KERO Uchafu wa Stendi ya Mabasi Tabora unatishia Afya za watu

KERO Uchafu wa Stendi ya Mabasi Tabora unatishia Afya za watu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Torra Siabba

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
243
Reaction score
287
Alfajiri ya leo niliamka mapema sana nilikua na mdogo wangu anasafiro sasa nikampeleka Stendi kuu ya mabasi Tabora ili aweze kusafiri.

Nilichoona sikuamini macho yangu, maana nimekanyaga Bahasha ya Kaki nikahisi kuteleza kumbe ndani ilikua na Jivi (Mavi) nikasogea kumpeleka bwana mdogo apande basi, mdogo wangu kakanyaga tena.. Loh kumulika mavi tena.

Sikuishia hapo, ikanibidi nifike baadanya kupambazuka, nilichokutana nacho najua mwenyewe, Stendi ni chafu, Mavi yamezagaa , sasa hapo usalama uko wapi?

Pale Stendi kuna wanawake na watoto wadogo wanalala mule, kuna chakula kinauzwa pale afya za watu zikoje? sindio kipindupindu?

cha kujiuliza Mamlaka ziko wapi? zinafanya nini? Maana hili lisipofanyiwa kazi afya za watu wa Tabora ziko hatarini kwa kiasi kikubwa.

Huko nyuma niliwahi kuona kwenye mitandao ya kijamii Mkuu wa mkoa akiagiza usafi kufanyika kila jumamosi lakini hakuna kinachofanyika kwa ufupi Tabora ni chafu na usalama wa watu kiafya uko hatarini walahi Mungu atussidie tu.

IMG_20241001_201922_749.jpg

photo_2024-10-01_20-10-07.jpg

photo_2024-10-01_20-10-06.jpg

Pia soma ~ Meya Tabora asema ukimuona mtu anatupa takataka mkamate, utalipwa
 
Tatizo sio Mkoa, tatizo ni watu. Kuna baadhi ya watu sijui waliumbwaje? Maana wao kwao uchafu ni sehemu ya maisha yao. Mikoa mingi ya Kanda ya kati hadi Kanda ya ziwa ni wachafu mno!!
 
Ile stand ya ajabu sana vyoo hakuna hata vya wasafiri, ushuru wanakusanya na pia uongozi wa mko a umelala.

Watu wanaosafiri wanalipia kwanini wasisimamie usafi pawe kama stand zingine. Hii aibu na uchafu mkubwa


Viongozi wafikirie na watafute suluhisho la kudumu
 
Alfajiri ya leo niliamka mapema sana nilikua na mdogo wangu anasafiro sasa nikampeleka Stendi kuu ya mabasi Tabora ili aweze kusafiri.

Nilichoona sikuamini macho yangu, maana nimekanyaga Bahasha ya Kaki nikahisi kuteleza kumbe ndani ilikua na Jivi (Mavi) nikasogea kumpeleka bwana mdogo apande basi, mdogo wangu kakanyaga tena.. Loh kumulika mavi tena.

Sikuishia hapo, ikanibidi nifike baadanya kupambazuka, nilichokutana nacho najua mwenyewe, Stendi ni chafu, Mavi yamezagaa , sasa hapo usalama uko wapi?

Pale Stendi kuna wanawake na watoto wadogo wanalala mule, kuna chakula kinauzwa pale afya za watu zikoje? sindio kipindupindu?

cha kujiuliza Mamlaka ziko wapi? zinafanya nini? Maana hili lisipofanyiwa kazi afya za watu wa Tabora ziko hatarini kwa kiasi kikubwa.

Huko nyuma niliwahi kuona kwenye mitandao ya kijamii Mkuu wa mkoa akiagiza usafi kufanyika kila jumamosi lakini hakuna kinachofanyika kwa ufupi Tabora ni chafu na usalama wa watu kiafya uko hatarini walahi Mungu atussidie tu.

Hii ndiyo stendi ya mabasi ya Katarama(marehemu), kumbe ndiyo sababu! Sasa nimeelewa.
 
Alfajiri ya leo niliamka mapema sana nilikua na mdogo wangu anasafiro sasa nikampeleka Stendi kuu ya mabasi Tabora ili aweze kusafiri.

Nilichoona sikuamini macho yangu, maana nimekanyaga Bahasha ya Kaki nikahisi kuteleza kumbe ndani ilikua na Jivi (Mavi) nikasogea kumpeleka bwana mdogo apande basi, mdogo wangu kakanyaga tena.. Loh kumulika mavi tena.

Sikuishia hapo, ikanibidi nifike baadanya kupambazuka, nilichokutana nacho najua mwenyewe, Stendi ni chafu, Mavi yamezagaa , sasa hapo usalama uko wapi?

Pale Stendi kuna wanawake na watoto wadogo wanalala mule, kuna chakula kinauzwa pale afya za watu zikoje? sindio kipindupindu?

cha kujiuliza Mamlaka ziko wapi? zinafanya nini? Maana hili lisipofanyiwa kazi afya za watu wa Tabora ziko hatarini kwa kiasi kikubwa.

Huko nyuma niliwahi kuona kwenye mitandao ya kijamii Mkuu wa mkoa akiagiza usafi kufanyika kila jumamosi lakini hakuna kinachofanyika kwa ufupi Tabora ni chafu na usalama wa watu kiafya uko hatarini walahi Mungu atussidie tu.

Ile stand mpya haijaanza kazì?
 
Back
Top Bottom