Elections 2010 Uchaguzi 2010 na Uraia wa Tanzania

Elections 2010 Uchaguzi 2010 na Uraia wa Tanzania

Taratibu mtumishi.......Hatupendi kukukosa bana. Yaani huyu raia namba moja wa Tanzania unasema si mtanzania?:confused2:

I can prove it... Mashas ni Wagiriyama, wanatoka Kenya
 
Babu wa babu wa babu wa mama alizaliwa Tanzania. Babu wa babu wa baba alizaliwa Tanzania. Historia inayotangulia hapo siijui. Baba na mama wote wamezaliwa miaka ya 1940. Je mimi ni raia wa Tanzania? Naogopa mimi si raia na nimeamua kugombea mwiko!!!
 
Askofu!:becky::becky::becky:


sasa ndo utatuambia kati ya Asprin na Askofu, nani mwenye uchungu zaidi na nji hii.....by the way majina yenu yote yanaanza na A...ni coincidence ama?:glasses-nerdy::confused2:
 
System nzima ya CCM inaboa sana ..swala zima hapa ni kwamba hawajiamini hata kidogo ..wamekuwa wakiishi kwa hofu ,mashaka na kuotea. maisha yao ..wana hofu kubwa na upinzani

Kumbe hata kwenye Sihasa umo? Mi nilifikiri we ni mkurugenzi mtendaji wa kudumu kule MMU!

Eti kuna haja ya kupiga kura hiyo Oktoba? Mi kichwa kinaniuma manake haya majamaa hata tufanyeje lazima yashinde iwe kihalali au kwa kukwiba.

Yaani nipoteze muda wangu wa kunywa bia kwenda kupiga kura itakayoibwa? NO WAY!
 
Ushindi wa Kishindo si ndo huu wa kutumia vigezo vya uraia? Wameona wizi kwenye visanduku vya kura mwaka huu itakuwa ngumu, kwa hiyo wamekuja na mbinu mpya.......... URAIA!!

Can you imagine? Pingamizi zote walizowekewa CCM zinatupwa kapuni. Mohamed Dewji huko Singida kawekewa pingamizi na wagombea wawili wa upinzani pingamizi zimetupwa. Yeye kawawekea pingamizi wagombea wote wa upinzani na pingamizi zote aliaoweka zimekubaliwa..... Naye AMESHAKUWA MBUNGE TAYARI.........Damn it!
Hii tume ya uchaguzi nayo imekaa ki-CCM sna.Inatia mashaka mno.
 
sasa ndo utatuambia kati ya Asprin na Askofu, nani mwenye uchungu zaidi na nji hii.....by the way majina yenu yote yanaanza na A...ni coincidence ama?:glasses-nerdy::confused2:

Hommie, kuna maslahi flani hapo.

Mmoja anatibu kwa nguvu za kiroho na mwingine kwa nguvu ya kidonge..... Hiyo ni coincidence au?
 
TANZANIA (Formerly Tanganyika and Zanzibar)


CITIZENSHIP: All laws are based upon the Tanzanian Citizenship Act No.6 of October 1995. (UKC-Commonwealth Nation)

BY BIRTH: Birth within the territory of Tanzania, either before or after independence, does not automatically confer citizenship.

BY DESCENT: Person Born before December 9, 1961:

Person living in Tanzania, who was either a citizen of the United Kingdom and Colonies (UKC) or a British Protected Person (BPP) and at least one of whose parents was born in Tanzania.

Person born abroad, who was either a citizen of the UKC or a BPP and whose father was eligible for Tanzanian citizenship.

Person Born after December 9, 1961: Child born in Tanzania, at least one of whose parents is a citizen of Tanzania. Child born abroad, whose father is a citizen of Tanzania.

MARRIAGE: A foreign woman who marries a citizen of Tanzania may register for citizenship.

BY NATURALIZATION: Tanzanian citizenship may be acquired upon fulfillment of the following conditions: Person is 21 years old, has renounced former citizenship, and has resided in the country for at least five years.


DUAL CITIZENSHIP: NOT RECOGNIZED. Exceptions: Tanzanian child born abroad who obtained the citizenship of the country of birth is allowed to retain the dual citizenship until age 21. Then, one citizenship must be chosen or Tanzanian citizenship will be revoked. Tanzanian who marries a foreign national and involuntarily acquires spouse's citizenship is allowed to retain Tanzanian citizenship.


LOSS OF CITIZENSHIP:

VOLUNTARY: Voluntary renunciation of Tanzanian citizenship is permitted by law. Contact the Embassy for details and required paperwork.

INVOLUNTARY: The following is grounds for involuntary loss of Tanzanian citizenship: Person over age 21 voluntarily acquires foreign citizenship.


http://www.multiplecitizenship.com/wscl/ws_TANZANIA.html


Sina uhakika kama hii sheria iko hivi ila naona huyu jamaa wa Mwanza alikuwa raia. Soma vizuri maandishi mekundu
 
Babu wa babu wa babu wa mama alizaliwa Tanzania. Babu wa babu wa baba alizaliwa Tanzania. Historia inayotangulia hapo siijui. Baba na mama wote wamezaliwa miaka ya 1940. Je mimi ni raia wa Tanzania? Naogopa mimi si raia na nimeamua kugombea mwiko!!!

Ndugu yangu kabla hujagombea nenda ofisi za IMMA kuna mtaalam pale atakufafanulia kama we ni raia au la! Lakini ili kuachana na matatizo yote hayo, sujiingize kwenye siasa....!
 
itakuwa tunasubiri mcmu wa uchaguzi ufike ili watu tujilikane kama ni wa tz au laaa, nchi inaboa sana hii, nicje nikaja kupiga kura nikaambiwa mie mkenya.
 
Person Born after December 9, 1961: Child born in Tanzania, at least one of whose parents is a citizen of Tanzania. Child born abroad, whose father is a citizen of Tanzania.




Sina uhakika kama hii sheria iko hivi ila naona huyu jamaa wa Mwanza alikuwa raia. Soma vizuri maandishi mekundu

Kamanda ahsante kwa hili!

Yule jamaa ni mtanzania asee!!! OMG!!!:confused2::confused2::confused2:
 
itakuwa tunasubiri mcmu wa uchaguzi ufike ili watu tujilikane kama ni wa tz au laaa, nchi inaboa sana hii, nicje nikaja kupiga kura nikaambiwa mie mkenya.
Ukipiga kura huulizwi uraia wako dada yangu mpenzi.

Ole wako uchukue fomu ya kugombea ubunge kupambana na kigogo wa CCM. Masha atafanya vitu vyake.
 
Kumbe hata kwenye Sihasa umo? Mi nilifikiri we ni mkurugenzi mtendaji wa kudumu kule MMU!

Eti kuna haja ya kupiga kura hiyo Oktoba? Mi kichwa kinaniuma manake haya majamaa hata tufanyeje lazima yashinde iwe kihalali au kwa kukwiba.

Yaani nipoteze muda wangu wa kunywa bia kwenda kupiga kura itakayoibwa? NO WAY!

na mie nilikuwa najiuliza hilo swali, nije mpaka huko bado foleni mpaka kule wakati unahic hata iweje mabadiliko ni 0...ngoja niendelee kujishauri, lakini na hapo hapo kura zetu ni za muhimu japo wajue wananchi tumeshawachoka sasa.
 
Asprin na Askofu.............labda masha yeye aliomba uraia na ushahidi anao wa kukubaliwa ombi lake. ( hata kama hana atautengeneza, yeye si ndo waziri bwana)
 
na mie nilikuwa najiuliza hilo swali, nije mpaka huko bado foleni mpaka kule wakati unahic hata iweje mabadiliko ni 0...ngoja niendelee kujishauri, lakini na hapo hapo kura zetu ni za muhimu japo wajue wananchi tumeshawachoka sasa.

Unafikiri kwamba hawajui. Wanajua ndio maana wanatumia njia mbadala kama hizi. Pingamizi!!
 
Ukipiga kura huulizwi uraia wako dada yangu mpenzi.

Ole wako uchukue fomu ya kugombea ubunge kupambana na kigogo wa CCM. Masha atafanya vitu vyake.

ishu ni ubunge tu au hata udiwani?..yeye anavidhibitishi gani kujua fulani sio raia au ndio hivyo kusema fulani kashindwa kudhibitisha uraia wake?
 
Angalia mpwa na wewe huyo Law anaweza sema ni Mkenya kisa unatokea karibu na Kenya hapo.
 
Back
Top Bottom