Uchaguzi Kenya: Azam TV yatuma reporter wa kuripoti uchaguzi huo

Uchaguzi Kenya: Azam TV yatuma reporter wa kuripoti uchaguzi huo

Urban city area......... Hahhahahahah kwa dar hutoki wewe hats siku moja
nadhani hii ndio lugha mnaelewa...hehehamna tofauti na Somalia
Africa-UN.jpg
 
Pole sana tunajengwa fly over tatu za adabu kwa mpigo kumbe ulikua hujui hahahahha na zote zinaisha same period
Ubungo interchange
Tazara flyover
Tabata fly over
Hehehhehe kazi ipo tens mkae mkao wa kula
hahaaa..tuna,zita....thats the difference,kenya tuli nabado tuna... na zita...interchange zimekinai nai zinapelekwa msa kisumu naks etc..piganeni na dar bado
 
hahaaa..tuna,zita....thats the difference,kenya tuli nabado tuna... na zita...interchange zimekinai nai zinapelekwa msa kisumu naks etc..piganeni na dar bado
Nimekwambia kaeni mkao wa kula teNA mukae vzr sana hehheheehhehe
 
hii wimbo ya " ukubwa was dar chukua nairobi kusanya Mombasa kisumu" blah blah blah bullshit aileti bidii. inahitaji remix sasa na ni hii>>>
Ukubwa wa Gdp ya Kenya, chukua tanzania, rwanda, burundi, omba uganda wakusaidie kisha uniambie mumefika ngapi. bado hamuifiki Kenya.
 
hii wimbo ya " ukubwa was dar chukua nairobi kusanya Mombasa kisumu" blah blah blah bullshit aileti bidii. inahitaji remix sasa na ni hii>>>
Ukubwa wa Gdp ya Kenya, chukua tanzania, rwanda, burundi, omba uganda wakusaidie kisha uniambie mumefika ngapi. bado hamuifiki Kenya.
you nailed it man..hana idea anaongelea nni huyo
 
hii wimbo ya " ukubwa was dar chukua nairobi kusanya Mombasa kisumu" blah blah blah bullshit aileti bidii. inahitaji remix sasa na ni hii>>>
Ukubwa wa Gdp ya Kenya, chukua tanzania, rwanda, burundi, omba uganda wakusaidie kisha uniambie mumefika ngapi. bado hamuifiki Kenya.
We unaijua GDP ya tanzania 2017 unaijua?????? Na unijibu sasa hvi nikuletee facts
 
Vzr jipe moyo hvo hvo kwan miaka 10 iliopita simlikua munaongea maneno hayo jipe hopes sio mbaya ila nakupa taarifa kaeni mkao wa kula
nakupa iyo miaka kumi tukue apa apa...wenzako wameimba sana...in ten years kenya tutakua tumeipiku,bado wanaimba so u a not an exception,magu akiingia pia mlisema miaka yake mitano tu tutawaona paa...amebakisha mingapi?
 
Back
Top Bottom