Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Siku hizi vijana wengi wanajaa sehemu za vilabuni na kwenye pool table Hawa wa pool table unaweza kuzani hawanywi kabisa wape ofa uone lazima uchakaeNjoo virabuni tuko nyomi kwenye mnazi na gongo
Gharama za maisha zimeongezeka huku mishahara ikibakia kuwa pale pale kinachosaidia hii inchi hakuna njaa watu wanapata ata ugali wa 500Maisha yamekuwa magumu mkuu, siyo kwamba hatupendi au kutamani kukaa bar.
Guest kufungwa...wanzizi bado wapi wapo sana!Hali ikiendelea hivi hivi Bar na Guest zitafungwa
Yani na wewe unaangalia maendeleo ya nchi yapo bar. Huku vijijini ujaona maisha na duni ya maisha. Au we ni TRAnitangaze interest zangu kwanza Huwa Sina muda wa kwenda bar au vijiweni kuchapa stori na kutumia pesa, ( tatizo ni muda kazi ni nyingi kuliko muda), so Huwa napita pita mara moja Moja hasa bar, kwa mwezi naweza kwenda mara mbili nk, Jana jioni nimepita zangu bar kama mbili na nikapita mtaani . kilichonishangaza ni ongezeko la boda boda boda pale jirani na mtaani kwangu,nikawa najiwazia tu Kuna haja ya kuuza spare za pikipik( I think itakuwa ni next steps mwisho wa mwaka huu, then nikawapitia jamaa kijiweni nikaona Pana ongezeko sana la watu wamezunguka bao , na wanabishana habari za Simba na yanga hivo, nikajikumbusha kuufanyia ukumbi marekebisho makubwa ili misimu ya mpira itakopoanza niwe na nyomi, uhalisia ni kwamba ukienda vibanda umiza unakutana na watu wengi wanangalia mechi ikiisha wanasepa, hali hii imekuwa tofauti sana na nilipoenda bar ,nilichokiona watu ni wachache sana tofauti na hapo nyuma watu walikuwa wanakuwa wengi kwenye vijiwe vya starehe, bar, grocery nk , mfano jana kulikuwa na watu watatu , baada ya kupata bia Moja nikasepa nikaona kama najichora,nikahamia bar ya pili huko hali ni mbaya sana yupo mtu mmoja na demu wake wanakunywa maji, najiuliza tatizo pesa imekuwa adimu au elimu imekuwa kubwa watu wamejua mazara ya pombe ndio maana hWaendi sana bar
Siku hizi ulevi sio lazima uende bar. Hata kwenye vituo vya daldala zinauzwa achilia mbali wingi wa groceriesNitangaze interest zangu kwanza huwa Sina muda wa kwenda bar au vijiweni kuchapa stori na kutumia pesa, (tatizo ni muda kazi ni nyingi kuliko muda), so huwa napita pita mara moja moja hasa bar, kwa mwezi naweza kwenda mara mbili nk, Jana jioni nimepita zangu bar kama mbili na nikapita mtaani.
Kilichonishangaza ni ongezeko la boda boda boda pale jirani na mtaani kwangu,nikawa najiwazia tu kuna haja ya kuuza spare za pikipik (I think itakuwa ni next steps mwisho wa mwaka huu, then nikawapitia jamaa kijiweni nikaona pana ongezeko sana la watu wamezunguka bao, na wanabishana habari za Simba na Yanga hivo, nikajikumbusha kuufanyia ukumbi marekebisho makubwa ili misimu ya mpira itakopoanza niwe na nyomi.
Uhalisia ni kwamba ukienda vibanda-umiza unakutana na watu wengi wanangalia mechi ikiisha wanasepa, hali hii imekuwa tofauti sana na nilipoenda baa, nilichokiona watu ni wachache sana tofauti na hapo nyuma watu walikuwa wanakuwa wengi kwenye vijiwe vya starehe, bar, grocery nk.
Mfano jana kulikuwa na watu watatu, baada ya kupata bia moja nikasepa nikaona kama najichora, nikahamia bar ya pili huko hali ni mbaya sana yupo mtu mmoja na demu wake wanakunywa maji, najiuliza tatizo pesa imekuwa adimu au elimu imekuwa kubwa watu wamejua mazara ya pombe ndio maana hawaendi sana baa.
HahahaNitangaze interest zangu kwanza huwa Sina muda wa kwenda bar au vijiweni kuchapa stori na kutumia pesa, (tatizo ni muda kazi ni nyingi kuliko muda), so huwa napita pita mara moja moja hasa bar, kwa mwezi naweza kwenda mara mbili nk, Jana jioni nimepita zangu bar kama mbili na nikapita mtaani.
Kilichonishangaza ni ongezeko la boda boda boda pale jirani na mtaani kwangu,nikawa najiwazia tu kuna haja ya kuuza spare za pikipik (I think itakuwa ni next steps mwisho wa mwaka huu, then nikawapitia jamaa kijiweni nikaona pana ongezeko sana la watu wamezunguka bao, na wanabishana habari za Simba na Yanga hivo, nikajikumbusha kuufanyia ukumbi marekebisho makubwa ili misimu ya mpira itakopoanza niwe na nyomi.
Uhalisia ni kwamba ukienda vibanda-umiza unakutana na watu wengi wanangalia mechi ikiisha wanasepa, hali hii imekuwa tofauti sana na nilipoenda baa, nilichokiona watu ni wachache sana tofauti na hapo nyuma watu walikuwa wanakuwa wengi kwenye vijiwe vya starehe, bar, grocery nk.
Mfano jana kulikuwa na watu watatu, baada ya kupata bia moja nikasepa nikaona kama najichora, nikahamia bar ya pili huko hali ni mbaya sana yupo mtu mmoja na demu wake wanakunywa maji, najiuliza tatizo pesa imekuwa adimu au elimu imekuwa kubwa watu wamejua mazara ya pombe ndio maana hawaendi sana baa.
NaamNa ndio sbb ya mafanikio makubwa ya ule mkesha.
Ni kweli bar siku hizi hazina watu kabisa labda ni pub kuwa nyingi, hela hakuna, pombe kali kuuzwa kwenye maduka ya vyakula mtaani au mengineyo
Hahaha ni mkoa gani kwanza huu?Mfano jana kulikuwa na watu watatu, baada ya kupata bia moja nikasepa nikaona kama najichora, nikahamia bar ya pili huko hali ni mbaya sana yupo mtu mmoja na demu wake wanakunywa maji, najiuliza tatizo pesa imekuwa adimu au elimu imekuwa kubwa watu wamejua mazara ya pombe ndio maana hawaendi sana baa.
HahahaGharama za maisha zimeongezeka huku mishahara ikibakia kuwa pale pale kinachosaidia hii inchi hakuna njaa watu wanapata ata ugali wa 500