Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: "Zitto kufikia viwango vya njaa ya Mbowe kwenye medani za siasa"?

Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: "Zitto kufikia viwango vya njaa ya Mbowe kwenye medani za siasa"?

Kama Kuna kipindi ambacho CCM ilipata upinzani mkubwa basi ilikuwa 2015 wakati wa upepo wa Lowassa, na kama UKAWA ulishindwa wakati ule wasitegemee muujiza wowote 2020.

Katika kipindi hiki Cha 2020 sioni na hakuna mtu yeyote kutoka upinzani mwenye ushawishi wa kuliongoza Taifa hili la Tanzania zaidi ya JPM himself. Suala hili hata mabeberu yametambua na yameanza kuwa matulivu na kumpongeza JPM baada ya kuona namna jamaa anavyo_ deliver.

Majitu ya upinzani hayana mtu yeyote wa maana na "Potential" wa kuweza kumlinganisha na JPM, hili si tu kwamba linafahamika Afrika, Bali Dunia nzima. Sasa Ni vema Kama wameamua kushiriki uchaguzi Mkuu wasiandae vurugu pale watakapoona wameshindwa kwa sababu hawana watu wenye ushawishi kwa Watanzania na huo ndio ukweli hakuna namna.

Wewe ni mjinga tu,kwani huyo JPM ameshushwa kutoka mbinguni? Hata wewe unaweza kuwa Raisi na ukafanya vizuri kuliko huyo JPM sema Watanzania tupo 50M+ hatawezi sote tukawa Maraisi tunamchagua moja atuongoze kwa kipindi Fulani kipindi chake kikiisha anapisha wengine.

Uache kuandika upumbavu mbele ya watu wenye akili.
 
Wewe ni mjinga tu,kwani huyo JPM ameshushwa kutoka mbinguni? Hata wewe unaweza kuwa Raisi na ukafanya vizuri kuliko huyo JPM sema Watanzania tupo 50M+ hatawezi sote tukawa Maraisi tunamchagua moja atuongoze kwa kipindi Fulani kipindi chake kikiisha anapisha wengine.

Uache kuandika upumbavu mbele ya watu wenye akili.
Jenga hoja acha kutoa povu
 
Jenga hoja acha kutoa povu

Kuna Watanzania wengi tu ambao wanaweza kuwa Maraisi bora kuliko huyo JPM wenu munayemtukuza lakini sisi ni jamii ya watu wastaarabu haiwezekani site tutake kuwa Maraisi kama ilivyo kwa Wasomali. Sasa ustaarabu ukimaliza kipindi chako wapishe wengine waonyoshe uwezo wao,waliomtangulia wengekuwa wabinafsi kama yeye angepata nafasi ya kuongoza.

Nyinyi wapambe njaa muzingua sana.
 
Kuna Watanzania wengi tu ambao wanaweza kuwa Maraisi bora kuliko huyo JPM wenu munayemtukuza lakini sisi ni jamii ya watu wastaarabu haiwezekani site tutake kuwa Maraisi kama ilivyo kwa Wasomali. Sasa ustaarabu ukimaliza kipindi chako wapishe wengine waonyoshe uwezo wao,waliomtangulia wengekuwa wabinafsi kama yeye angepata nafasi ya kuongoza.

Nyinyi wapambe njaa muzingua sana.
Ila sio tundu
 
Ndugu zangu,

Zitto sasa anaonekana ni mwanasiasa anayesikiliza tumbo lake na sio wafuasi wake wala falsafa alizowahi kuaminisha kuwa yeye ni muumini wa "siasa za kijamaa".

"Ajizi nyumba ya njaa" sio Zitto wala Mbowe anayeweza kumkataa Membe kuwa mgombea wa Chama chake eti kisa "itikadi" au "wafuasi hawafurahii"

Kwa taarifa za uhakika wote Chadema na ACT wanakimbizana kuhakikisha wanatekeleza masharti ya Benard Membe na wameshaonywa kuwa atakayewahi ndiye "atalamba dume"

Nimalize tu kwa kusema "kiwango cha njaa cha Zitto kwenye medani za siasa kulingana na cha Mbowe muda wowote kuanzia sasa.
Tangu lini alitosheka huyo Kaka? Zitto anatamani kutuuza watanzania wote kwa wazungu sembuse na hako kakikundi ka ACT kasikofika hata watu elfu hamsini? Atawauza mchana kweupe.
 
Tangu lini alitosheka huyo Kaka? Zitto anatamani kutuuza watanzania wote kwa wazungu sembuse na hako kakikundi ka ACT kasikofika hata watu elfu hamsini? Atawauza mchana kweupe.
Duh,hatari sana
 
Back
Top Bottom