Uchaguzi 2020 CCM tayari wako ngazi moja juu ya wapinzani wao.

Kuna haja gani kwenda kupiga kura kwenye maigizo hayo?
Wapinzani nao wajinga,wanaacha kudai tume huru kwa vitendo wanaleta kutia huruma.Hamtatangazwa nyieee,hata tukisema tukapige kura.
 
Kuna haja gani kwenda kupiga kura kwenye maigizo hayo?
Wapinzani nao wajinga,wanaacha kudai tume huru kwa vitendo wanaleta kutia huruma.Hamtatangazwa nyieee,hata tukisema tukapige kura.
Huu ndo ukwel ambao wapinzani wanajifanya hawauoni..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…