Elections 2010 Uchaguzi 2010: Kibonde usijifanye kujua kila kitu, tafuta wataalamu wakusaidie

........niliacha kusikiliza kipindi cha jahazi kwa sababu ya Kibonde. I may resume tuning it on when he leaves broadcasting it. Kama kuna jambo analoshabikia huwa anachonga sana...mbaya zaidi huwa anatawaliwa na majungu zaidi,hapati muda wa kufanyia utafiti jambo. Kuna namna nyingi za bootlicking ila ya huyu Kibonde imezidi.
.....hey...hold on a second.....his name is Kibonde.....in swahili it sounds something numb,something brainless,....isn't it?
 

Ndugu zangu, wala msipoteze muda kumuwazia Kibonde. Kama lilivyo jina lake jamaa ni kibonde kweli kweli.
Wengine huwa tunamsikiliza ili walau tu-relax kidogo baada ya ma-stress ya ofisini. Na isitoshe naye anatumia nafasi ya kukaa studio kukipigia debe chama chake.
 
kibonde hana CV

mpuuzi sana huyo kijana na hana lolote

ujanja ujanja ndo unamweka mjini
 
Mnaouliza kuhusu maambukizi source hii hapa sikiliza wimbo wa MR II aliowachana Clouds FM
 
Popopoo KIBONDE, hana shule kabisaaa na akili yake ni mgando kabisa.Asitusumbua huyu Pipooooooooooooooooooos pawaaaaaaaaaaaaaa.
 
mmm alikosea kidogo jaman
no body iz perfect
kukopsea kupo
msameheni bure
 
Kikwetu Kibonde maana yake ni kopo la kunawia baada ya kumaliza kujisaidia haja kubwa.
 

Nakuunga mkono KAMANDA kwa ufafanuzi ulio makini, ni kweli KIBONDE asifikiri kuchambua siasa ni kama kuchambua mpira!
 
Kikwetu Kibonde maana yake ni kopo la kunawia baada ya kumaliza kujisaidia haja kubwa.

:becky:...Yaani kwa maana ya "Jamani Kibonde kiko wapi nataka kwenda ch**ni!" Duh. Siku yangu imekamilika mapemaa!

:becky::becky:
 
kibonde ni mchumia tumbo tu kama wachumia tumbo wengine.....

anachokifanya hakina tofauti sana na wale maprofesa wa UDSM walioacha kufundisha wakaenda kujiunga na mafisadi wa chama tawala ili nao waigie katika system ya ulaji..naomba nimkumbuke mwalimu wangu Dr Msekela katika hilo........

napenda kuelewa kwa nini kibonde anafanya analofanya na kwa hivyo sipati shida sana...ni tumbo tu.....

tazama vijana wa leo wenye degree na vihiyo kama kibonde...wengi wanatamani siasa kupitia ccm kwani huko wanaamini ni rahisi kupata madaraka na hivyo kukaa sambamba na walaji na ulaji...ikiwa wasomi wengi ambao tungetaraji wawe front kuipinga ccm wanaikimbilia, vihiyo wafanyeje???????? ni kwa mantiki hiyo nawapa big up sana vijana waliojitoa muhanga kugombea uongozi kupitia upinzani.. kwangu hawa ndio wapinzani wa kweli maana wanajua kuwa they stand a big chance to loose lakini wanasimamia kile wanaamini...

kibonde na ujinga wake ni ushahidi wa pale tumefika kama Taifa...we are screwed up...

we are going thru hell, we must keep going and never give chance kwa wapumbavu kama efraim kibonde kutupoteza...

wanaotaka kumchana waendelee lakini better we behave na kumchana kwa hoja juu ya alichokisema na sio personality...hatutofika kama nasi tutakuwa na cheap thinking...

ni mtazamo tu........
 
Tusker Bariiiidi,

Mzee haujambo rafiki?

Mimi nimeahamia Kilimanjaro sasa- unajua ladha ya Tusker imebadilika sana baada ya kuchukuliwa na SBL ..hivyo nikashindwa!

Ila bado tupo pamoja!
 
Wasanii wa mjini hao sidhani kama wana ata CV midomo ndo CV zao.Tena utakuta leo jioni lazima waijadili jamii forums kwa kuwakosoa.
Unaweza kuta kwa wanayoongea wengi wanawasifu kuwa wanaongea point ndo maana wanadiliki kuyaingilia mambo mazito kama hayo
 
Nakuunga mkono KAMANDA kwa ufafanuzi ulio makini, ni kweli KIBONDE asifikiri kuchambua siasa ni kama kuchambua mpira!

hata mpira unahitaji utaalamu kuuchambua...

kwa watu wenye kujua mpira lakini, sio kama hapa bongo ambapo unachohitaji ni kujuana na mtangazaji tu..kama ni mshikaji mnakutana bills au wapi basi unapewa shavu nawe unakuwa mchambuzi wa masuala ya soka

lakini kwa vyombo makini si kila mwenye kuupenda anaweza kuwa mchambuzi hapana....

tazama supersport hakuna wapumbavu pale wanaochambua soka......
 
kibonde na wenzake wengi ni COMEDIANS WA UTANGAZAJI kama alivyo Mpoki na Masanja.
 
Mtu mwenye hombwe kichwani usibishane naye daima hombe ili itoke nikujazwa sasa mjazaji hayupo!!Huyo ni Kinbonde!:mad2::mad2::mad2:
 
jamani sikupenda kuingia jamvini asubuhi hii.Kibonde , nimjuavyo mimi , aliwahi kuwa rafiki yangu kipindi nikiwa hapo Dar, hatua kwa hatua tukaanza kutofautiana kwasababu yakupenda kujikomba, nakumbuka mkienda maeneo ya starehe lazima atafute watoto wa waheshimiwa walipokaa akakae nao, atatafuta watu maarufu mjini kama kina Taji Liundi akae nao , atawalamba miguu, atawanyenyekea......naamini hajabadilika, bado anaendelea na mwenendo huo, nimjinga fulani hivi, hana a wala b, hana mbele wala nyuma. ni mtu wakutafuta cheap popurality,.najua hua anaingia humu, siruhusiwi kutaja ID yake, lakini najua atanipigia simu kwa maoni yangu, lakini uzuri ni kuwa jamaa anajua kua siku hizi simpendi.Endelea na kujipendekeza kwa Rais, endelea kujipendekeza kwa utawala, unasubiri uteuzi wa ukuu wa Wilaya kama ambavyo umekua ukitamba kwenye vilinge kadhaa.
 
Huenda hicho kipindi cha jahazi kinadhaminiwa na CCM,hivyo anafuata masharti ya mdhamini.
 
kibonde mnamuonea......
kwanza amesha declare yeye ni kada wa ccm,
pili kipindi chake ni kama comedy fulani..
sio kipindi serious......

nyinyi mnaomchukulia serious ndio mnapata tabu...

mimi namchukulia kama entertainer hivi....simchukii.....
The Following User Says Thank You to The Boss For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…