Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,508
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha uvivu wa kusoma mkuu.sasa hiyo ni vurugu,ungeweka link tu
<br />watu waliofika katika mkutano wa CCM ni mara tatu ya CDM na picha walizotuletea katika magazeti ya bongo za chadema walichakachua, Waliweka picha za Arusha badala ya Igunga. igunga hakuna magorofa lakini picha za cdm zilikuwa na magorofa.
Bora ungesubiri uone kuliko kuleta tathmini njaa hapa.
Mmmmh ndio Doctor huyo bhana, madokta wote wa CCM si ndio walivyo? yaani kabisa nimchague? nimchagueje? mmh mji.... kweli huyu, halafu ujue kama kawaida wakashangilia.....!!! huwa hawa watu hawafikirii hata kidogo ukishawavisha fulana na kanga kwisha habari yao!
kila unapotokea uchaguzi mdogo najikuta namkumbuka Halima Mdee
yeye peke yake alizungumza kitu cha maana kuhusu hizi chaguzi ndogo...
alisema chaguzi ndogo zinapoteza muda na pesa nyingi
ni bora ukawekwa utaratibu wa chama kinachoshikilia jimbo hilo
kuchagua ni nani arithi jimbo......
hakuna anaesikiliza haya,but huu ndo ukweli mtupu....
hizi chaguzi ndogo its a waste of time and money.....
zipigwe marufuku......
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
Yaani CCM kugawa kofia na kuuza kwa bei ndogo ni kusaidia ugumu wa maisha? duh! tuna safari ndefu.Nikukumbushe kuwa wananchi (pamoja na masikini sana) wanalipa kodi kwa serikali. Sehemu ya kodi hiyo hugawiwa kwa vyama vya siasa kama ruzuku kwa uwiano na idadi ya wabunge wake.
Ccm kwa kujua hilo wanagawa kofia na khanga bure na kuwasafirisha bure ikiwa ni matumizi ya ruzuku waliyopewa na serikali.
Kwa nini hautaki kukubali ukweli ulio wazi kwamba Chadema wana matumizi mabaya ya pesa za wananchi, kwa nini msipinge ufisadi kwa vitendo mnang'ang'ania maneno tu huku mkijua "watz wa leo si wa zamani"?
Unaweza kutuambia pesa ya ruzuku pamoja na biashara ya kuuza kofia kama unavyosema pengine na kombati, changanya na kodi mnayokwepa kulipa, pesa yote hiyo mnafanyia mambo gani mshindwe hata kuwanunulia kofia ziwasitiri na jua wananchi masikini wanaounga mkono jitihada zenu za "kuikomboa nchi", kwa nini mnalifanya suala la "ukombozi" kuwa adhabu kwa wananchi pekee na sio nyie? Kwa nini mnakosa huruma na wananchi hata kushindwa kuwagawia japo kofia bure?
Mnachofikiria ni kuwanyonya tu, kweli mwenye kidogo hunyang'anywa hata alichonacho.
Kuna picha ya jukwaa lilotumika kufanyia uzinduzi wa kampeni Igunga, ongeza na jengo la makao makuu ya Chadema vyote haviko proportional na ruzuku wanayoipata hata kidogo na kusema kweli kinachokosekana ni ushahidi wa nyaraka tu kuthibitisha kuwa kuna ubadhilifu na haitokuwa hivyo siku zote. Kama haitoshi, wanatengeneza kofia kwa bei ndogo na kuwauzia wananchi masikini kwa bei kubwa huku wakijua ugumu wa maisha yao na mfumuko wa bei.
Kwa kuyajua hayo, ni dhahiri kuwa Chadema ndicho chama chenye matumizi mabaya zaidi ya pesa za wananchi kuliko chama chochote kingine, achilia mbali Ccm.
Yuh should know better, sir...
tatizo mkiwekewa link hamsomi!!cha msingi hapo sio urefu wa article,hebu tujikite katika suala letu la msingi huko nje mliposema ndivyo wanavyofanya na sisi tumeiga huko!Kipindupindu jaribu kufupisha nukuru yako kwa kuweka link maana hakuna mtu anayeweza kuvutiwa na mlolongo mrefu na kumalisa nafasi bila sababu. Kama hujui namna ya kuweka link hapa JF si haba watakufunza namna ya kufanya.
Kuna nchi ambazo system zake watu wanachagua chama na si mgombea as such, mf. Italy. kwa mtindo huo ni sawa kabisa kama nafasi imekuwa wazi ikarithiwa na mtu mwingine wa chama hicho. Lakini system yetu ni kwamba wananchi wanachagua mtu aliye mwanachama wa chama fulani. Kwa jinsi hiyo itakuwa ni makosa, kama nafasi imekuwa wazi, kurithisha mtu wa chama kilichokuwa kinashikilia uwakilishi bungeni. Hii ni kwa sababu watu hawakuchagua chama bali mtu, ambaye ni wazi ameshikamana na chama fulani.sio pumba....hata huko marekani hawarudii rudii chaguzi kwa staili yetu....
ni bora chama kinachoshika jimbo kifanye chaguzi ya ndani....au tuje na sysytem nyingine itakayokubalika.....
kuna system nyingi tu.....