Uchache wa watu baa unatoa ishara gani na wingi wa watu vijiweni una tafsiri gani?

Uchache wa watu baa unatoa ishara gani na wingi wa watu vijiweni una tafsiri gani?

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Nitangaze interest zangu kwanza huwa Sina muda wa kwenda bar au vijiweni kuchapa stori na kutumia pesa, (tatizo ni muda kazi ni nyingi kuliko muda), so huwa napita pita mara moja moja hasa bar, kwa mwezi naweza kwenda mara mbili nk, Jana jioni nimepita zangu bar kama mbili na nikapita mtaani.

Kilichonishangaza ni ongezeko la boda boda boda pale jirani na mtaani kwangu,nikawa najiwazia tu kuna haja ya kuuza spare za pikipik (I think itakuwa ni next steps mwisho wa mwaka huu, then nikawapitia jamaa kijiweni nikaona pana ongezeko sana la watu wamezunguka bao, na wanabishana habari za Simba na Yanga hivo, nikajikumbusha kuufanyia ukumbi marekebisho makubwa ili misimu ya mpira itakopoanza niwe na nyomi.

Uhalisia ni kwamba ukienda vibanda-umiza unakutana na watu wengi wanangalia mechi ikiisha wanasepa, hali hii imekuwa tofauti sana na nilipoenda baa, nilichokiona watu ni wachache sana tofauti na hapo nyuma watu walikuwa wanakuwa wengi kwenye vijiwe vya starehe, bar, grocery nk.

Mfano jana kulikuwa na watu watatu, baada ya kupata bia moja nikasepa nikaona kama najichora, nikahamia bar ya pili huko hali ni mbaya sana yupo mtu mmoja na demu wake wanakunywa maji, najiuliza tatizo pesa imekuwa adimu au elimu imekuwa kubwa watu wamejua mazara ya pombe ndio maana hawaendi sana baa.
 
Zamani bar nilifuata mbunye. Siku hizo wapo mtaani ukimstua tu dakika hiyo anakalia boda uelekeo ni Lodge! Unamwaguzia bia tatu Kisha unamwagia unapotaka wewe uliyelipia huduma.
 
nitangaze interest zangu kwanza Huwa Sina muda wa kwenda bar au vijiweni kichapa stori na kutumia pesa, ( tatizo ni muda kazi ni nyingi kuliko muda), so Huwa napita pita mara moja Moja hasa bar, kwa mwezi naweza kwenda mara mbili nk, Jana jioni nimepita zangu bar kama mbili na nikapita mtaani , kilichonishangaza ni ongezeko la boda boda boda pale jirani na mtaani kwangu,nikawa najiwazia tu Kuna haja ya kuuza spare za pikipik( I think itakuwa ni next steps mwisho wa mwaka huu, then nikawapitia jamaa kijiweni nikaona Pana ongezeko sana la watu wamezumguka bao , na wanabishana habari za Simba na yanga hivo, nikajikumbusha kuufanyia ukumbi marekebisho makubwa ili misimu ya mpira itakopoanza niwe na nyomi, uhalisia ni kwamba ukienda vibanda umiza unakutana na watu wengi wanangalia mechi ikiisha wanasepa, hali hii imekuwa tofauti sana na nilipoenda bar ,nilichokiona watu ni wachache sana tofauti na hapo nyuma watu walikuwa wanakuwa wengi kwenye vijiwe vya starehe, bar, grocery nk , mfano jana kulikuwa na watu watatu , baada ya kupata bia Moja nikasepa nikaona kama najichora,nikahamia bar ya pili huko hali ni mbaya sana yupo mtu mmoja na demu wake wanakunywa maji, najiuliza tatizo pesa imekuwa adimu au elimu imekuwa kubwa watu wamejua mazara ya pombe ndio maana hWaendi sana bar
Utafiti gani huu.. it is null and void.

Unaenda bar*2
 
Zamani bar nilifuata mbunye...... Siku hizo wapo mtaani ukimstua tu dakika hiyo anakalia boda uelekeo ni Lodge! Unamwaguzia bia tatu Kisha unamwagia unapotaka wewe uliyelipia huduma.
Vijana matumizi mabaya ya fedha na hatari ya maambukizo magonjwa magumu
 
Inategemea na Mkoa uliopo kwa DSM kuna sehemu zenyew ni full nondo.

Arusha huku ni kisanga, watu wanakunywa hasa.. na siku za kuvibe sana sana ni IJUMAA.. Jmos ni kias kdg, Jpil panapoa kimtindo.. weekdays ni wastani..

Kwa DSM shangwe linaanzia alhamis mpk j3 asubuhi ndio watu wanapoa.
 
Back
Top Bottom