Yaani Lissu akishaingia Ikulu tu yule mwandishi apewe wizara ya habari au kurugenzi ya TBC!Hivi yule mwandishi wa ITV anayeongozana na Lissu anaitwa nani?
Huko Mbali, aanzie hukohuko Mwanza awe kiongozi wa wenzake na kumtoa tapeli mmoja ambaye kiasili sio mwandishi maana hana historia ya uandishi bali ni opportunistic ndani ya tasinia ya habari.Yaani Lissu akishaingia Ikulu tu yule mwandishi apewe wizara ya habari au kurugenzi ya TBC!
Sorry nimesahihishwa hapa News room kuwa anaitwa EDWIN SOKO. na ni mwenyekiti wa Press club na taasisi moja amejiundia eti ya kupambana na madawa ya kulevya.Huko Mbali, aanzie hukohuko Mwanza awe kiongozi wa wenzake na kumtoa tapeli mmoja ambaye kiasili sio mwandishi maana hana historia ya uandishi bali ni opportunistic ndani ya tasinia ya habari.
Yeye kila kwenye fursa lazima ajiingize kwa uongo uongo ili apige mpunga, anaitwa Edwin Shako.
Ila siku wanahabari wa Mwanza wakishtuka ndio watakapojiona kumbe wamefanywa ignorants kwa muda mrefu sana.
After general election nitakuwa Mwanza nadhani nitapata dosier ya huyo bwana na nitatiririka hapa ili turudishe heshima ya wanahabari kutokea mikononi mwa matapeli wanaofanya inaonekana ya hovyo.
Kwani wewe ulitaka wanahabari mfanye jambo gani labda kiasi kwamba ungeona mmefanya kazi ya kutukuka?Je, wana habari hali hii ya kushindwa kutoa huduma yetu wakati muhimu kama huu wa uchaguzi twaionaje?
Huu ndiyo ukweli wenyewe hatuna journalists wala vyombo vya habari tuna magenge ya wahuni tu.Kama kuna 'Jambo' huwa si tu 'linaniumiza' bali pia 'linanikera' Kulisikia ni pale 'Watanzania' wanapodhani Tanzania ya sasa ina 'Journalists' mahiri.
Kuna tofauti kubwa sana iliyojitokeza jinsi tulivyo ripoti taarifa za uchaguzi za 2015 na hali ya sasa tunavyo endelea kuripoti.
Kwanza tumetawaliwa na woga usiokuwa na sababu, na woga huu ukiangalia ni kutokana na vyombo vyetu vya usimamizi kama MCT, TAMWA, JUKWAA LA WAHARIRI hata ile taasisi ya mtu binafsi ijiitayo UTPC kama mwamvuli wa vilabu vya upigaji hela za SIDA vijiitavyo Press Clubs kutojitoa na kuweka miongozo ya waandishi wako salama kiasi gani kutokana na wao kutumika.
Tunahitaji Uhuru zaidi wa habari siku za usoni, lakini ni muhimu hivi vyama kuundwa upya kukidhi mahitaji ya Uhuru huo wa habari na heshima ya taaluma nzima.
Kwanza karibu vyote viko hapa Dar vikiwa vimejikita kabisa kasoro kile kilichoko Mwanza kama mwamvuli wa Clubs ambacho kiuhalisia kinamilikiwa na mtu binafsi mjanja mjanja mmoja aliyetengeneza network ya ulaji na anaweka viongozi YES BWANA huko mikoani.
(Anyway hilo tutalijadili baadae ni hoja ndefu hasa kuelekea uchaguzi wa UTPC).
Je, wana habari hali hii ya kushindwa kutoa huduma yetu wakati muhimu kama huu wa uchaguzi twaionaje?
Na hao makanjanja ndiyo wame take overMkuu Mag3 nimekusoma vizuri. Tasinia ya habari kwa kweli tuna matatizo makubwa sana. Shida ni kuwa taaluma hii imevamiwa na makanjanja wengi na ndio maana wajanja ndani ya taasisi za habari wanapinga sana ile Sheria ya Habari 2016 hasa kipengele cha kutambua wanahabari wawe na kiwango gani cha elimu.
Wakijaa wenye elimu ya Diploma na degree walaji ndani ya MCT, TAMWA, UTPC wanaotafuna fedha za wa Sweden, Denmark nk watazilaje? Wao wanawakusanya mfano vikundi vikundi Mara press clubs nk kisha kuwapatia ukoko wale wenyewe wakipiga mpunga wa kutosha kwa masharti ya kutoandika mambo yasiyo iumiza serikali na chama tawala.
Lakini umuhimu wa waandishi hauishii kwenye habari za uchaguzi pekee, hivyo tasnia hii ni muhimu tuijenge vyema ili hata Lissu naye akipata madaraka na kwenda kinyume aongozwe njia sahihi ya kufuata
Mwandishi ana kanuni zake za kazi anapaswa kuzifata bila woga. Balancing story.Kwani wewe ulitaka wanahabari mfanye jambo gani labda kiasi kwamba ungeona mmefanya kazi ya kutukuka?
Wewe binafsi umefanya lipi la maana ambalo unaweza kujisifu kuwa ni shujaa?
Hivi huwa unajisikia aje kuvua nguo zako zote na kubaki uchi mbele ya WANAUME wewe mdada...!?Tatizo Chadema wanatumia lugha chafu
Waandishi wamekuwa vibaraka wa magufuli mwaka huu.Kuna tofauti kubwa sana iliyojitokeza jinsi tulivyo ripoti taarifa za uchaguzi za 2015 na hali ya sasa tunavyo endelea kuripoti.
Kwanza tumetawaliwa na woga usiokuwa na sababu, na woga huu ukiangalia ni kutokana na vyombo vyetu vya usimamizi kama MCT, TAMWA, JUKWAA LA WAHARIRI hata ile taasisi ya mtu binafsi ijiitayo UTPC kama mwamvuli wa vilabu vya upigaji hela za SIDA vijiitavyo Press Clubs kutojitoa na kuweka miongozo ya waandishi wako salama kiasi gani kutokana na wao kutumika.
Tunahitaji Uhuru zaidi wa habari siku za usoni, lakini ni muhimu hivi vyama kuundwa upya kukidhi mahitaji ya Uhuru huo wa habari na heshima ya taaluma nzima.
Kwanza karibu vyote viko hapa Dar vikiwa vimejikita kabisa kasoro kile kilichoko Mwanza kama mwamvuli wa Clubs ambacho kiuhalisia kinamilikiwa na mtu binafsi mjanja mjanja mmoja aliyetengeneza network ya ulaji na anaweka viongozi YES BWANA huko mikoani.
(Anyway hilo tutalijadili baadae ni hoja ndefu hasa kuelekea uchaguzi wa UTPC).
Je, wana habari hali hii ya kushindwa kutoa huduma yetu wakati muhimu kama huu wa uchaguzi twaionaje?
Mabele Makubi namuelewa sana halafu naona ITV wamekivua Koti la mapambio sijui wamebadili Mkurugenzi? kabla ya Kampeni niliweka akili yangu Azam Sababu ya Tido lkn wameniangusha sana yaani wako tayari waoneshe kampeni ya dovutwa kuliko Lisu wapuuzi sanaHivi yule mwandishi wa ITV anayeongozana na Lissu anaitwa nani?
Mzee sio habari ya ukanjanja Mtu kamaMkuu Mag3 nimekusoma vizuri. Tasinia ya habari kwa kweli tuna matatizo makubwa sana. Shida ni kuwa taaluma hii imevamiwa na makanjanja wengi na ndio maana wajanja ndani ya taasisi za habari wanapinga sana ile Sheria ya Habari 2016 hasa kipengele cha kutambua wanahabari wawe na kiwango gani cha elimu.
Wakijaa wenye elimu ya Diploma na degree walaji ndani ya MCT, TAMWA, UTPC wanaotafuna fedha za wa Sweden, Denmark nk watazilaje? Wao wanawakusanya mfano vikundi vikundi Mara press clubs nk kisha kuwapatia ukoko wale wenyewe wakipiga mpunga wa kutosha kwa masharti ya kutoandika mambo yasiyo iumiza serikali na chama tawala.
Lakini umuhimu wa waandishi hauishii kwenye habari za uchaguzi pekee, hivyo tasnia hii ni muhimu tuijenge vyema ili hata Lissu naye akipata madaraka na kwenda kinyume aongozwe njia sahihi ya kufuata