Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,013
- 1,183
Sitabiri ila ndio ukweli wabunge na madiwani mliopo katika majiji na wilaya zilizo changamka changamka jiandaeni kupokea na kukubali msichokipenda.
Jua liwake au mvua inyeshe kila Mtanzania atasimulia kwa mambo makuu yatakayojitokeza.
Uchaguzi 2020 utakuwa una mchuano mkali zaidi ya 2015.
Nimeona sehemu na najua kuna watu hawataamini mawazo yao na mipango yao ila ukweli ndio huo.
Wenye nchi wameamua kuja kuonyesha mfano namna bora ya kufanya kazi ili watu wajifunze kutokuishi kwa mazoea. Siasa ya mwaka huu ina nguvu sana maana kuna kundi la waliokaa pabaya dhidi ya waliosimama sehemu sio nzuri.
Karibu sana 2020.
Jua liwake au mvua inyeshe kila Mtanzania atasimulia kwa mambo makuu yatakayojitokeza.
Uchaguzi 2020 utakuwa una mchuano mkali zaidi ya 2015.
Nimeona sehemu na najua kuna watu hawataamini mawazo yao na mipango yao ila ukweli ndio huo.
Wenye nchi wameamua kuja kuonyesha mfano namna bora ya kufanya kazi ili watu wajifunze kutokuishi kwa mazoea. Siasa ya mwaka huu ina nguvu sana maana kuna kundi la waliokaa pabaya dhidi ya waliosimama sehemu sio nzuri.
Karibu sana 2020.