The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Una chuki binafsi na Mkapa, JK? Kama ni hapana, kipi huelewi kuhusu aliloongea Mkapa? Au wewe una uvivu wa kufikiri?
MBUMBUMBU MKUBWA WE.
Nimeamini kuwa kichaa huwa hajijui kuwa ni kichaa!!! Nyinyi watoto wa mafisadi mna matatizo. Hivi hayo maendeleo ya familia zenu mnataka wote tukubali kuwa tumeendelea? Shame on you!!!!