Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio ukabila tunaoukataza, kwamba wakenya wanatambuana na kutajana kwa makabila Yao, stupid.Jamii ya Washona nchini Kenya watapiga kura kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 9, 2022.
Kundi la kwanza la jamii hii liliwasili Kenya kutoka Zimbabwe miaka sitini iliyopita na kukupewa uraia mwaka 2020
BBC
Nyie pia mna ukabila.Huu ndio ukabila tunaoukataza, kwamba wakenya wanatambuana na kutajana kwa makabila Yao, stupid.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unakusudia makabila?Nyie pia mna ukabila.
Hawajui tofauti Kati ya "ukabila" na makabila" au "Tribalism vs tribes"Unakusudia makabila?
Ukabila haupo ulishaondolewa fasta tu baada ya kuanza kuchipuka,
Sasa tumerudi mstarini