Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,013
- 1,183
Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu utakuwa na mchuano mkali ndani ya CCM na sio ndani ya vyama vingi.
MwanaCCM yoyote anajua katika Uchaguzi Mkuu ujao akipenya kwenye kura za maoni ndani ya chama anakuwa ni kama amemla ngombe na kubakiza mkia!
Jiandikishe kwanza upate sifa Boss baada ya hapo pata sasa nguvu za kuandika utakacho.Huyu jamaa alipona kweli? Au walimuua, CCM siipendi kumambegesa. Inchi ikipinduliwa hii Kuna watu watachomwa Moto mbele ya familia zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama hapigiwi kura wewe jua haya hakuna aliye juu ya sheria.Ni kweli kabisa usemayo, na hili sio kwasababu ccm inakubalika sana, bali mwenyekiti wa ccm ndiye rais wa nchi. Na kwakuwa yeye ni rais, anaweza kutumia madaraka yake na udhaifu wa katiba na wake binafsi kuzuia ushindani wowote dhidi yake binafsi na chama chake. Hivyo atatumia vibaya madaraka yake kuharibu uchaguzi kama ambavyo amekuwa akifanya toka alivyokuwa mbunge, kwani huko poa hakuwa na sifa ya kushinda kwa njia ya kura zaidi ya kushinda kwa mizengwe. Kwahiyo huo udhaifu wake binafsi wa kutokuweza ushindani, ndio kahamishia kwenye uchaguzi wa nzima kwa kuwa katiba inampa mwanya wa kufanya atakalo bila kuwa na hofu ya kushitakiwa.
Hata kama hapigiwi kura wewe jua haya hakuna aliye juu ya sheria.
Hata muasisi alilijua hilo, hakupinga pale sheria ilipomsemesha mbona aliitikiwa wito kwa wakati.
Katiba ipo wazi Boss amini nikuambiacho hakuna aliye juu ya sheria.Kwa taarifa yako hilo neno kuwa hakuna aliye juu ya sheria ni danganya toto tu. Ukweli ni kuwa rais na genge lake wako juu ya sheria kwa uwazi au kwa kificho. Kama rais hawezi kushitakiwa kwa kosa lolote akiwa madarakani au akiwa ametoka, hapo unaposema hakuna aliye juu ya sheria unamaanisha nini? Na kibaya zaidi kinga hiyo aliyo nayo rais na madaraka aliyo nayo, anaweza kutumia hiyo nafasi yake kumlinda mtu yoyote amtakaye na mkono wa sheria. Hilo liko wazi na mifano ya dhahiri ipo.
Me mwenyewe nakunywa cuca tu mda huu manake sielewi elewi, kwani nini kinaendelea huko dar es salaam?Katiba ipo wazi Boss amini nikuambiacho hakuna aliye juu ya sheria.
Katiba ipo wazi Boss amini nikuambiacho hakuna aliye juu ya sheria.
Haahaa KATIBA ni dude kubwa hutaweza kuamini likigeuka kwa upande wa pili. Wewe una macho ya kuona upande mmoja kwa kuitazama KATIBA kama wengi waonavyo lakini siku watu wakiona upande wa pili, ndipo unatimia ule msemo wetu wa kiswahili kuwa "sheria ni msumeno wenye kukata kuwili"Nilichokuambia sijakuambia kwa bahati mbaya, katiba ya nchi yetu inatekelezwa kwa utashi wa rais aliye madarakani,na sababu hasa ya rais kuwa juu ya katiba na hizo sheria ni udhaifu wa kumfamya rais asiweze kushitakiwa akiwa madarakani au akiwa ametoka. Kitendo cha rais kuchagua kila Mkuu wa taasisi ya kimamlaka kunamfanya rais kuwa na nguvu kuliko hiyo katiba. Ndio maana rais anaweza kufanya lolote bila kujali katiba na sheria zinamruhusu na hawezi kufanywa lolote, maana yoyote atakayehoji anaweza kumtoa kwenye nafasi yake, au kuagiza atupwe jela.
Haahaa KATIBA ni dude kubwa hutaweza kuamini likigeuka kwa upande wa pili. Wewe una macho ya kuona upande mmoja kwa kuitazama KATIBA kama wengi waonavyo lakini siku watu wakiona upande wa pili, ndipo unatimia ule msemo wetu wa kiswahili kuwa "sheria ni msumeno wenye kukata kuwili"
Brother ukitaka kuamini kuwa KATIBA ni dude kubwa wewe waulize Mr. & Mrs. Kijani wanahabari gani 2020.Si mpaka iwe msumeno wa kukata pawili?