Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hi ni habari katika mtandao wa The Africareport.com ambapo imeripoti kuwa, uchache wa abiria na volume mdogo ya mizigo plus madhara ya COVID19, kumesababisha reli hiyo kuendesheshwa kwa hasara na sasa wanashindwa kulipa mkopo uliotumika kujenga reli hiyo.
Habari hii inaeleza kuwa, tatizo lilianza kabla hata Covid haijaingia na ujio wa Covid umechangia tu tatizo kuwa kubwa.
Swali:Kama Kenya yenye viwanda vingi kutuzidi, wanakuwa na uchache wa mizigo na kupelekea shirika lao kujiendesha kwa hasara,sisi wenye viwanda vichache ndio tutamudu kuendesha SGR yetu kwa faida?
Hata kama mkopo uliotumika kujenga reli hii utakuwa haulipwi kutokana na mapato ya kuendesha reli hii, tunaweza kukwepa hasara iwapo volume ya mizigo ni moja ya chanzo kikuu cha mapato na huku viwanda hatuna vya kutosha?
Naiona hatari ya serikali kubeba mzigo wa SGR hiii sambambamba na ATCL.
Muda utasema.
Kenya: China faces a critical test in train debt
Habari hii inaeleza kuwa, tatizo lilianza kabla hata Covid haijaingia na ujio wa Covid umechangia tu tatizo kuwa kubwa.
Swali:Kama Kenya yenye viwanda vingi kutuzidi, wanakuwa na uchache wa mizigo na kupelekea shirika lao kujiendesha kwa hasara,sisi wenye viwanda vichache ndio tutamudu kuendesha SGR yetu kwa faida?
Hata kama mkopo uliotumika kujenga reli hii utakuwa haulipwi kutokana na mapato ya kuendesha reli hii, tunaweza kukwepa hasara iwapo volume ya mizigo ni moja ya chanzo kikuu cha mapato na huku viwanda hatuna vya kutosha?
Naiona hatari ya serikali kubeba mzigo wa SGR hiii sambambamba na ATCL.
Muda utasema.
Kenya: China faces a critical test in train debt