Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: Sioni hoja za Magufuli na CCM kutushawishi Watanzania tuwachague tena!

Vyote hivyo viko Dar sisi wa huku Manyovu Kigoma tunafaidikaje na keki ya taifa

Kurudika miradi sehemu moja ndio kulipelekea Sudan kujitenga,walikuwa wakichukua kodi na mali kusini wanajenga kaskazini kusini wakachoka kwa msaada wa nje wakajitenga.Ni hatari sana kwa taifa
 
hivi huko upinzani mna hoja gani inayowabeba mpaka sasa; hoja yenu kuu ya ufisadi mlishaiua na muasisi wake kawakimbia kwa sasa yuko upande mwingine.

Wana hoja nyingi sana mmefanya vizuri sana kuzuia shughuli za kisiasa kwa upinzani ni faida Mbili wamepata,kutokujua nguvu zao maana moto wa chini chini,pia kutokujua hoja zao ambapo mngeruhusu mikutano zingechuja kwa hio kipenga kikipulizwa watakuja na mashambulizi ya hoja nyingi nzito sababu mtakuwa amkujipanga kuwa na majibu zitawasumbueni sana na amtoweza kujibu hoja,mmeshindwa za Lissu, za waraka wa pasaka wa maaskofu, za jumuia ya ulaya na USA hadi Leo mmeshindwa kuwa jibu mtaweza kuwa jibu watz ili wawaamini tena? Wapi
Milioni 50 kila kijiji
Maslai bora kwa Watumishi
Mikopo ya vyuo je?
Korosho vipi?
Tirioni 2.4 je?
Wasiojulikana ni kina nani kama wana nguvu mmeshindwa kuwadhibiti kuna haja gani tuwaamini mtuongoze tena?
Usalama wa RAIA je wangapi wanauliwa na polisi
Mahusiano ya kimataifa je?
Demokrasia na Uhuru wa habari je?
Vipi kuhusu matumizi ya kodi zetu?
Bunge live je,ila uzinduzi live
Local channel je?
Utekaji je?
Elimu iko ICU si mmeona matokeo!
Hali ya biashara je.
Tatizo LA ajira ni Bomu kubwa mjiandae.

Hoja ni nyingi sana kuliko majibu maana mmekiri watz si wajinga wameona wanaona ipi mbivu ipi mbichi.
Mnakaza kubwa sana mliaminiwa mkawavunja wengi matumaini.
 
Anachofanya sasa ni kumwomba Lowasa amuazime zile kura zake milion 6.!!! Utadhani aliziweka benki zinamsubiri. hahaha

Kweli wana-CCM ndio wazalishaji wakubwa wa wajinga nchi hii..

Walipiga hesabu kura Milioni 6 jumlisha Milioni 8 zitakuwa 14 hivo ushindi wa kishindo,hata Milioni 2 awapati.Wakulima, wafanyakazi, wafanyabiashara, wanafunzi, bodaboda,machinga,Makundi yote ya ushindi wanasubiri kulipiza kisasi maana yoote yameshaumwa na nyoka.
 
Nani kakwambia wtz tunahitaji hayo yote uloandika? Push ups tu inatosha kuwachagua tena!
 
Me ningeshauri ikifika uchaguzi labda tufanye wa madiwani na wabunge tu

Yani magufuli atapita kama anakunywa maji.....
 
hivi huko upinzani mna hoja gani inayowabeba mpaka sasa; hoja yenu kuu ya ufisadi mlishaiua na muasisi wake kawakimbia kwa sasa yuko upande mwingine.
Karudi kiwandani piga hela sio?
 
Habari zenu wana JF!

Mimi naomba wakereketwa na washabiki wa uongozi wa awamu ya tano watushawishi kwa hoja za msingi kwa nini Magufuli na CCM tuwape kura 2020!
Nani alikuambia wapigakura wa Tanzania huwa wanapiga kura kwa hoja?.
Wapigakura wa Tanzania, wanachagua tuu chama na kuchagua watu. 2020 ni CCM na rais ni Dr. John Pombe Magufuli, hana mpinzani na hana mshindani.

Paskali
Rejea
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa ...

Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha ...

Jee Magufuli Anaimarisha CCM Au Anaua Upinzani?. Tunaelekea Nchi ya Chama Kimoja?.

Nini Mustakabali wa Upinzani TZ?

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.

CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za ...

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...
 

Pamoja hayo, tusiwe wafungwa wa historia. Tunajua siku za nyuma hata nyimbo za TOT zilitosha kuwafanya watu wapigie CCM! Ninachosema ni kwa Magufuli atajitangaza kwa kuwa majeshi na tume ya uchaguzi ni ya kwake lakini si kwa kupewa kura halali na wananchi!
 
wakati wa kampeni alisema mahinga na mama muuza mihogo waachwe wasisumbuliwe na makodi kodi....naona jamaa anafanya zaidi ya makodi kodi. Huyu jamaa ana hali ngumu sana mwakani. Anachoweza kujivunia ni policcm na tissccm tu basi. Hana backbone nyingine.
 
Me ningeshauri ikifika uchaguzi labda tufanye wa madiwani na wabunge tu

Yani magufuli atapita kama anakunywa maji.....

Sawa apite kama unakunywa maji! Tuambie achaguliwe kwa lipi ambalo watanzania amewafanyia la maana kama siyo ulaghai tu!
 
Huhitaji kumshawishi mbuzi akubali kupelekwa kula majani. anabuluzwa tu! Hata alale chini, peleka tu! Baadaye atagundua sababu ya kubuluzwa.
 
Atatwambia kuwa amemrudisha lowasa kundini
In God we trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…