Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
<br />
<br />
Nikweli watu wa CDM hawakumuelewa mtoa hoja wala wewe ukumueldwa mtoa hoja, pengine hata mm sijawaelewa wote, Lakini ni kweli tulishindwa kumuelewa ROSTAM AZIZ mjenzi wa igunga pamoja na magamba yake lkn alikua anaonekana mifupa mitupu kule Igunga hata ngozi akua nayo?

Sasa ameondoka tena akasema maneno magumu sana yaliyowaelekea watoa magamba,wananchi wa sasa hawana chama wana mtu, kama hivyo ndivyo wa Igunga wamemkosa Rostam aliyetoswa na CCM, hata mm nikienda kugombea naweza chukua, usibishe ila subiri matokea,
 
Mada hii ni nzuri sana! wana CDM mnapaswa kuwa tu makini na hawa wa2 wanao taka kutubu dhambi baada ya Yesu kuja, wkt huo hautokuwepo, HIVI UNAFIKIRI WANA IGUNGA WATAKUA WANAIPENDA CCM KULIKO ROSTAM?? Embu jadili hili kichwani mwako.
 
We Kimilidzo unafikiria mbali sana, lakini kwa sasa nadhani wanyamwezi wamejifunza hawawezi wakafanya makaosa wakachagua mtu kutoka Dar.
 
Huo umma uliomchaguwa JMK na RA huko Igunga umeusahau? mlikuwa wapi siku zote?
<br />
<br />
Umati huo huo ulo wachagua hao ulowasema ndo unaweza hata kumchagua shetani leo hii, 2days society z very volatile
 
ccm wao wanatumia nguvu lakini cdm huwa wanatumia akili
 
Lakini itakuwaje CCM wakimlazimisha RA kupiga kampeni za zao? mnadhani ana ubavu wa kukataa?
 
Lakini itakuwaje CCM wakimlazimisha RA kupiga kampeni za zao? mnadhani ana ubavu wa kukataa?
Ndiyo maajabu ya mwaka tunayosubiri kwanza RA atasemaje wamenitoa kwa vile mimi ni fisadi au wamenionea mimi si fisadi.
 
Magwanda kuongelea ufisadi ni kama nyani kucheka la mwenzake na lake halioni:
1) Kukwepa kodi sio ufisadi?
2) Kula mali ya umma halafu ukakataa kuirudisha sio ufisadi?
3) Kuendesha kabla ya usiku inayohamasisha mmommonyoko wa maadili kwa kuridhia na kuhamasisha wasichana kujiuza waziwazi, sio ufisadi?
4) Kuvunja amri za kanisa na kuizaa na mke wa mtu, sio ufisadi?
 
sitegemei rostam atapanda jukwaani..

Rostam ndio king wa Igunga. Si lazima apande jukwaani kumpa Ubunge amtakae. Rostam ni kichwa kuliko unavyofikiria na Igunga atashinda amtakae Rostam na si vingine. Yule mtu muone na kumsikia kwa mbali tu, si wa kawaida kabisa.
 
Rostam ndio king wa Igunga. Si lazima apande jukwaani kumpa Ubunge amtakae. Rostam ni kichwa kuliko unavyofikiria na Igunga atashinda amtakae Rostam na si vingine. Yule mtu muone na kumsikia kwa mbali tu, si wa kawaida kabisa.
Kama ni kichwa kwa nini mmemlazimisha kujivua ubunge.
 

CCM wako sahihi kuwazuia wanaojiita wapambanaji dhidi ya ufisadi kwenda Igunga. Siku zote sera kuu ya CCM imekuwa kushinda uchaguzi kwa gharama yoyote ile na kukamata dola ambayo inatumika kuwezesha ufisadi wa viongozi na wapambe wao.

Kuhusu vita dhidi ya ufisadi kwanza haijawahi kuwa sera wala kauli mbiu ya CCM, pili wahubiri hawa ni wanafiki kwani nao kwa kiasi kikubwa ni wanufaika pia wa ufisadi.
 
Rostam ndio king wa Igunga. Si lazima apande jukwaani kumpa Ubunge amtakae. Rostam ni kichwa kuliko unavyofikiria na Igunga atashinda amtakae Rostam na si vingine. Yule mtu muone na kumsikia kwa mbali tu, si wa kawaida kabisa.

Very interesting!! This is great thinking in deed.
 
Lakini itakuwaje CCM wakimlazimisha RA kupiga kampeni za zao? mnadhani ana ubavu wa kukataa?

Kwa siasa zetu za Tanzania lolote linawezekana. RA hana ubavu wa kukataa kwa sababu anaihitaji Serikali ya CCM kuliko inavyomhitaji yeye.
 

Maisha yamebadilika sana. Elimu juu ya haki zao za kitatiba ikitolewa na chama makini watafunguka macho tu. Cha msingi uchakachuaji uthibitiwe.
 
Lakini itakuwaje CCM wakimlazimisha RA kupiga kampeni za zao? mnadhani ana ubavu wa kukataa?
Huyo wa kumuambia apande jukwaani kupiga tafu ni nani sasa? Mwigulu huyuhuyu?
 

Kwa Hiyo CCM wamebakiza option yakupeleka Igunga, wapiga kampeini/makada wasio na historia wala utashi wa kukemea na kupinga Vitendo vya kifisadi??!

Hili litakuwa ni tusi kubwa kwa wana Igunga maana litatoa tafsiri kwamba wana Igunga, wanakubaliana au walau wana sympathize na vitendo vya kifisadi Jambo ambalo ni ajabu iwapo litakuwa ni kweli!!!!.
 
Mh.Regia Mtema, naomba unisaidie kuwasahihisha wenzako kuhusu mada hii.

Ni kweli mimi kama mwananchi ambaye ni sehemu ya umma wa Tanzania, eti kwenu nyie CHADEMA ni kama tone la maji baharini?

Na kama mnategemea nguvu ya umma, je si inapatikana kwa wananchi mmoja mmoja wanapounganisha nguvu zao kwa pamoja?

Nawatakia kila la heri, 'mshinde kwa kishindo'. Ila uwaombe wana-CHADEMA wenzako waache dharau.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…