Uchaguzi Kenya:Mahakama yashindwa kusikiliza kesi ya kuahirishwa kwa uchaguzi

Uchaguzi Kenya:Mahakama yashindwa kusikiliza kesi ya kuahirishwa kwa uchaguzi

Kama kweli uhuru amefanya njama hizo, ameingilia uhuru wa mahakama. hana tofauti na wale watu wanaofanya maandamano mabarabarani na kufanya vurugu. Kama mahakama ingeamua labda watu wangepata haki yao.

Siku hazigandi baada ya kuchaguliwa. Mchezo utarudi pale pale. kwamba matakwa ya mahakama hayakufuatwa.
 
Who cares for your blood?What we want is sitting on the "kiti cha enzi" whether it was illegitimately obtained or not that's non of our business
 
Hilo tusi mwenyewe. Unaongea kama umetoka kulala saa hii !

Waaambie Hawa wambeya wa bavicha. Hawajui wanachotaka. Wako tayari hata kuuza Nchi ili waprove point against JPM. Sasa wanaingilia ya kenya. Just forgive them ,they do not know what they doing.
 
Back
Top Bottom