Uchafu wa uchaguzi uliotajwa kufanyika CCM, huu ndio mfano mmoja wapo (video)

Uchafu wa uchaguzi uliotajwa kufanyika CCM, huu ndio mfano mmoja wapo (video)

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Hiki ndiyo kilichokuwa kikitokea kwenye uchaguzi wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Simiyu ambao ulifanyika Alhamis ya wiki iliyopita, Novemba 17, 2022

Huu anayeonekana ‘staa wa muvi’ ni Diwani wa Viti Maalum Wilaya ya Maswa, Witness Philipo (Mama Dwese) akionekana kuweka tiki katika fomu za kura.

Alichokuwa akikifanya ni kuweka tiki katika fomu za wapiga kura kwa ajili ya mgombea wake.
 
Huyu mama namfahamu sana pale maswa hana maadili kabisa sijui kwa nn mpaka leo bado anapewa uongozi ndani ya hicho chama.
 
Bro are you taking them serious in such a way to follow up their elections.

😂 😇🤣
 
RIP Ruge aliwahi kusema, "Ogopa sana Mungu na Teknolojia" aibu hizi CCM wamejitakia
 
Duh, apa ni wanachama wenyewe ndani ya chamaaa hahaaaaa

siasa za africa zina figisu sanaaaa, ngoja tuone ka ataadhibiwa
 
Huyu mama namfahamu sana pale maswa hana maadili kabisa sijui kwa nn mpaka leo bado anapewa uongozi ndani ya hicho chama.
Ili upate nafasi uongozi ccm, sifa kubwa ni usiwe muadilifu.
 
Back
Top Bottom