kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kwavyovyote vile chadema kuna upande hauna nia njema na chama. Wana uhakika kwa asilimia 100 kuwa chadema itapungua nguvu kuelekea October 2025 wakati wa uchaguzi mkuu. Pamoja na kulijua hilo bado kuna mtu anasema liwalo na liwe nitagombea.
Ili kuepusha mpasuko Chadema inahitaji hekima na busara za Nabii Suleiman alizotumia kuamulia ugomvi wa akinamama wawili waliokuwa akigombania mtoto kila mama akidai kuwa mtoto wake. Mgombea ambae ana nia mbaya na chama lazima atalazimisha kugombea no matter what na hatayakubali matokeo hata kidogo, lakini mgombea ambae ana nia njema na chama atakuwa radhi kujitoa au kukubali matokeo kwa namna yatakavyojitokeza na kuvunja makundi na kumuunga mkono aliyeshinda.
Utamjuaje mgombea mwenye nia mbaya na chadema?
1. Anazidisha mpasuko kwa kutukana au kubesa au kutoa siri za chama na vikao hadharani.
2. Anaungwa mkono wa watu wa chama tawala. Yaani fisi anamsaidia swala kupambana na mbwambitu.
3. Hataki suluhu
Ili kuepusha mpasuko Chadema inahitaji hekima na busara za Nabii Suleiman alizotumia kuamulia ugomvi wa akinamama wawili waliokuwa akigombania mtoto kila mama akidai kuwa mtoto wake. Mgombea ambae ana nia mbaya na chama lazima atalazimisha kugombea no matter what na hatayakubali matokeo hata kidogo, lakini mgombea ambae ana nia njema na chama atakuwa radhi kujitoa au kukubali matokeo kwa namna yatakavyojitokeza na kuvunja makundi na kumuunga mkono aliyeshinda.
Utamjuaje mgombea mwenye nia mbaya na chadema?
1. Anazidisha mpasuko kwa kutukana au kubesa au kutoa siri za chama na vikao hadharani.
2. Anaungwa mkono wa watu wa chama tawala. Yaani fisi anamsaidia swala kupambana na mbwambitu.
3. Hataki suluhu