koba
kugoma wamegoma jana na juzi na wanatarajiwa kuendelea na momo tatizo lilopo ni kubwa kiasi watanzania kama mnavyowajua hivi sasa wameamua hawataki kuchaguliwa viongozi just bora kiongozi.....walichofanya jaamaa waliweka watu wao wanafunzi wakasoma nyaakati wakachekecha wakachomolewa hawkauwa na sifa,,,waliobaki mmoja wa wanafunzi uliza ..mganda....watanzania wakaapa maamaayao wazazi wanampa mganda uraisi./////jama ikabidi waliobaki wawasuport katika pukurashani wakatujmia hadi mabango ya ccm ....mwisho wa siku wakatonywa na watu jamani mkifanya tu mganda kachukua.....hilo mjue!!!!!!!!!!
wakasimamisha uchagguzi wakamfwata mganda wakamweka kitimoto alete vyeti vyake vya darasa la soba tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa alete vya kidatio cha nne na cha sitaa sasa sijui watamuuliza na kibali cha kuishi wanapoelekea....jamani hii ndio chuo kikuu cha mlimani ...wanasomesha watu mapaka mwaka mwaka wa tatu ndio wanauliza vyeti vyake jamani kumbe inawezekana kuna watu wengi kweli wako chuo na vyeti feki hili limenishtua sana sana ......