kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kila mtu Kuna vile anavyotaka awe navyo chumbani kwake, nyumbani kwake, na mtaani kwake anakoishi ambavyo vinategemea na Ni chama na kiongozi gani anayeongoza Mtaa, Kijiji, Kata, Tarafa, Wilaya, Mkoa na Taifa.
Watu safari hii hawatapiga kura za jumla jumla Kama zamani Bali watajipigia kura wao wenyewe kutokana na Hali ilivyo kwenye chumba chake anamolala na kwenye mtaa, kata, tarafa, wilaya, nk.
Je, ni nani hakufanya Nini au atafanya Nini kwenye mtaa, Kijiji, kata, tarafa, wilaya, mkoa na Tanzania Kama nikimchagua?
Kama wewe uliboresha au utaboresha mtaa ule kule utapata kura za mtaa ule kulee sio huu huku.
Hii ndio maana pamoja na mengi yaliyofanywa na CCM kwa miaka 60 lakini bado vyama vya upinzani vipo na wafuasi wengi tu. maana yake yako mambo ya watu binafsi, familia, mtaa, kata, tarafa, wilaya,.... Wanakoishi hayakupewa kipaumbele na wabunge wao au chama.
Watu safari hii hawatapiga kura za jumla jumla Kama zamani Bali watajipigia kura wao wenyewe kutokana na Hali ilivyo kwenye chumba chake anamolala na kwenye mtaa, kata, tarafa, wilaya, nk.
Je, ni nani hakufanya Nini au atafanya Nini kwenye mtaa, Kijiji, kata, tarafa, wilaya, mkoa na Tanzania Kama nikimchagua?
Kama wewe uliboresha au utaboresha mtaa ule kule utapata kura za mtaa ule kulee sio huu huku.
Hii ndio maana pamoja na mengi yaliyofanywa na CCM kwa miaka 60 lakini bado vyama vya upinzani vipo na wafuasi wengi tu. maana yake yako mambo ya watu binafsi, familia, mtaa, kata, tarafa, wilaya,.... Wanakoishi hayakupewa kipaumbele na wabunge wao au chama.