Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
sijaelewa lengo la thread yako mkuu, au masaburi yako yameamua kupumua na kutoa ushuzi kama huu???
 
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.<br />
<br />
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.<br />
<br />
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
<br />
<br />
U cal him Ms, i cal new masaburi era!
 
president elect....my foot!!!

Igunga yetu tu...
 
Mayage S. Mayage
Tayari zimeanza kusikika propaganda za kijinga kabisa kutoka ndani ya CCM zikidai kwamba kama CCM kinataka kulibakiza jimbo hilo mikononi mwake, basi, kihakikishe hakuna yeyote miongoni mwa makada wake wanaojitambulisha kama wapambanaji wa ufisadi anayekanyaga katika jimbo la Igunga kwa ajili ya kampeni za kusaidia ushindi wa chama hicho.

Kwamba endapo wapambanaji hao wa ufisadi watakwenda kwenye majukwaa ya kampeni na kuzungumzia masuala ya ufisadi ndani ya CCM, wananchi wa Igunga watakasirika na kukinyima kura. Binafsi, nasema hizo ni propaganda za kijinga mno. Ni siasa za kitoto!

Ni kutokana na kutambua hilo, CCM yenyewe, katika vikao vyake rasmi na visivyo rasmi, imekuwa ikikiri kwamba bila kupata msaada wa mwanasiasa huyo katika kampeni za uchaguzi huo mdogo, uwezekano wa kulifanya jimbo hilo liendelee kushikiliwa na chama hicho ni finyu mno.

Kama huo ndio ukweli wenyewe, CCM kinapojipanga kwenda Igunga kumpigia kampeni mgombea wake; huku kikizuia makada wake kuzungumzia ufisadi waliomtuhumu Rostam na kusababisha kujivua Ubunge na huku kikiamini kwamba bila msaada wa Rostam hakiwezi kushinda, kina kwenda kufanya nini?

Habari kamili click hapa Raia Mwema
 
Jana nilipita Kahama.Ulikuwepo mkutano wa hadhara wa CDM. Moja ya strategy za ushindi zilizopendekezwa mkutanoni ni kutumia madiwani wa CDM toka mikoa ya Singida na Tabora kama mawakala ili kudhibiti rushwa wakati wa kusimamia na kuhesabu kura.
 
We kilaza kuwa CHADEMA siyo kuvaa gwanda. Funguka....
 
Jana nilipita Kahama.Ulikuwepo mkutano wa hadhara wa CDM. Moja ya strategy za ushindi zilizopendekezwa mkutanoni ni kutumia madiwani wa CDM toka mikoa ya Singida na Tabora kama mawakala ili kudhibiti rushwa wakati wa kusimamia na kuhesabu kura.
Hawa chadema kweli vilaza!
Badala ya kutangaza sera zao wanang'ang'ania kulinda kura!
Ama kweli nimeamini ule msemo kuwa Jambazi muda wote naye anaona kama anaibiwa!!
 
We kilaza kuwa CHADEMA siyo kuvaa gwanda. Funguka....
Khe khe hahaha..
Chadema bila magwanda, haiwezekani!
Kuna Mbunge wa Chadema badala ya kuleta mambo ya muhimu jamvini, alianzisha thread ya kumsifia mbunge mwenzake kwa kuvaa magwandwa wakati akisoma bajeti!
 
Magwanda yana joto hayo balaa! Kwa dar ukivaa utayavua mwenyewe! Ni makombati ya mgambo yale labda uwe na gari yenye AC!
 
We nani hadi tusubiri ahadi yako. Kafie kati huko!
 
unaota au unaimba? hivi unaweza kuvuna mahali usipopanda? cdm hata tawi hawana utashinda aje?
 
Magwanda ata Mgambo wa city wanavaa!
 
Unajiita presedent elect?
Nadhani huna adabu.
We utavaa GAMBA sio GWANDA.
Aliyesema unatumia MASABURI kufililia hajakosea.
CDM iko makini na haichafuliwi na maneno ya wapunbavu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom