Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Hivi ninyi watu wa CDM mnataka tu successful stories from CDM tu? Mbona mnakuwa kma sio wasomi? Msomi wa kweli ni yule anaetazama pande zote mbili, kusikiliza na kuchambua maoni ya pande zote mbili...

Wengi wenu mliochangia kwenye hii thread hamkuchukua hata dk 2 kuprove kama kuna ukweli katika taarifa hii badala yake mnakurupuka kuponda habari hii! mimi co wa CDM wala nini wala siko Igunga lakini nashangaa kila inapoletwa habari mbaya kuhusu CDM mnang'aka lakini ikiletwa habari mbaya kuhusu CCM na vyama vingine mnafurahia.

Hii inaonyesha wazi kuwa wengi wenu sio positive thinkers bali ni washabiki wa vyama vya siasa TENA Chadema!!!! Kwa bahati nzuri hatuombi tickets kuchangia mada hapa...so mtegemee critizism kutoka upande mwingine na sio habari ya kufurahisha CDM pekee!

Wewe unadhani sisi tunalipwa kama wewe! na kwa taalifa yako wengi wetu humu si wanachama wa cdm!
hao unaowaita wasomi ndo waliotufikisha hapa!
 
lakini ni tangu kitambo nilisikia habari za yeye Nape kutoruhusiwa kwenda huko,sasa kama amekwenda labda ana lake jambo,lakini nadhani ndivyo system zao zinavyo kwenda
 
Siasa zetu sijui tutapona lini.<br />
Vijana kama Aweda tayari wameishaingia kwenye mtego wa siasa za bla bla na uongo.<br />
Magazeti nayo ndo hivo tena.<br />
Naamini hizi habari zima mapungufu mengi na kwa mtu makini huwezi kuamini story kama hii kirahisi.
<br />
<br /
Je nape alikuwepo kwenye uzinduzi wa kampeni za ccm pale Igunga?
 
Gazeti pia lilikumbusha kuwa Nnape amewahi kujigamba ktk mtandao wa kijamii ( Jamii forums) kuwa mliosema sitaenda Igunga, mbona nimetinga <br />
Igunga
<br />
hapana mkuu aweda siku za ivi karibuni nape ajawai weka uzi ktk jukwaa zaidi ya kupita na kuchungulia akiwa nje ya uzio.hiyo habari ilitolewa kule kwa watoto facebuk anapobishana nao!uzi wenyew si unaona ulivyokaa kimipashomipasho.
 
Hivi ninyi watu wa CDM mnataka tu successful stories from CDM tu? Mbona mnakuwa kma sio wasomi? Msomi wa kweli ni yule anaetazama pande zote mbili, kusikiliza na kuchambua maoni ya pande zote mbili...wengi wenu mliochangia kwenye hii thread hamkuchukua hata dk 2 kuprove kama kuna ukweli katika taarifa hii badala yake mnakurupuka kuponda habari hii! mimi co wa CDM wala nini wala siko Igunga lakini nashangaa kila inapoletwa habari mbaya kuhusu CDM mnang'aka lakini ikiletwa habari mbaya kuhusu CCM na vyama vingine mnafurahia. Hii inaonyesha wazi kuwa wengi wenu sio positive thinkers bali ni washabiki wa vyama vya siasa TENA Chadema!!!! Kwa bahati nzuri hatuombi tickets kuchangia mada hapa...so mtegemee critizism kutoka upande mwingine na sio habari ya kufurahisha CDM pekee!

Nali, hivi hujui kuwa watu sasa wamechoka kuonewa, kunyanyaswa, kufukarishwa, kudumu ktk umasikini unaoongezeka kila mwaka, kuona nchi yao ikiuzwa, maliasili kuporwa mchana na usiku? Sasa watu wanahitaji mapinduzi, wanahitaji mkombozi atakayewatoa kwenye makucha ya kunyonywa na kufukarishwa. Mkombozi huyo wamemwona, na ukimsema vibaya wanaweza kukurarua.

Nakushauri ungoje huyo mkombozi ajidhihirishe kuwa si mali kitu, hapo hutahitaji kuwaambia tena bali wao watamsusa. Lakini kama CDM ataendelea kujionesha kama alivyo sasa, hakika yake hayupo atakayewazuia hawa watu kuacha kumshangilia. Usishangae kuwa wanaomshangilia CDM ni watu wa CDM, CCM, vyama vingine na wasiokuwa na chama kama wewe.

Waache watu waliochoka na mfumo fisadi wachague mkombozi wao ili wajiponye.
 
Ndio hadithi za kujiliwaza wana CDM. Kama ndio zinawapa raha endeleeni nazo tu. Ndio maana chama chenu kinagawa konyagi huko igunga, hizi stori zinaendana na tungi ile mbaya.
<br />
<br />
tatizo si lako umekurupuka na kumshka nyoka kiunoni sasa ujui kichwa ki wapi ukishapata madhara ndo utajifunza ponda kichwa cha nyoka.
 
Bw. Henge, Mim silipwi nina ujira wangu na biashara zangu kaka.....pia mim sio mshabiki KAMA wewe! Na kama kweli wewe na wengine ni wachambuzi, wazalendo na watenda haki, kwanini mkurupuke kabla hamkufanya tafiti km habari hii ni ya kweli? Mbona wahukumu juu juu? Thread hii ingesema CCM hoi taaban Igunga, naamin ww na wenzako mngepongeza na mngesema NABADO......! Kwetu sisi watazamaji CDM wana hoja sana kwa sababu CCM imepwaya kwa mengi Lakini namna CDM inavyo drive towards kwenye hoja za msingi ina kila sababu ya kutiliwa mashaka makubwa.....Hata uchangiaji wenu nyinyi wana CDM hauna tofauti na kiiu-CDM...(Mmekosa busara katika kuwasilisha hoja zenu) Nihitimishe kwa kusema kuwa kwa mwenendo wenu...HAMTOFIKA POPOTE MTAZIDIWA AIDHA NA CCM YENYEWE AU VYAMA VINGINE VITAKAVYO SOMA WEAKNESS YENU NA KUJENGA HOJA YA MSINGI YA KUWASILISHA MAMBO MTAKAYOSHINDWA KUTOKANA NA JAZBA ZENU!!!! YETU MACHO!!!
 
ninachompendea... alishajiandaa kwa matusi... yaani ye anapita kugawa senks kutokana na jinsi mtu alivyovurumisha tusi lake... ... .. MAGAMBA wamejipanga yaani wanalipia watu jero za cafe ili waje waandike madudu yao hapa.... hahahah tena anasisitiza hao aliowahoji wametokea kilimanjaro. hahah
 
Ikiwa ni takribani wiki moja baada ya vyama vya siasa vilivyosimamisha wagombea ubunge jimbo la Igunga, Mkoani Tabora kuanza kampeni zake.<br />
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza kuonja joto la kampeni baada ya wananchi wa jimbo hilo kuonyesha dhahiri kwamba ni bora kulipigia kura jiwe kuliko mgombea wa CDM, Joseph Kashindye, baadhi ya wana Igunga wakiwaambia wenzao CDM ni chama cha watu wa kaskazini sio cha wana Igunga CDM kila mwezi kinapata ruzuku milioni 300 niambieni hapa ni lini ofisi yenu ya wilaya imewahi kupatiwa fedha za kuendesha ofisi au hata kuwalipa posho viongozi wenu?<br />
Kujitokeza kwa Rostam Azizi, gamba kuu la CCM, ndio limetibua kila kitu cha CDM mashabiki wa Magamba wamembana Dr Slaa, na Tindu Lissu, walete uthibitisho wa ufisadi wa Rostam Azizi waliosema pale viwanja vya Mwembe Yanga mwaka 2007.<br />
Gamba kuu Rostam Azizi katibua matumaini yetu alisema kada mmoja wa CDM kutoka Moshi, kuna uwezekano mgombea wa CDM Joseph Kashindye, kugawana kura na wagombea wa AFP Staven Making na SAU john Maguna.<br />
Jana CUF kwenye mkutano wao ndio wametibua kabisa kila kitu kutoka hali ni ngumu alisema mwana CDM aliepo hapa Igunga akitokea Kilimanjaro
<br />
<br />
hata wana igunga hawakusikii
 
Niliona wamepewa wali na maharage nadhani ndio kinachowasumbua hawa watu...


halafu yale maharage nawasiwasi yalikuwa hayajaiva... maana naona MAGAMBA wote waliadimika humu matumbo yalikuwa yanawaendesha...

anyway na ww UPO mama sijakuona mda.. au ulikodishwa na MAGAMBA katika kuweka mambo sawa.........
 
MAGAMBA ndo zao hizo.Hebu fikiria haya maviwavi yana nini cha kuwaahidi au kujivunia kwa wananchi? miaka 50 wamefanya nini?Wakisimama mbele ya wananchi watawambia nini jipya.Sasa kilichobaki ni unafiki,uongo uzushi na siasa za majitaka.Wameona igunga haikaliki hawana mvuto kwa wana igunga sasa wameanza kuweweseka.Na bado huo ni mwanzo tuu!!!
 
anawakomesha nyie mnaomshambulia kuwa hawez kwenda igunga
kumbe hajatumwa?????????? sasaaa hawa jamaa wa ccm
wanafanya kazi kwa mtindo gani?au kila mtu anakurupuka tuuu ina maana hawana kazi maalum khaaaaa kodi zetu jamani
nabata ushungu



Ina maana Nape anatumia Nauli yake kufanya kazi ya CCM?
kama alitumia hela ya chama kwa nini? ccm wasimwajibishe Nape kwa matumizi mabaya ya pesa na mali za chama?
kwa maana hiyo safari sio ya chama kwa nini alitumia pesa ya chama?
hawa jamaa ndio maana tunaibiwa pesa hata za serikali kwa safari zisizo na msingi ni wazembe sana
wawape hii kesi polisi wambambike makosa kama mia kwenye ili suhala
 
Nape kazi unayo mwaka huu........simamia unachokiamini husiwe ndumila kuwili!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom