Uchaguzi Kenya: Kuuawa kwa Chriss Msando na sasa Dr Akombe kujiuzuru na kutorokea USA Nani mhusika?

Uchaguzi Kenya: Kuuawa kwa Chriss Msando na sasa Dr Akombe kujiuzuru na kutorokea USA Nani mhusika?

Chintu

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2011
Posts
5,480
Reaction score
3,526
Sisi CHADEMA tunaamini kabisa Uhuru Kenyata na serikali yake ya JUBILEE ni wanademokrasia kabisa.

Udikteta wa mauaji ya Chriss Msando manager wa ICT wa tume ya Uchaguzi Kenya siku tisa kabla ya uchaguzi wa August. Kuna Dictator asiyejulikana huko?

Dr Akombe akimbia Tume na kutorokea USA siku 8 kabla ya uchaguzi wa marudio wa tarh 26 October na kuapa kutorudi Kenya hivi karibuni - Kuna Dictator asiyejulikana Kenya?



Ugua Pole Kamanda Tundu Lissu huko Nairobi - Upo kwenye nchi ya demokrasia kwelikweli sio kama kwetu kwenye "udikteta uchwara"

Tunamshukuru LOWASA kutufundisha na kutuonesha chama rafiki huko Kenya.
 
Sisi CHADEMA tunaamini kabisa Uhuru Kenyata na serikali yake ya JUBILEE ni wanademokrasia kabisa.

Udikteta wa mauaji ya Chriss Msando manager wa ICT wa tume ya Uchaguzi Kenya siku tisa kabla ya uchaguzi wa August. Kuna Dictator asiyejulikana huko?

Dr Akombe akimbia Tume na kutorokea USA siku 8 kabla ya uchaguzi wa marudio wa tarh 26 October na kuapa kutorudi Kenya hivi karibuni - Kuna Dictator asiyejulikana Kenya?



Ugua Pole Kamanda Tundu Lissu huko Nairobi - Upo kwenye nchi ya demokrasia kwelikweli sio kama kwetu kwenye "udikteta uchwara"

Tunamshukuru LOWASA kutufundisha na kutuonesha chama rafiki huko Kenya.


FUJI WANA FANYA NASA ......WANATAKA WAJIUZULU KWA NGUVU ILI TUME IWE NA MAJALUO ..TATIZO LIWE LAO...
BASI KAMA HAYA YA NASA KUFANYA MAANDAMANO NA KUFANYA FUJO NA KUHARIBU MALI KWAKO NI SAWA....TUYAREJEE 2020 ZANZIBAR...MUKIIBA KURA BASI NI NON STOP MAANDAMANO MPAKA JECHA AHAMIE DODOMA
 
Kuna mwingine pia alikimbia immediately after August election she goes by the name Odinga.
Wakenya wanajua kupaka nyumba rangi but kiukweli ndani humo ni uozo mtupu. Jinsi walivyoipanda katiba ya 2010 utadhan nn but sasa kwenye uhalisia ni utumbo. Chapter 6 ilitosha kuwaondoa UHURUTO kugombea toka 2013 lakin ikapindishwa
 
Sisi CHADEMA tunaamini kabisa Uhuru Kenyata na serikali yake ya JUBILEE ni wanademokrasia kabisa.

Udikteta wa mauaji ya Chriss Msando manager wa ICT wa tume ya Uchaguzi Kenya siku tisa kabla ya uchaguzi wa August. Kuna Dictator asiyejulikana huko?

Dr Akombe akimbia Tume na kutorokea USA siku 8 kabla ya uchaguzi wa marudio wa tarh 26 October na kuapa kutorudi Kenya hivi karibuni - Kuna Dictator asiyejulikana Kenya?



Ugua Pole Kamanda Tundu Lissu huko Nairobi - Upo kwenye nchi ya demokrasia kwelikweli sio kama kwetu kwenye "udikteta uchwara"

Tunamshukuru LOWASA kutufundisha na kutuonesha chama rafiki huko Kenya.

Unaweza kuishia kucheka tu
 
Kenya kuna demokrasia

Uhuru Kenyatta na san sana Ruto ndio ma dikteta!!!!!....wanafaa watolewe haraka


Kibaki alikuwa Rais miaka kumi na siku ona haja ya kumchukia hivi!!!....hawa wawili wanenda mashinani wanadanganya watu hivi wanarudi mjini wanasema nyingine .....kila sekta ya nchi wana speech wameandaa kwa watu wa hyo area

Wanaenda mombasa wanasema msilipe kodi kwa serikali ya kaunti kwaajili serikali hiyo ni ya upinzani...

Wanaruka meru wanamwaga watu wao kuvuruga mikutano ya upinzani

Wanaenda North eastern wanadanganya wasomali eti wamemweka Aden Duale mtoto wao majority leader kwa parliament

Alafu 2018 utaona watakavyo mwaga majeshi garissa kuuwa wasomali na kuwaweka kwa concentration camps kule kasarani smh!!!
 
Wakenya wanajua kupaka nyumba rangi but kiukweli ndani humo ni uozo mtupu. Jinsi walivyoipanda katiba ya 2010 utadhan nn but sasa kwenye uhalisia ni utumbo. Chapter 6 ilitosha kuwaondoa UHURUTO kugombea toka 2013 lakin ikapindishwa
Katiba iko chonjo uhuru ndio haifwatilii wanaishi kishtua watu
 
Kenya kuna demokrasia

Uhuru Kenyatta na san sana Ruto ndio ma dikteta!!!!!....wanafaa watolewe haraka


Kibaki alikuwa Rais miaka kumi na siku ona haja ya kumchukia hivi!!!....hawa wawili wanenda mashinani wanadanganya watu hivi wanarudi mjini wanasema nyingine .....kila sekta ya nchi wana speech wameandaa kwa watu wa hyo area

Wanaenda mombasa wanasema msilipe kodi kwa serikali ya kaunti kwaajili serikali hiyo ni ya upinzani...

Wanaruka meru wanamwaga watu wao kuvuruga mikutano ya upinzani

Wanaenda North eastern wanadanganya wasomali eti wamemweka Aden Duale mtoto wao majority leader kwa parliament

Alafu 2018 utaona watakavyo mwaga majeshi garissa kuuwa wasomali na kuwaweka kwa concentration camps kule kasarani smh!!!

waambie awa machadema wenzangu siasa si kwa kua et magu hapendi uhuru anapenda odinga na cc lazma tusaport uhuru ukweli wanauona ila sasa zengine unafki umetujaaa
 
I guess you meant 26th Oct
Yes!!


Elections in Kenya will be in January


I thank God the military has not been politicized hope it wont ....


If it is ...that is the end of Kenya

They tried to use the military on August 8th Raila came out and issued a stern warning against it


They listened !!!!
 
Back
Top Bottom