Uchaguzi Kenya: Wapinzani waungana tena

Uchaguzi Kenya: Wapinzani waungana tena

There was infighting jubilee too
I heard them saying they are going for a consensus, Like the four Nairobi gubernatorial aspirants who said they are going to work on how they can share the posts! I don't bu t if they can do it! Why not CORD
 
Kenya raha jamani tuache utani wapinzani wana raha wanaongea swafi hadi stress zao zinaisha wana sema Jubilee imeiba pesa kuliko serikali zote zilizowaji ongoza Kenya ufisadi wizi miradi hewa.

Gharama za rail mpya kutoka mombasa to Nairobi ni kubwa sana ambapo Morocco same amount wamejenga rail na kununua bullet train ambayo ndio yenye kasi Africa nzima.

Hivi nasi tujaribu kicompire miradi yetu au nasi tumeibiwa kama wakenya... Kenya wamekopa pesa nyingi kwa ajili ya miradi ambayo kipindi hiki ndio Jubilee inatakiwa kuionesha ni hewa wameanza kujenga madaraja ya wapita kwa miguu na raisi anayazindua haha. Miafrica ndio tulivyo.

Tatizo la upinzani Kenya ni baada ya huo muungano wanasema hawataki kuona kiongozi Wa upinzani anaondoka kwenye siasa tamaa tu kumbe.

System ni ile ile yaani hadi Kanu naye kajiunga umoja Wa wapinzani wakiupa kwa jina la NASA.

Uchaguzi Wa Kenya utakuwa sio tena Wa kieletronic baada ya upinzani kung'ang'ania ubaki lakini Kenyatta usiku ikulu kwake akasaini Sheria ya kuhesabu kura kwa mikono.

Nawatakia kampuni salama na uchaguzi salama na Wa Amani.

Kenya oyeee
Kula kwa Laila kiti kwa uhuluto,
 
hi dr. job.
good to see that you are back after such a long time of silence.
last time i saw you being active on JF,was in 2014-2015.

karibu tena jamvini.
CC Geza Ulole Kimweri

Thanks for the welcome wagon my Tanzanian brother. ...I'm back in JF once again!!

You too had disappeared on this forum...hope all is well on your end.
 
What does this guy smoke?...Jesus!!!
he smokes the special kind of weed... I think he has one of those mental disorders that come only when the moon is closest to earth (i think its usually mid month) ... its a real disoder, I know a neighbour who used to have it..... .. someone should mark the calender on all the days he did something insane..... sometimes he says things and speakes eloquently and articulate his issues and make perfect sense. then mara nyingine utafikiri ni dople ganger wake ndo ako kwa hio possition
 
The infighting in Jubilee is not between Uhuru and Ruto on who should address last or who should be the senior. That's already sorted out, their fights is on lieutenants and limited to that.
Right now in NASA, each of those protagonists has an army of supporters who are waiting impatiently for their own to be named as the flag bearer and are getting jittery when seeing their preferred leader treated less equal when protocols are being observed.
It's a complicated quagmire that needs sorting out.
Yes...that is urs/ media interpretation

Mnaona Wetangula ameongea kabla Ya Mudavadi mnaanza ku draw ur own conclusions
1484403885933.jpg


Anyway Maybe i dnt know..May be they are confused ..atleast they are Taking their time to Agree on who they want to be their leader ..
 
he smokes the special kind of weed... I think he has one of those mental disorders that come only when the moon is closest to earth (i think its usually mid month) ... its a real disoder, I know a neighbour who used to have it..... .. someone should mark the calender on all the days he did something insane..... sometimes he says things and speakes eloquently and articulate his issues and make perfect sense. then mara nyingine utafikiri ni dople ganger wake ndo ako kwa hio possition
He is Talking about Uhuru
 
If NASA is not careful, plan and coordinate their campaigns proper, this elections may hand them a thorough beating.
They have a good theme going around corruption. They should find a way of sustaining this focus area. Get to unearth more underhand dealings in the jubilee govt.
Their test will however come in choosing their presidential candidate, and in nominations. On this, if jubilee manage to work out their digital cards well, it may give them a head start over cord.
Remember nominations are in may, 2 months to elections. If not handled well, Kenyans are known to vote more as a protest than voting for someone they love.
Worse case is with rigging in the primaries, the resultant effect may be voter apathy.
 
Yes...that is urs/ media interpretation

Mnaona Wetangula ameongea kabla Ya Mudavadi mnaanza ku draw ur own conclusions
View attachment 459911

Anyway Maybe i dnt know..May be they are confused ..atleast they are Taking their time to Agree on who they want to be their leader ..

Hehehe!! In a situation like this, media are normally all over the place, watching everything like hyenas from body language to dressing mode. A simple drop of a pen can be interpreted crazily.
 
If Jubilee register 10mn scratch that if they register 8mn hakuna haja ya elections They have already won!!...I did not know wanapea kils mse thought ni za aspirants pekee- shiet wamejipanga kweli kweli

Because they have MONEY MONEY MONEY,...stolen and accumulated from EUROBOND,NYS,etc etc.....money talks, thats why you see their venues and expensive cards etc.
 
Because they have MONEY MONEY MONEY,...stolen and accumulated from EUROBOND,NYS,etc etc.....money talks, thats why you see their venues and expensive cards etc.

Wee ishia kupiga kelele au nduruu kwa kusema pesa pesa or rather money money, that won't cause Jubilee any headache, wee endelea na kelele wakati wenzio wanatwa ushindi kilaini sana 2017
 
There was infighting jubilee too

Uhuru and Ruto no infighting, ODM wenyewe walishindwa uchaguzi wao Karasani na askari waliopandikizwa na mzee wa Nyanza! Nahurumia sana ndugu zangu the Mulembe, kama Moses siyo mbeba bendera ya NASA basi mzigo wa Abaluhya uende Jubilee au vipi.
 
Kenya sasa hivi hakuna wa kumnyooshea mwengine kuhusu ukabila, tatizo unafiki ndio zetu. Nyie hapo kwenye upinzani juzi mumemtawaza kiongozi na msemaji wa kabila bwana Mudavadi, ambaye kuna uwezekano akawa ndiye atakayelipeperusha bendera lenu, leo hii mnanyoosha kidole na kutaja ukabila.

Ukabila Kenya ulianza hata kabla ya kunyakua uhuru, mkoloni aliwagawa mababu zetu kwa misingi ya kikabila, wakati anakuja kuachia nchi, tayari kulikua na mgawanyiko. Waasisi wa Kenya nao wakaendeleza na siye vizazi vya leo tukapokea na tupo mbioni kuwapokeza watoto wetu.

Rais wa nchi ni kioo cha tulivyo, viongozi wetu wapo jinsi tulivyo. Hakuna anayeweza kushinda urais Kenya bila kucheza michezo ya ukabila. Hata huyu Uhuru na Ruto walicheza hayo ya ukabila hadi wakafika hapo. Upinzani umekua ukijaribu kucheza ukabila ule wao wa 40 against 2, yaani ukabila ni kansa iliyo dani ya damu yetu na itabidi tuishi vivyo hivyo. Hata Wakenya kama nyie mlio huko ughaibuni ndio wakabila mwanzo mwisho, mumejigawa na kuishi kwa misingi ya ukabila.

Aidha tukubali huu ugonjwa utumalize sote au turekebishe.

Ni kweli,lakini nikutaarifu tu wakikuyu wanaipenda lugha yao sana kupita kiasi hadi kero.
Mara nyingi ndio wenye idadi kubwa kwahivyo lazima wawe trend setters.
Wakiwa wakabila basi wenzao pia hufuata nyayo......yaani action leads to a reaction.....kind of leadership thing.
Utawapata mara nyingi wakiliongea kila kwenye mkusanyiko wa wakenya,hii huwatenga wenzao wasio wenye asili ya kilugha hicho cha kishamba.
Hapo ndipo mgawanyiko huanza na wengine kujitenga pia kwa makundi yao na lugha zao za kishamba.
Walio wengi mwisho wa siku ndio wenye ushawishi.
Kama tu ilivyo katika demokrasia.
Huwa natafakari sana,kungekuaje kama wangelikumbatia lugha ya kiswahili?....makabila yote madogo yange fuata nyayo.
Ni hayo tu!...nawatakia uchaguzi mwema ila msichinjane!😀😀!..msijemkatutia aibu tena kama vile ule mwaka ...nakumbuka nilivyokua naaibika mbele ya wazungu weusi/weupe yaani CNN live stream mnachinjana na kuonesha uchi wenu live aaaargh!...ilinibidi niufiche uso wangu kwa takriban mwezi mmoja hivi....wale wanakutazama machoni na kukuita tribal/ethnic village human..hahaha!
Very primitive!
 
Wee ishia kupiga kelele au nduruu kwa kusema pesa pesa or rather money money, that won't cause Jubilee any headache, wee endelea na kelele wakati wenzio wanatwa ushindi kilaini sana 2017

Kwani wakitwaa ushindi nitakufa ama wataibeba Kenya mgongoni!..nyote mpo mpo tu , mlikua sawa na Korea ya Kusini miaka 50 hivi iliyopita lakini kwa upuzi wenu,RUSHWA pamoja na UKABILA na kuchagua viongozi MAJAMBAZI/CRIMINALS bado mtakuwepokuwepo tu hata miaka 700 hivi hapo Korea itakuja kuwatwaa kama koloni lao vile.

Ethiopia ikitimiza mikakati yake bas!...wapo juu yenu na labda Tanzania wakijitahidi wana Taifa kubwa na lenye raslimali lukuki....kumbuka wao ni TAIFA(UMOJA) wala sio NCHI.
 
Jubilee wameunda Muungano wa Chama kingine ilia kuichakachua na kupunguza kura za CORD!.
Na CORD pia hawajaona hilo!!! So sad
 
Ni kweli,lakini nikutaarifu tu wakikuyu wanaipenda lugha yao sana kupita kiasi hadi kero.
Mara nyingi ndio wenye idadi kubwa kwahivyo lazima wawe trend setters.
Wakiwa wakabila basi wenzao pia hufuata nyayo......yaani action leads to a reaction.....kind of leadership thing.
Utawapata mara nyingi wakiliongea kila kwenye mkusanyiko wa wakenya,hii uwatenga wenzao wasio wenye asili ya kilugha.
Hapo ndipo mgawanyiko huanza na wengine kujitenga pia kwa makundi yao.
Walio wengi mwisho wa siku ndio wenye ushawishi.
Kama tu ilivyo katika demokrasia.
Huwa natafakari sana,kungekuaje kama wangelikumbatia lugha ya kiswahili?....makabila yote madogo yange fuata nyayo.
Ni hayo tu!...nawatakia uchaguzi mwema ila msichinjane!😀😀!..msijemkatutia aibu tena kama vile ule mwaka ...nakumbuka nilivyokua naaibika mbele ya wazungu weusi/weupe yaani CNN live stream mnachinjana na kuonesha uchi wenu live aaaargh!...ilinibidi niufiche uso wangu kwa takriban mwezi mmoja hivi....wale wanakutazama machoni na kukuita tribal/ethnic village human..hahaha!
Very primitive!

Sidhani kama njia sahihi ni kuishi tukisubiri hadi siku Wakikuyu wata-set trend. Inafaa kuibuka jamii (breed) ya Wakenya wasiosubiri kabila hili au lile ili kutengamana.

Huwa napenda sana jinsi huwa tunajadili soka ya ulaya tukiwa kitaa, yaani utakuta hamna cha Wakikuyu, Wajaluo, Wakristo au Waislamu.... tukianza kuongea kuhusu Arsenal vs Man United unakuta mashabiki hawapo kwa misingi ya matabaka ya aina yoyote ile, lakini subiri tuanze mambo ya Gor Mahia, AFC, Thika United.....

Hivyo ni jukumu la kila mmoja wetu kuchukua hatua bila kuelekeza kidole cha lawama kwa wenzie au kukaa unasubiri wenzako waanze kustaarabika kwanza ndio wewe ufuate.
 
he smokes the special kind of weed... I think he has one of those mental disorders that come only when the moon is closest to earth (i think its usually mid month) ... its a real disoder, I know a neighbour who used to have it..... .. someone should mark the calender on all the days he did something insane..... sometimes he says things and speakes eloquently and articulate his issues and make perfect sense. then mara nyingine utafikiri ni dople ganger wake ndo ako kwa hio possition

That alone means he could be GEEKY!..unlike y'all predictable common maize and beans, unpredictability means his brain rotors are superior and are cutting on both sides and directions....psychology 101.

He thinks so far outside and within the box, its scary to simple minded folks(conservatives) who almost always rush to get their pitchforks out when confronted with such!..😀😛
 
Back
Top Bottom