Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Mfumo wa utawala wa serikali ya Uingereza tofauti kabisa na Tanzania. Wao wana utawala wa Kifalme na anayeunda serikali ni Waziri Mkuu na hawana rais kama Tanzania. Ndio maana Prince Charles alipotembelea Canada hivi karibuni alikumbana na waandamanaji waliona na mabango kwamba utawala wa UK si wa kidemokrasia kwa ushikilia mfumo wa kuridhi wa kifalme.

Tumechukulia mfumo wa serikali ya Marekani ambayo mfumo wa utawala unafana kabisa na wetu, na hivyo mengi tunaweza kujifunza toka kwao kutokana na uzoefu wao wa kidemokrasia tangu mwaka 1776 hivi kama sikosei walipopiga vita kujiondoa toka ukoloni wa Mwingereza na kuachana na mfumo kandamizi wa kifalme wa UK.
 
watu waliofika katika mkutano wa CCM ni mara tatu ya CDM na picha walizotuletea katika magazeti ya bongo za chadema walichakachua, Waliweka picha za Arusha badala ya Igunga. igunga hakuna magorofa lakini picha za cdm zilikuwa na magorofa.
<br />
<br />
be great thinker man! Waliweka picha za Arusha akihutubia mgombea wa chadema Joseph Kashindye?
 
ushaona kuwa chadema ndo chama cha kujipatia umaarufu. Tatizo lako unatumia masaburi kufikiri. Mwambie mwinjilisti nape akuombea upone.
 
Du! kweli wanaigunga mkae macho,huo wali maharage usije wamaliza maana ccm wamewaon mnanjaa!
 
Kipindupindu jaribu kufupisha nukuru yako kwa kuweka link maana hakuna mtu anayeweza kuvutiwa na mlolongo mrefu na kumalisa nafasi bila sababu. Kama hujui namna ya kuweka link hapa JF si haba watakufunza namna ya kufanya.
 

Bila kuficha ndugu zangu mimi nina taabu sana na wasomi wa TZ! Sasa Dr. mzima anashindwaje kujieleza mbele ya halaiki? Yaani sijui tunashindwaje kujieleza jamani?

Sasa wanaume wa Igunga mnalo! Akishinda ubunge ninyi na wake zenu wote mtakuwa wake zake Dr. Kafumu. Yaani kwa maana nyingine jimbo zima litakuwa ni wake wa Dr. Kafumu, na siku akija nyumbani kwenu mmwachie wake zenu, dada zenu na mabinti zenu! Zaidi na zaidi na ninyi wenyewe!

Dr. Hawezi kujieleza wazee tumsamehe kwa bure! Lakini kama ataenda bungeni Igunga itakuwa imekula kwenu!
 

Halima James Mdee ni Iron Lady
 
tunataka ma great thinkers cdm sio masaburi kama wewe....wewe ni president elect wa familia yako inayokula mizizi kule handeni sio hapa jf


 
Yaani CCM kugawa kofia na kuuza kwa bei ndogo ni kusaidia ugumu wa maisha? duh! tuna safari ndefu.
 
Kipindupindu jaribu kufupisha nukuru yako kwa kuweka link maana hakuna mtu anayeweza kuvutiwa na mlolongo mrefu na kumalisa nafasi bila sababu. Kama hujui namna ya kuweka link hapa JF si haba watakufunza namna ya kufanya.
tatizo mkiwekewa link hamsomi!!cha msingi hapo sio urefu wa article,hebu tujikite katika suala letu la msingi huko nje mliposema ndivyo wanavyofanya na sisi tumeiga huko!
 
CCM inawafanya watanzania kama vile watoto wadogo..,yaani vyakula.,pombe..,chumvi ndo mtaji wa CCM..,heb cheki hapo mbele ni watoto wadogo tuu waliojazana kuangalia hao Makomedi weo..!
Hakuna kitu..!
 
Wanajamvi mwenye macho haambiwa tazama lakni ukifuatilia habari ya gazeti letu la ukweli, Mwananchi CCM hawana chao Igunga. Angalia watu wa Igunga walivyowaelewa wa mambo mazito kama kodi na jinsi gani serikali haizitumii ipasavyo kodi hizi. Soma mwenyewe

Wengine waondoka mkutanoni
Wakati Mkapa akiendelea kuhutubia, baadhi ya watu wakiwa kwenye makundi walianza kuondoka kwenye mkutano huo.

Wengi waliohojiwa na Mwananchi Jumapili walisema hakuna jipya katika hotuba ya Mkapa na kuongeza kuwa, waliyokuwa wakiambiwa na wapinzani yalithibitishwa na Mkapa mwenyewe.
Walitoa mfano kuwa Mkapa alipoingia madarakani, makusanyo ya Serikali kwa mwezi yalikuwa ni Sh28 bilioni, lakini hadi anaondoka, makusanyo hayo yalikuwa ni Sh400 bilioni na kuongeza kuwa ni wazi Serikali ina fedha, lakini hazitumiki kwa shughuli za maendeleo.
 
sio pumba....hata huko marekani hawarudii rudii chaguzi kwa staili yetu....

ni bora chama kinachoshika jimbo kifanye chaguzi ya ndani....au tuje na sysytem nyingine itakayokubalika.....

kuna system nyingi tu.....
Kuna nchi ambazo system zake watu wanachagua chama na si mgombea as such, mf. Italy. kwa mtindo huo ni sawa kabisa kama nafasi imekuwa wazi ikarithiwa na mtu mwingine wa chama hicho. Lakini system yetu ni kwamba wananchi wanachagua mtu aliye mwanachama wa chama fulani. Kwa jinsi hiyo itakuwa ni makosa, kama nafasi imekuwa wazi, kurithisha mtu wa chama kilichokuwa kinashikilia uwakilishi bungeni. Hii ni kwa sababu watu hawakuchagua chama bali mtu, ambaye ni wazi ameshikamana na chama fulani.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…