John Marwa
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 275
- 28
<br /><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">We nani kwanza tukujue. Pili kuvaa gwanda ni swala la maamuzi yako mwenyewe halihusiani na CDM waweza vaa gwanda la mgambo, gwanda la polisi, gwanda la mjeda au hata gwanda la mfungwa. Vaa tu gwanda ndugu. CDM hatutaki shobo. CDM hatufanyi kampeni ili kushinda uchaguzi na kufurahisha watu, ila CDM nia kubwa ni kuleta ukombozi kwa watanzania.</span></font>
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Huwezi kupewa 'gwanda' until you prove beyond reasonable dought that you are one of us!
<br />
<br />
exchuse us, who are u any way
...Mh!!masaburi yako
si UNAJUA MASABURI YANAMATATIZO SANA!Bwana eh, eti president elect, sijui ndo nini sasa.
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
ka<br />
<br />
shibuda aliprove nn..mbona hamumfukuzi.?!mnaenda kuwatimua madiwani...zitto aliwazingua bado mkamgwaya..hata huyo padri wenu akiingia ikulu hakuna chochote atakachofanya zaid ya kutaka sifa za kupeleka watu mahakamani...pumba tupu 2015 hamshindi ng'oo na magwanda yenu ya mgambo hayo
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
<br />
<br />
Mimi hata kwa bunduki sivai ujinga ule wa manguo ya mgambo sijui nani aligundua yale manguo!
<br />
<br />
Wasanii tu nyie na magwanda yenu kampuni ya Edwin Mtei ndio ikomboe Watanzania? CDM ni kampuni ya Mtei
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
Nani kakuambia si kigezo.Hivi nani kawaambia ufisadi wa CCM ni kigezo cha kuchagua upinzani?
Unafikiri kwamba kwa wewe kufanya hivyo kuna uzito wowote?Kwa nini?Jambo kubwa na la pekee na ambalo liko wazi ni kuwa chadema ikishinda itakuwa imepata mbunge ambaye ataongeza nguvu ya kambi rasmi ya upinzani ndani ya bunge na hata nje ya bunge.Vilevile ushindi kwa cdm utawapatia wana igunga mwakilishi ambaye atakuwa ni mhimili wao mkubwa kuwasemea na kuwatetea kwa dhati kama ambavyo ni kawaida kwa wabunge wengine wa cdm.Haya ni maendeleo yenye tija kubwa kwa igunga na taifa kwa ujumla kuliko kuvaa gwanda kwa president elect.