jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Kama lipo eneo Magufuli aliwa-win wabongo ni kuwaaminisha kwanza Tanzania ni Nchi tajiri huko akitolea mifano akiba ya rasilimali tulizonazo na zaidi akiwaachia uhuru usiyo na mipaka walalahoi kufanya lolote lile wanalotaka huku akitoa amri ya wasifanywe lolote. Rejea machinga.
Sasa,kwa yanayoendelea Tanzania kwa sasa iwe kwa nia nzuri ama vinginevyo hakika madhara yake kisiasa yatarajiwayo 2025 ni ya kutisha!
Mfanyasiasa yeyote atakayekuja na slogan ya KWANINI KIPINDI CHA UTAWALA WA MAGUFULI HATUKUFANYIWA HIVI kwa hakika atali-win pakubwa kundi la walio wengi hasa wafurukutwa wa Hayati Magufuli.
Kina Polepole na shule zao za uongozi msifikiri wajinga na msidhani yupo peke yake-analo kundi tena la vigogo hasa na kwa hatua waliyofikia hawa timu JPM kupitia Polepole ni ngumu mno kuwadhibiti tena.
Tuombe uzima lakini 2025 ni pagumu mno kwa CCM kwa maana washindani wake watakuwa wawili kwa maana ya vyama hivi vya upinzani tulivyonavyo na waamini watakatifu wa Magufuli.
2025 ni hatari!
Sasa,kwa yanayoendelea Tanzania kwa sasa iwe kwa nia nzuri ama vinginevyo hakika madhara yake kisiasa yatarajiwayo 2025 ni ya kutisha!
Mfanyasiasa yeyote atakayekuja na slogan ya KWANINI KIPINDI CHA UTAWALA WA MAGUFULI HATUKUFANYIWA HIVI kwa hakika atali-win pakubwa kundi la walio wengi hasa wafurukutwa wa Hayati Magufuli.
Kina Polepole na shule zao za uongozi msifikiri wajinga na msidhani yupo peke yake-analo kundi tena la vigogo hasa na kwa hatua waliyofikia hawa timu JPM kupitia Polepole ni ngumu mno kuwadhibiti tena.
Tuombe uzima lakini 2025 ni pagumu mno kwa CCM kwa maana washindani wake watakuwa wawili kwa maana ya vyama hivi vya upinzani tulivyonavyo na waamini watakatifu wa Magufuli.
2025 ni hatari!