Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Do people there know where Tanzania is going. No wonders they still neeed kofia and vitenge?
 
Kwahiyo tunahesabu kura kwa kuangalia waliohudhuruia katika kapeni? Au?
 
Mratibu wa kampeni za CCM katika uchaguzi mdogo wa Igunga Mh. Mwigulu Nchemba akiuhutubia umati wa wananchi leo uliofunja rekodi ya mkutano wa Slaa wa Chadema uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika kata ya Nkinga wilayani Igunga na kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.

Ama kweli mmeishiwa. Pamoja na kuwasomba toka vijiji hadi tarafa na kata mbalimbali hawazidi 1000? Kuna methali ya wenzetu inasema unaweza sema uongo kila siku lakini kamwe hutawadanganya watu kila siku.
 
Heshima yenu wakubwa,

Asubuhi hii nimesoma habari ya Nape Nnauye kupigwa biti na katibu mkuu wake Wilson Mkama ktk gazeti la Mwanahalisi kwa sababu ya kwenda Igunga kuhani msiba wa Kijana aliyegongwa gari ktk msafara wa CCM na kufa papo hapo huko Igunga.

Taarifa zinasema kitendo chake hicho kimeuwaudhi sana Rais JK na W. Mkama kwa madai kwamba kitendo hicho kinaweza kumuudhi Rostam na kusababisha uchaguzi Igunga kuharibika.

Taarifa zinaendelea kusema kuwa, sokomoko hili lilitua mpaka kwa katibu mkuu Wilson Mkama aliyemwuliza Nnape, Nanukuu gazeti,

Nnape kwanini ulienda Igunga? Ulikatazwa na kamati kuu usiende, sasa, kwanini umeenda Igunga? \

Nnape alijibu, Nilikwenda kuhani msiba
.


Mkama; Nani amekutuma? Mkama alifoka?
Nape hakuwa na jibu.


Gazeti lilimtafuta Nnape kwa simu na kumuuliza kuhusu sokomoko hilo naye akajibu,


Alfred
(mwandishi), mimi sina la kujibu kuhusu hilo. Akauliza, Jamani mimi ni kijana mwenzenu, nimewakosea nini?


Mkama alipopigiwa simu kuhusu habari hiyo, kwanza alicheka ha ha ha ha. Kisha akasema,
fahamu sisi hatufanyi kazi za kiutendaji kupitia magazetini. Isitoshe, si vema kuzungumzia mambo mazito kama haya magazetini. Nakwenda Zanzibar, nitarudi kesho kutwa( Jumatano) njoo ofisini tuzungumze. Alipoambiwa kuwa gazeti liko mbioni kuchapishwa, alijibu sawa, lakini kwanini usije ofisini?

In my view, M
kama hakukanusha kumpiga biti Nnaye, ina maanisha alifanya hivyo( This is my opinion).

Gazeti pia lilikumbusha kuwa Nnape amewahi kujigamba ktk mtandao wa kijamii ( Jamii forums) kuwa mliosema sitaenda Igunga, mbona nimetinga
Igunga?


My take,


Nnape anajua alitendalo ndani ya CCM? Anaujua kweli msimamo wa JK?

Je, huku siko kushindwa kwa wazi kwa JK kwa hoja yake ya kuvuana magamba?
 
Mie ma CCM siyaamini hadi siku yakitoka madarakani yatuachie Nchi yetu maana yote ni masanii hakuna wa unafuu .
 
Siasa zetu sijui tutapona lini.
Vijana kama Aweda tayari wameishaingia kwenye mtego wa siasa za bla bla na uongo.
Magazeti nayo ndo hivo tena.
Naamini hizi habari zima mapungufu mengi na kwa mtu makini huwezi kuamini story kama hii kirahisi.
 
Siasa zetu sijui tutapona lini.
Vijana kama Aweda tayari wameishaingia kwenye mtego wa siasa za bla bla na uongo.
Magazeti nayo ndo hivo tena.
Naamini hizi habari zima mapungufu mengi na kwa mtu makini huwezi kuamini story kama hii kirahisi.
Heshima yako Fidivin,
Lakini mkuu, mimi nimetoa taarifa kutoka kwenye gazeti. Labda utuhumu gazeti lakini siyo mimi. Hata hivyo, Mimi bado naiamini mwanahalisi.
Pili, gazeti haliwezi kumnukuu Katibu mkuu wa ccm kwa uwongo ili lijitafutie matatizo yasiyo ya lazima.
Mwisho mkuu, nakushauri usome gazeti lote kwanza utagundua kwamba mimi nasema kweli. Story za kutunga huwa ni rahisi kujua.
Naona tukubaliane tu kuwa huu ni mwanzo wa mwisho wa ccm ambao utahitimishwa 2015
 
Ina maana Nape anatumia Nauli yake kufanya kazi ya CCM?
kama alitumia hela ya chama kwa nini? ccm wasimwajibishe Nape kwa matumizi mabaya ya pesa na mali za chama?
kwa maana hiyo safari sio ya chama kwa nini alitumia pesa ya chama?
hawa jamaa ndio maana tunaibiwa pesa hata za serikali kwa safari zisizo na msingi ni wazembe sana
wawape hii kesi polisi wambambike makosa kama mia kwenye ili suhala
 
Teh teh teh Ahahahaha!! Magwanda baada ya kuona hali imeishakuwa ngumu Igunga yameamua kuanzisha thread ya kujiliwaza na kujifariji, Teh teh teh
<br />
<br />
hivi ni lazima uchangie kila thread?
 
gazeti la mwananch wanajfanya wanatoa habar za kchunguz kumbe n za kipuuz...yan upeo wao ulpoishia n kuwa bla kutoa habar za kzushi za ccm hawauz,,thc z stupid!inafka ha2a had anawaulza amewakosea nn?hatuwez kufka kwa styl hi na mabogus km nyie mnaamin na kuleta upuuz wenu hapa...polen washkwa mackio(mafuac wa chadema)
 
Heshima yenu wakubwa,
Asubuhi hii nimesoma habari ya Nape Nnauye kupigwa biti na katibu mkuu wake Wilson Mkama ktk gazeti la Mwanahalisi kwa sababu ya kwenda Igunga kuhani msiba wa Kijana aliyegongwa gari ktk msafara wa CCM na kufa papo hapo huko Igunga.
Taarifa zinasema kitendo chake hicho kimeuwaudhi sana Rais JK na W. Mkama kwa madai kwamba kitendo hicho kinaweza kumuudhi Rostam na kusababisha uchaguzi Igunga kuharibika.
Taarifa zinaendelea kusema kuwa, sokomoko hili lilitua mpaka kwa katibu mkuu Wilson Mkama aliyemwuliza Nnape, Nanukuu gazeti,

Nnape kwanini ulienda Igunga? Ulikatazwa na kamati kuu usiende, sasa, kwanini umeenda Igunga? \
Nnape alijibu, Nilikwenda kuhani msiba.
Mkama; Nani amekutuma? Mkama alifoka? Nape hakuwa na jibu.
Gazeti lilimtafuta Nnape kwa simu na kumuuliza kuhusu sokomoko hilo naye akajibu,
Alfred (mwandishi), mimi sina la kujibu kuhusu hilo. Akauliza, Jamani mimi ni kijana mwenzenu, nimewakosea nini?
Mkama alipopigiwa simu kuhusu habari hiyo, kwanza alicheka ha ha ha ha. Kisha akasema, fahamu sisi hatufanyi kazi za kiutendaji kupitia magazetini. Isitoshe, si vema kuzungumzia mambo mazito kama haya magazetini. Nakwenda Zanzibar, nitarudi kesho kutwa( Jumatano) njoo ofisini tuzungumze. Alipoambiwa kuwa gazeti liko mbioni kuchapishwa, alijibu sawa, lakini kwanini usije ofisini?
In my view, Mkama hakukanusha kumpiga biti Nnaye, ina maanisha alifanya hivyo( This is my opinion).

Gazeti pia lilikumbusha kuwa Nnape amewahi kujigamba ktk mtandao wa kijamii ( Jamii forums) kuwa mliosema sitaenda Igunga, mbona nimetinga Igunga?
My take,
Nnape anajua alitendalo ndani ya CCM? Anaujua kweli msimamo wa JK?
Je, huku siko kushindwa kwa wazi kwa JK kwa hoja yake ya kuvuana magamba?

Hiyo kijani kibichi: Kwa nini alikazania sana hiyo kitu?
Changanya na zako!
 

Je, huku siko kushindwa kwa wazi kwa JK kwa hoja yake ya kuvuana magamba?

Nani kakuambia gamba linavuliwa? Thubutu! Kwa RA hii ni mbinu tu ya kupumbaza wadanganyika. Hebu wamjaribu EL utaona ngoma itakavyokuwa. Je hujaona bungeni kambi ya EL lilivyotema cheche? Na hizo ni rasha rasha tu, nikutuma sms ujumbe bado.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom