tgSTVRlZOs , kama nimekosea kuweka link nenda youtube search how to make.mabuyu. thanx kwa wote mliotoa mawazo yenu hapa.
 
  • Thanks
Reactions: Kbd
Dah JF kuna raha zake. Asanteni woote tumepata elimu. Halafu ubuyu ni dawa jamani si kwamba ni kitu cha kumumunya kwa starehe ni kwa afyaa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sasa mwenye kufahamu kutengeneza kashata za ubuyu atujuze
 
I hv n idea..unateleka maji glas moja na sukari nusu kg unatengeza shira. Unaweka tangawizi kidogo na pili manga , arki unayopenda potessa, vanilla au yyt. Jinsi yakuijua km imewiva chukua kibakuli weka maji kidogo halafu weka tone la shira ndani ya kibakuli likichawanyika haijawiva km litaenda chini moja kwa moja itakua imewiva..unachanganya na mabuyu yako uliyochambua unapeta peta hadi yanakauka. Wengine wakati wa kupeta hapa huongeza sukari kidogo iliosagwa....recipe ya babu issa hii......kiding@

Mrs Kharusy unaweza toa ratios za hivyo vitu?
 
Ukishakuuchambua Ubuyu wako, weka taratibu kwenye shira ili uweze kukisia...usiumimine wote kwa pamoja.
Kipimo exactly sikijui cha mabuyu mm hukisia tu
Thanks for reply, je ubuyu au hilo shira lina chemshwa? Na je inawezekana kuweka maziwa?. Please usinchoke nataka kufanya practically na ntakupa mrejesho.
 
Thanks for reply, je ubuyu au hilo shira lina chemshwa? Na je inawezekana kuweka maziwa?. Please usinchoke nataka kufanya practically na ntakupa mrejesho.

Mkuu hio shira ukiitia maziwa badala ya maji nahisi itakua fagi. Ww chemshia na maji tu.
Na ubuyu hua mkavu ila yapo mapishi ya ubuyu wa rojo
 
Mkuu hio shira ukiitia maziwa badala ya maji nahisi itakua fagi. Ww chemshia na maji tu.
Na ubuyu hua mkavu ila yapo mapishi ya ubuyu wa rojo
Mdogomdogo
 

Attachments

  • IMG_20150421_074032.jpg
    IMG_20150421_074032.jpg
    202.5 KB · Views: 406
  • IMG_20150421_073929.jpg
    IMG_20150421_073929.jpg
    212.3 KB · Views: 481
  • IMG_20150421_073907.jpg
    IMG_20150421_073907.jpg
    171.5 KB · Views: 451
Back
Top Bottom