- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,
- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!
Thaanks!
Mukulu William.
Great Thinker Malecela,
sidhani kama umefanya analysis zako vizuri za uchaguzi uliokwisha, na hiyo tathimini yako unayoitoa ni kama vile wewe umesoma ama kuambiwa, na chanzo chako hicho hakikuwa sahihi kwa sababu kilikuwa kinakupa habari za Wanawake na Chadema tu, na wala sio vyama vingine na wanawake
1) Vyama vyote vya siasa Tanzania viko sawa kwa agenda yako hiyo ya wanawake unayoizungumzia, hakuna hata chama kimoja (Hata CCM) chenye mwanamke katika post za juu za uongozi wake, sasa hilo la Chadema sijuhi limekujaje hapo, ungekuwa fair labda ungezungumzia vyama vyote viliangalie hilo,
kwa kifupi hiyo haikuwa sababu ya Chadema kufanya vibaya
2) Viongozi wa Chadema
wana hasira,
labda ungefafanua wana hasira ya nini? ama ya namna gani?, maana kuna tofauti ya hasira na uchungu, ungeniambia viongozi wa Chadema wana uchungu sana na nchi yao, wana uchungu wa haki, na wana uchungu wa kuwapa raia wote wa Tanzaznia maisha bora hapo ningekuelewa,
Huwezi kuwa na Rais kama JK, kazi ni kuchekacheka tu, hakuna seriousness ya chochote anachoongea, anachotenda wala anachotekeleza
Ndugu yangu William,
kuna sababu nyingi mno za Chadema kushindwa(Kama kweli walishindwa) uchaguzi uliopita, na hizo ulizozitaja hakuna hata moja,
nadhani swali lako labda lingekuwa ni nini chanzo/sababu ya Chadema kushindwa uchaguzi? hapo ndipo ungepata hoja ya kuanzisha, lakini kwa kifupi wewe elewa hivi
WANAOPIGA KURA NI RAIA (WATANZANIA) NA
WANAOCHAGUA NI NEC/CCM/JWTZ/UWT/POLICE