Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Huoni kuwa kama wameweza kuleta hao watu kwa malori , wataleta pia wapiga kura... kuweni makini hilo lawezekana!!!!
 
CCM inawafanya watanzania kama vile watoto wadogo..,yaani vyakula.,pombe..,chumvi ndo mtaji wa CCM..,heb cheki hapo mbele ni watoto wadogo tuu waliojazana kuangalia hao Makomedi weo..!
Hakuna kitu..!
sasa watoto wakikaa nyuma wataona nini? Au ulitaka wakapande huo mti hapo nyuma. wanaccm ni wastaarabu bwana, wanajali watoto,ndio maana wamewekwa hapo mbele ili wafaidi
 
Huoni kuwa kama wameweza kuleta hao watu kwa malori , wataleta pia wapiga kura... kuweni makini hilo lawezekana!!!!
<br />
<br />
chadema inabidi wacheze karibu na register ya wapiga kura wa Igunga
 
ukweli ni kwamba cdm watashinda igunga endapo uchaguzi utakuwa huru na wa haki
inawezekana CDM wakashida lakini pia wanaweza wakashindwa, swali ni JE MTAKUBALI MATOKEO, naona umeshaanza kutoa lawama hata uchaguzi haujaanza.
 
Maandalizi ya uzinduzi
Kuanzia juzi CCM imekuwa ikihamasisha wafuasi wake waweze kufika kwenye ufunguzi wa kampeni zao, huku magari ya chama hicho yakionekana kupita kona mbalimbali za Igunga.
Jana kuanzia asubuhi mashangingi ya viongozi wa ngazi za juu ya CCM yalionekana yakipita sehemu mbalimbali katika mji wa Igunga na baadhi ya wananchi wakiwa kuvaa nguo za rangi za kijani na njano. Bendera za CCM zilikuwa zinapepea kila kona ya mji wa Igunga.
 
watu waliofika katika mkutano wa CCM ni mara tatu ya CDM na picha walizotuletea katika magazeti ya bongo za chadema walichakachua, Waliweka picha za Arusha badala ya Igunga. igunga hakuna magorofa lakini picha za cdm zilikuwa na magorofa.
jp vipi ! open ur eyes ndugu yangu. hivi kuna mtanzania anayetaka kusikia huo upupu wako! Shame on U
 
tathimini gani tena wakati ushahidi wa picha unaonesha walifuata wali, tshirt ,kina masanja the comed ,tot ,kofia aliopo ugunga aseme matangazo ya mkutano yalikuwa yanasemaje.........lile gari la matangazo
 
Yaani CCM kugawa kofia na kuuza kwa bei ndogo ni kusaidia ugumu wa maisha? duh! tuna safari ndefu.

Umeyatoa wapi hayo maneno?
Sehemu ulizozibold nilidhani unataka kuzitolea ufafanuzi kwa hoja.

Lakini kwa inavyoonekana ni kama pamejibold kibahati mbaya tu, kwa sababu haziko relevant na post yako, sikusema popote kwenye post yangu kuwa "Ccm wanagawa kofia na kuuza kwa bei ndogo" kwanza ni sentensi isiyoeleweka, nina uhakika hata wewe mwenyewe huielewi.

Please edit your post ili hata wewe mwenyewe uweze kuielewa labda utaweza kunichallenge.

Kingine, punguza kuzikamia post au vinginevyo ujitia hasira na kuishia kutukana tu...
 
Ama kweli! inaonekana wanafahamu kuwa pointi zao zinachosha na kusababisha njaa hivyo wanaona watoe msosi kusubirishia! si mnajua ubwabwa wengine ni mpaka idd au xmass
 
he!! huyu mzee anachekesha mbona katika miaka 50 ya uhuru hajagusia serikali iliovyofanikiwa kuingia mikataba ya kitapeli ya madini,epa,meremeta,deep green,uuzwaji wa nyumba za serikali,alivyonunua mgodi wa makaa ya mawe kule kiwila,kutorosha wanyama,miuondo mbinu mibovu ya usafiri wa maji na watu wanakufa kila siku,kifo cha reli ya kati,ATC na rushwa iliyokithiri ndani ya serikali yetu,ni kweli hajui au amesahau???!!!
 
I have seen rice and beens...ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaa! bongo nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
<a href="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36987&amp;d=1310201800" target="_blank"><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36987&amp;amp;d=1310201800" border="0" alt="" /></a>
<br />
<br />
plate ni ya single au mtu double duh! Imejaa kama mlo wa siku mbili.mtu kama bwm anapiga plate 5ndo ashbe na ule mwli wake ka mti wa mbuyu
 
Mkapa maana yake kapa, mwizi mkubwa huyo , sina hakika kama atavumilia kukaa huko igunga , asubiri aibu tena aibu kubwa badala ya kueleza wanainchi kilichosababisha uchumi kuporomoka na maisha duni kwa wantanzania waliowengi, analeta porojo kuwa ****** anaenda kutafuta soko la bidhaa, bidha zipi ambazo tanzania inazalisha, hata ingekuwa kweli ni hivyo haoni kuwa ****** bado ni ovyo ? kazi ya kutafuta masoko ya bidhaa ni ya rais au mawaziri wake ?
 
Hapo punga linapigwa bila kunawa mwanangu!

watasema kama wanavyosema babu zao "Dakalabila Kumongo" yaani tulishanawa mtoni.

Ndo maana kipindupindu hakitaisha nchini humu. Kudos CCM!!!!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mkuu, try to be transparent. ameona kwenye magazeti ya leo unataka asubiri tathmini gani?
<br />
<br />
Labda sonovet ndo ameizoea kwa tathmini za kuibeba ccm na kuwahadaa wananchi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…