Uchaguzi Kenya: Azam TV yatuma reporter wa kuripoti uchaguzi huo

Uchaguzi Kenya: Azam TV yatuma reporter wa kuripoti uchaguzi huo

Umeulizwa swali jibu kwanza kisha tukuelimishe.
Hehe umeshajua ukweli ukaruka storu... Camera mnataka ndio hii
c944396e397c89d4a28cbe45d57d5e5c.jpg
kwanza hii ni 86 iyo yenu 76
 
Mko na kelele mingi sana Mara ohh digisuper canon camera iko Tanzania pekee....ata ya Zuku ni better than iyo yenu..ya zuku 86II yenu 76 aibu kubwa sana
f5dcfb9acf5cae9d44f285d85527bda8.jpg
 
Haya dogo twende sasa. Leta hivyo vifaa maana nakuona kijasho chembamba kinatoka.
hawezi kuleta kaka.ile picha waliyo-crop kuficha some details wakidai ni digisuper ya kenya ni uongo.

ile ni digisuper ya azam TV Uganda,kwa east Africa digisuper lens zipo mbili tu.moja tz na nyingine UG na zote zinamilikiwa na azam TV.
 
Enyewe TZ mna shida kiakili? Yaani Kamera ndio inawazuzua??
Unajua mm nikikumbua Tanzania 10 yrs back ilivokua na nikikumbuka mlivokua munatutukana na kutudharau Leo hii siamini nyie tena munahaha kuhusu Tanzania lakini kipindi hicho niliwah kusema days are numbered..... Ama kweli ujanja wa sungura ndio ulimfanya Kobe kushinda😀😀😀😀😀😀
 
Yaani zilikuwa zikitumika, Zibebe jenereta, na vitu kama hivyo,
Sahi ni vitu vidogo vidogo kama unatumia technology ya kisasa
Kama hivi
OB-VAN-2.jpg
niliwapa taadhari kuwa msijaribu kuleta picha za ob van.

hata hivyo,picha uliyoleta siyo ob van ya tv ya kenya.leta ob van yenye logo ya TV ya kenya.

azam tv ina professional ob van nne,2 in dar,one in rwanda, and the other one in Uganda.itabidi ukusanye TV zote kenya ndio ushindanishe na azam TV.azam TV ndio aljazeera, CNN,bbc au fox news ya east afrika.haina mpinzani

for your information, all of these azam tv ob van are equipped with digital satellite equipments that play a big part when broadcasting live events outside the studio.

hiyo yako hata satellite dish haina.it's just a news gathering vehicle. it can't run a live broadcast.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
0cf31a6ebf1a23d3416452cdd153a577.jpg
9387758c9b3eef71a40fc8f5dfd60700.jpg
 
Unajua mm nikikumbua Tanzania 10 yrs back ilivokua na nikikumbuka mlivokua munatutukana na kutudharau Leo hii siamini nyie tena munahaha kuhusu Tanzania lakini kipindi hicho niliwah kusema days are numbered..... Ama kweli ujanja wa sungura ndio ulimfanya Kobe kushinda😀😀😀😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Back
Top Bottom