Uchaguzi 2025 Urais tumpe Samia Suluhu, kura za Ubunge tuwape Upinzani

Uchaguzi 2025 Urais tumpe Samia Suluhu, kura za Ubunge tuwape Upinzani

pilipili kichaa

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
18,406
Reaction score
14,643
Ndugu zangu habarini za Alhamisi.

Ninaleta wazo kwenu kwenye uchaguzi wa 2025.

Tukumbuke kuwa kwa sasa vilio vingi ni mambo ya TOZO kila uchwao, haya yametokea kutokana na ubutu wa Bunge letu hasa kutokana na kuwa wabunge tupu wa CCM ambao wamekuwa wanashindwa kuibana Serikali hasa katika masuala ya wapiga kura wao.

Pendekezo:
2025 kura za uraisi tumpe Mama SSH lakini kura za Wabunge tuwape Wagombea wa Upinzani

Natoa hoja.
 
Naapa sitokuja kuchagua wapinzani tena maana tuliwacjagua wakageuka..

Pia kwetu walishika Halmashauri hakuna cha maana walifanya zaidi ya upigaji,ni mara mia zimwi likujualo kuliko Malaika usiyemjua..
 
Kwenu wapi?
Pataje huko kwenu ili watu waje na data hapa
Halmashauri zote chini ya upinzani zilifanya vizuri sana
 
Back
Top Bottom