mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 566
The oroijino Komedi mnajishushia hadhi yenu kwa kutumiwa hasi na CCM, jueni kwamba umaarufu wenu unashuka na kupoteza mvuto kwa wapenzi wenu kama ilivyokuwa zamani. Kaeni chini mtafakari kisha mjiulize ni Watanzania wangapi wanaichukia CCM kisha idadi hiyo mtoe kwenye hesabu yenu ya zamani kabla hamjachakachuliwa Chama Cha Mafisadi (The freedom is coming tomorrow)
Mkuu,hawa jamaa wanaudhi sana,ni kweli umaarufu wao umepungua sana ukilinganisha na awali walipokuwa wanaichallenge serikali ktk mambo mengi ya msingi. Pia watu waliohudhuria ukiacha matangazo(ya nguvu) ya takribani wiki mbili pia yamechangiwa na umbumbumbu wa watu kushobokea komedi ambayo kwa waelewa ishapoteza umakini wake. Lets wait an see. Hapa mtu anaenda kuona komedi akisukumwa pia na alichopewa, mikutano ya CDM watu wanaenda voluntarily kusikiliza hoja thats the different