Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Kafumu ametumia busara sana atleast kuwafanya wapiga kura wote wawe wake zake. Kuna kaubinadamu hapo japo kawadhalilisha. CCM huwa wanawafanya wapigakura kama comodities.

Umenena mkuu CCM inawafanya Wadanganyika kama Nyanya Masalo bana yaani inatia kichefuchefu we tazama tu jinsi inavyo wasombelea kuwaleta kwenye mikutano yake kama vile ng,ombe wa mnadani na huu ndiyo mtaji wao kamwe hawawezi kuboresha mfumo wa elimu wa chochote kile ili wazidi kuwanyonya wadanganyika.
 

Doesnt bring any difference sir, kwangu mtumwa wa Ccm au wa Cdm, wa Ra au wa Ws wote ni watumwa tu!
Utumwa si kitu cha kujivunia, kuwa huru. Hakukuna mtumwa bora aisee...
 
Wanaosema RA kaonyesha ukomavu kisiasa hakika manfikiri kutumia masaburi,hili halina ubishi bila kujali level zenu za shule,hakika mnafikiri kutumia masaburi.
Na wala si suala la mke na mme kuachana kisha mke au mme kurudi kuwaalimia wanae,this is something else,unataka kutuambia nani ni mke na nani mme na nani mtoto kati ya ccm,RA na wananchi wa igunga,tufafanunulieni kam RA alimuoa CCM na akzaa wana Igunga kam ni sawa,au kama wananchi wa Igunga waliolewa na RA na wakazaa mtoto anaitwa CCM.hapa hakuna falsafa unayotaka kuihalalisha itagoma tu,ukubali usikubali hili linafahamika,UELEKEO WA CCM NA SERIKALI YAKE UMEPOTEA NDANI YA GIZA NA HAKUNA WALAU TOCHI YA KUMULIKA.
Subirini tu TIME WILL TELL
 
Ukishawaleta watu kwa malori, unawapiga na ubwabwa wa kabeji!!!
nahisi mpakuaji alikuwa Nape.
 
Na hii vipi???<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36987&amp;stc=1" attachmentid="36987" alt="" id="vbattach_36987" class="previewthumb" />
<br />
<br />
Mbona huo umati hakuna hata mwenye T-shirt ya CCM? Mambo ya Magwanda na Online Kampeni! Kazi kweli kweli!
 
Duh!!! hayo ni matusi kabisa kwa wanaigunga, Ng'hilly alituasa mwembe yanga kuwa "Asiye funzwa na mamaye hufunzwa na Ulimwengu" Tumfunze wanaIgunga
 

Wapiga kura wangapi wa Igunga wana access ya internet hadi wapige kura kwenye blog ya mjengwa? Zingine huwa si kura za Maoni bali kura za Maono za mtu anayeratibu kura hizo!!
 
wangejaribu kufanya kavukavu bila wasanii ndio wangeona hasa mtazamo wa wananchi ukoje,hapo watu wengi waliwafata original comedy
 
hawa wananchi wamekodiwa kutoka vijiji, kata, wilaya, mkoa gani? Ni kawaida ya magamba kukodi mamluki!
 

kweli wadanganyika tunapenda ze komedi ha ha ha ha ha...Viva CHADEMA....sisimu wanahangaika tu
 
Alipotajwa Kafumu hapa mwanzoni nilisema jamaa ni mtupu na nikasema mtajionea weyewe .Tafuteni bandiko langu mtaona .I knew kabisa kwamba Kafumu hana uwezo na si mwelewa na amejaa kiburi na dharau , now here we are .Kafumu CV ndefu imefinyangwa tu hakuna zaidi ya hapo .Ukweli uko kwenye madini tangia awe Commissioner Tanzania imepata nini ?Wana Igunga wataamua wenyewe sasa maana wamesha muona mtu wao .
 
aisee ni dharau kubwa sana,sema tatizo ni sisi watanzania kutokuwa na uwezo wa kusikiliza na kufikiri
 
Wanasiasa wa Tz hawaaminiki hata robo iweje useme unaacha ubunge kwa sababu ya siasa za majitaka na uchwara baadae unarudi kupiga kampeni na hao haoa unaosema wanafanya siasa uchwara sasa wewe nae si uchwara tu ama?!!! kazi bado ipo ndio mana sishangai sana NATO wakivamia Afrika na kuua huku tukiwa kimya tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…