Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020 tunaenda kukamilisha ratiba tu, bingwa yupo

Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020 tunaenda kukamilisha ratiba tu, bingwa yupo

Kwa upinzani huu wa Mbowe na Lissu hakuna jipya wanaloweza kufanya, inahitajika vichwa vipya vianze upya, Mbowe na Lissu wakiendelea kuwa ndio image ya CDM , then CDM kitakuwa kama TLP kitazaliwa au kitapanda chama kingine kuchukua nafasi zao maana wananchi wanaopenda upinzani bado wapo.
Lakini shida inajirudia kila wakati, walianza NCCR Mageuzi 1995, wakaja CUF 2000, CUF wakaridi 2005, CHADEMA 2010, CHADEMA 2015 sasa 2020 wanaonekana kufa rasmi. Nini wanakosea opposition? Mbn wanakuja na kuondoka?
 
Mkuu asante uliona mbali katika bandiko lako umenisema mm pia...2015 tulipambana sana lakin tuliyoyaona kwa miaka 5 yanakatisha tamaa ndio mana hakukua na mbwembwe za kutaka kichinjio kama 2015 ilivokua.
 
Lakini shida inajirudia kila wakati, walianza NCCR Mageuzi 1995, wakaja CUF 2000, CUF wakaridi 2005, CHADEMA 2010, CHADEMA 2015 sasa 2020 wanaonekana kufa rasmi. Nini wanakosea opposition? Mbn wanakuja na kuondoka?
Vichwa vinakosa nguvu ya watu
 
Wakuu salute!
Jioni ya leo nikiwa maeneo ya Tegeta namanga Dsm, nilipitia pub moja at least kupoza koo kwa 'kabia kamoja' kupoza machungu ya utafutaji. Si unajua ukiumbwa mwanaume...

Kumekuwepo na tambo, mbwembwe na ubishani baina ya upinzani hususani CDM dhidi ya chama dola CCM kuelekea uchaguzi mkuu october 2020. CCM wakitamba kupeta na Upinzani ukiapa kuliangusha 'jabari' .

Binafsi naamini uchaguzi uliisha toka kipindi kile cha kukarabati daftari la kudumu la wapiga kura. Kwa wakati ule vijana wengi walisusa kujiandikisha, wengi wakisema siasa sasa basi, hasa ukizingatia wabunge walivyokua wanaunga mkono juhudi. Wengi wanakumbuka machungu jinsi walivyowapambania 2015, na jinsi usaliti waliokua wanaufanya wa kuunga mkono juhudi.

Wakati vijana wa kimapinduzi wengi wakisusa kujiandikisha, CCM walikua wakihamasisha akina mama na akina bibi kwenda kupanga foleni kujiandikisha. Ni dhahiri walikua wanajua wanachofanya hasa ukizingatia vijana kama machinga, boda boda,wavuvi nk walikiua wazito kwenda kujiandikisha. Ni kama walitengeneza tatizo makusudi, bila shaka ule ulikua ni 'mkakati' mahususi.

Tofauti na wengi tunavyodhani kua uchaguzi unaweza kuendeshwa kibabe ili kuibeba CCM. Uchaguzi wa mwaka huu unaweza kua wa haki na wazi sana kuliko chaguzi zilizopita... Ila utakua na wapiga kura wachache ambao wengi ni akina mama na wazee ambao ni wakereketwa wa CCM. Upinzani ulizubaa sana katika kuhamasisha watu, na hii ilichangiwa na 'kibano' walichopewa cha kukataza siasa na mikutano, isipokuwa kwa wabunge ndani ya majimbo yao.

Yale mambo ya upinzani kuchukua watu CCM then baadaye wanarud walipotoka yalikua yanaboa sana na kukatisha tamaa... Watu waliona siasa ni kama maigizo!

Wanasema "no research no right to speak" jaribu kuuliza kati ya vijana 10 wangapi wamejiandikisha hapo ulipo... Ni ukweli mchungu lakini lazima usemwe. Kwenye mikakati na figisu CCM they are far better, Upinzani jifunzeni.
Michael Andrew JR
IMG_20201018_052444.jpg
 
Mkuu asante uliona mbali katika bandiko lako umenisema mm pia...2015 tulipambana sana lakin tuliyoyaona kwa miaka 5 yanakatisha tamaa ndio mana hakukua na mbwembwe za kutaka kichinjio kama 2015 ilivokua.
Upinzani ujifunze kuwekeza kwa watu, kila mara wawe karibu yao.. CCM wanawazid hapo, wanakitahidi kuwakamata wale akina mama na wazee... Upinzani una kazi ya ziada. Kwenda ikulu si lele mama
 
Mkuu asante uliona mbali katika bandiko lako umenisema mm pia...2015 tulipambana sana lakin tuliyoyaona kwa miaka 5 yanakatisha tamaa ndio mana hakukua na mbwembwe za kutaka kichinjio kama 2015 ilivokua.
Upinzani ujifunze kuwekeza kwa watu, kila mara wawe karibu yao.. CCM wanawazid hapo, wanakitahidi kuwakamata wale akina mama na wazee... Upinzani una kazi ya ziada. Kwenda ikulu si lele mama
 
Back
Top Bottom