Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Habari yako ni nzuri kwa waTZ wanaoipenda hii nchi....!!! Lakini hebu tupe wasifu wako kabisa!!! Umejitambulisha unatoka kijiji cha ndani kabisa, sasa hizi habari zote umetoa wapi?!
 
nimeipenda comment yako mkuu!
Mimi nawashangaa baadhi ya watu hapa JF, bila shaka ni mapandikizi ya magamba. Ni afadhali ukaamini kuwa Mungu yupo na asikuwepo kuliko ukaamini kuwa hayupo na ukakutana naye siku ya kiyama. Ushauri wangu kwa CHADEMA, msipuuzie jambo lolote kwa hili, ila muwe na tahadhari, ili likitokea la kutokea, tuwe na solution tayari na siyo kukumbuka blanketi asubuhi.
 
Habari yako ni nzuri kwa waTZ wanaoipenda hii nchi....!!! Lakini hebu tupe wasifu wako kabisa!!! Umejitambulisha unatoka kijiji cha ndani kabisa, sasa hizi habari zote umetoa wapi?!!!
unakuhusu nini?
Humu JF kuna watu wakila aina, what matters is the message ukitaka chukua usipotaka achana nayo.
unataka ajitambulishe ili muanze kumfuatilia,
basi amedanganya tu yeye ni mkurugenzi wa igunga labda ukiambiwa hivi utaamini
 
Mie nimesoma Igurubi Secondary.Mkuu wetu wa shule anaitwa Mwl.Masele
Sisi ndie tunayeijua igunga,
NAWAKUMBUSHA.
ukienda maeneo ya Igurubi, Itunduru, Mwamashimba, Mwanzugi, Mwisi, Igunga na Nanga nimetaja kidogo...
huko kote ni CCM tupu! hawajawahi kuchagua chama cha upinzani tangu wajumbe wa vijiji hadi vitongoji.Huko wao ni Chama TAWALA tu.

kwa mantiki hii, wanaodhani kuwa Chama Cha Map.. kina wakati mgumu kushinda huko wafanye utafiti wa kutosha tusijikute tunaapa bure tukamkosea Muumba!
na hayo ndiyo maeneo ambayo yanamwaga kura nyingi CCM.(siwapambi natoa uhalisia)
ili vyama vingine vishinde huko kazi ya ziada ya kunadi sera inakiwa ifanyike, la sivyo mtajikuta mnaishia kwenye ushabiki siku ziende.
KAZI IPO IGUNGA, NAFASI YA CCM BADO NI KUBWA! YOWE SIO KURA FINALI TAREHE 02.OCT.
 
Mimi nawashangaa baadhi ya watu hapa JF, bila shaka ni mapandikizi ya magamba. Ni afadhali ukaamini kuwa Mungu yupo na asikuwepo kuliko ukaamini kuwa hayupo na ukakutana naye siku ya kiyama. Ushauri wangu kwa CHADEMA, msipuuzie jambo lolote kwa hili, ila muwe na tahadhari, ili likitokea la kutokea, tuwe na solution tayari na siyo kukumbuka blanketi asubuhi.

Hamna mfano unaniudhi duniani kama ulio utoa hapo juu,...
 
taarifa sio za kupuuzia fanyieni uchunguzi maana magamba chochote waweza fanya
 
Mheshimiwa chuki kumbuka siku zote mwamba ngozi'ndo maana unajiita chuki..we endeleza nic name yako,mwenyewe ndiko nilikosomea na unachoongea ilikuwa zamani,now daiz vijana na wazee washachoshwa na porojo za jk,cheki wote wanaovaa kijani wanavyozomewa hapa igunga.
 
Safari hii patachimbika, yale mambo yaliotokea Mbeya hayatua na nafasi Igunga
 
msidharau maneno haya hayajamtoka bure , kuna kitu kinakuja, fatilia hawa walionewa hata wakiwa wawili tu inatosha.
 
Mie nimesoma Igurubi Secondary.Mkuu wetu wa shule anaitwa Mwl.Masele
Sisi ndie tunayeijua igunga,
NAWAKUMBUSHA.
ukienda maeneo ya Igurubi,Itunduru,Mwamashimba,Mwanzugi,Mwisi,Igunga na Nanga nimetaja kidogo...
huko kote ni CCM tupu! hawajawahi kuchagua chama cha upinzani tangu wajumbe wa vijiji hadi vitongoji.Huko wao ni Chama TAWALA tu.
kwa mantiki hii, wanaodhani kuwa Chama Cha Map.. kina wakati mgumu kushinda huko wafanye utafiti wa kutosha tusijikute tunaapa bure tukamkosea Muumba!
na hayo ndiyo maeneo ambayo yanamwaga kura nyingi CCM.(siwapambi natoa uhalisia)
ili vyama vingine vishinde huko kazi ya ziada ya kunadi sera inakiwa ifanyike, la sivyo mtajikuta mnaishia kwenye ushabiki siku ziende.
KAZI IPO IGUNGA, NAFASI YA CCM BADO NI KUBWA! YOWE SIO KURA FINALI TAREHE 02.OCT.
Signature yako inajibu hoja nzima!
 
Teh teh teh! LATIFA yani leo ndio nimekuona pumba, nimecheka!
Kiingereza sio Kichagga ndio unaweza kunifundisha ujui maana ya Psychiatrist, kwa kukusaidia jaribu ku-Google utafahamu maana yake, angalia sasa watu wanakucheka, jikite sana kwenye lugha yako ya Kichagga ndio unayoifahamu sawa LATIFA

Hivi Ritz mbona unapenda kukimbilia kumdhalilisha mtu ki-jinsia? sasa alikuambia anaitwa Latifa?! Hebu shambulia hoja za watu siyo kuwashambulia wenyewe! Hata kama unatetea ccm lakin kuna mambo mengine ni kujidhalilisha mwenyewe kukitetea hicho chama!
 
Mie nimesoma Igurubi Secondary.Mkuu wetu wa shule anaitwa Mwl.MaseleSisi ndie tunayeijua igunga,NAWAKUMBUSHA.ukienda maeneo ya Igurubi,Itunduru,Mwamashimba,Mwanzugi,Mwisi,Igunga na Nanga nimetaja kidogo...huko kote ni CCM tupu! hawajawahi kuchagua chama cha upinzani tangu wajumbe wa vijiji hadi vitongoji.Huko wao ni Chama TAWALA tu.kwa mantiki hii, wanaodhani kuwa Chama Cha Map.. kina wakati mgumu kushinda huko wafanye utafiti wa kutosha tusijikute tunaapa bure tukamkosea Muumba!na hayo ndiyo maeneo ambayo yanamwaga kura nyingi CCM.(siwapambi natoa uhalisia)ili vyama vingine vishinde huko kazi ya ziada ya kunadi sera inakiwa ifanyike, la sivyo mtajikuta mnaishia kwenye ushabiki siku ziende.KAZI IPO IGUNGA, NAFASI YA CCM BADO NI KUBWA! YOWE SIO KURA FINALI TAREHE 02.OCT.

Chuki, inawezekana ulisoma Igurubi zamani, enzi ya chama kimoja, hali ilikuwa hivyo kweli, lakini hebu niambie kata ya jirani yako ya Kinungu diwani wake ni wa chama gani? Kama sio Mh Adrian wa CHADEMA!

Sema Kama sio kweli kuwa katika kata hiyo inataka uwe na moyo wa ujasiri kuvaa magwanda ya kijani. Kielelezo kizuri cha wilaya ni Kata ya makao makuu ya wilaya ambayo ni kata ya Igunga, hebu sema kweli, pamoja na nguvu zote za kifedha alizokuwa nazo Rostam, alieshinda udiwani kata hiyo ya Igunga ni nani?

Kama sie Mh Vincent wa CHADEMA ambae ni seremala tu anaeshi Banda la uani baada ya kuchomewa nyumba yake? Sie kata ya Mwamashimba mgombea udiwani wa CDM alikubalika sana lakini akachakachuliwa kwa fedha za Rostam, wananchi tukakosa haki ya kuamua.

Msijidanganye pale Igurubi kwa vijidhahabu vya Mwagala, Dr Kafumu pale keshachakachua viwanja vyote pale kwa wakuja, wana Igurubi wanasubiri kumpa Salam zake kwenye sanduku la kura! Kama hatapitishwa kiaina. Au ni yale maji ya chumvi ya tanki ndo yanakupagawisha?

Wenzio hawayanywi wanaenda kuchimba yale ya visima vifupi kule chini kwenye mto uliokauka! Nenda kaangalie Igurubi hivi leo ukaone njaa ilivyopiga, dada zetu wanavyojiuza kwa bei poa kwa wachimbaji ili wapate hela ya kula, dah, pole sana chuki!
 
Chuki, ...zamani, enzi ya chama kimoja, hali ilikuwa hivyo kweli, lakini hebu niambie kata ya jirani yako ya Kinungu diwani wake ni wa chama gani? Kama sio Mh Adrian wa CHADEMA! Sema Kama sio kweli kuwa katika kata hiyo inataka uwe na moyo wa ujasiri kuvaa magwanda ya kijani. Kielelezo kizuri cha wilaya ni Kata ya makao makuu ya wilaya ambayo ni kata ya Igunga, hebu sema kweli, ...

Umepigilia msumari moto utosini, Chuki hatarudi
 
Wewe umeanza kutoa visingizio vya Kushindwa lakini baada ya Matokea CDM watatoa Visingizio hivi:<br />
1. Kulikua na Uchakachuaji Mkubwa<br />
2. CDM hatuna imani na watu wa Igunga tena<br />
3. Tulijua CCM wataiba kura<br />
4.Vijana wetu wa Chadema tuliowapeleka Igunga kutoka Tarime OCD aliwaweka ndani wote<br />
5. Igunga hawajui demokrasia ya kweli<br />
6. Hata hivyo kuchukua jimbo la mwenzako ni vigumu<br />
7. Takukuru imetuangusha CDM<br />
8. CCM wamegawa hela sana<br />
9. Tungejua Dr Slaa angesimama Igunga<br />
10. Tume ya Uchaguzi imeipendelea CCM<br />
11.Igunga hawajui maana ya Nguvu ya Umma<br />
12. Magwanda yetu yalizuiwa Mkoani Singinda hivyo yakachelewa kufika Igunga!
 
kama NATO. Tuwaambie waweke base pale nzega wakidhumulu walinde wanachi?. CDM kuweni macho mkipanic imekula kwenu.
 
Habari yako ni nzuri kwa waTZ wanaoipenda hii nchi....!!! Lakini hebu tupe wasifu wako kabisa!!! Umejitambulisha unatoka kijiji cha ndani kabisa, sasa hizi habari zote umetoa wapi?!!!
Hizi habari unaweza ukazipata sehemu mbali mbali, mojawapo ni kama wewe ulivyosoma baada ya yeye kuandika......... ACHA MAWAZO MGANDO............... AU wewe ni mmojawapo wa wanaoamini kuwa kama kitu hujui wewe basi hakipo? Wasifu wake utakusaidia nini katika hizi habari..???
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom