DuuuuuHuyu mama namfahamu sana pale maswa hana maadili kabisa sijui kwa nn mpaka leo bado anapewa uongozi ndani ya hicho chama.
Huko CCM nani msafi?Huyu mama namfahamu sana pale maswa hana maadili kabisa sijui kwa nn mpaka leo bado anapewa uongozi ndani ya hicho chama.
Hii mifumo wameiiga kwenye uchaguzi wa 2020 bila shaka. Kila mtu ameikaririDuh, apa ni wanachama wenyewe ndani ya chamaaa hahaaaaa
siasa za africa zina figisu sanaaaa, ngoja tuone ka ataadhibiwa
NambaHuyu mama namfahamu sana pale maswa hana maadili kabisa sijui kwa nn mpaka leo bado anapewa uongozi ndani ya hicho chama.
Ili upate nafasi uongozi ccm, sifa kubwa ni usiwe muadilifu.Huyu mama namfahamu sana pale maswa hana maadili kabisa sijui kwa nn mpaka leo bado anapewa uongozi ndani ya hicho chama.