Uchaguzi kwa sasa duniani ni sanaa ya wana usalama wa Tz tuna shangaa nini?

Uchaguzi kwa sasa duniani ni sanaa ya wana usalama wa Tz tuna shangaa nini?

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Najuwa wengi wamesha chafuka mavumbi najuwa wengi watapiga bia nyingi majumbani mwao nakulala maana kile kimetokea kule dodoma kimewavuruga woote.
Sitaki saana kuwandika ila wakati wote intelligence huwanda sanaa na michezo ya sarakasi kuwavuruga kuanzia watawala na watawaliwa. Yes ni michezo mizuri na inalenga kazi maalumu walizo peana kwa kila unit Yes.

Shambulizi lina andaliwa ndani ya mkutano na lina zimwa ndani ya mkutano na tukitoka kila mtu anarudi 🔕 🤫 yes.

Sio kama tunavyo ona ila nikama tuonavyo na mimi sitaki kusema sana mengi yamesha semwa. Code zipo ofisi kubwa na ningumu kuzifungua unles una watu ndani ya team walio jitoa muhanga kufa kwa kutoa code yes ukitoa wanamalizana na wewe.

Democrasia ni neno zuri na lapendeza sana ila sio kama tunavyo ona vitu vimewekwa kwa mipango na code zilizo pangika. Yale tumeyaona lazima yatokee ili kuuthibitisha umma hata mwenda zake hakuwa yeye ila wao hivyo tupunguze hisia.

Nini unashanga au nini una laani hakijatokea au kimetokea hukukipenda then ask cia yes ask cia wakwambie nini walikifanya kule Usa mwaka jana kwenye uchaguzi wa Urais. Wadukuzi walidukua data na walikuwa wakitamani Joe arudi yes walitamani sana na walijuwa hivyo na alipita ila nataka nikukumbushe baada ya jina kupita na wazee wakudukua kuwa wamesha set kila kitu kuelekea uchaguzi kati kati ya mchezo mara Biden kaanguka mara ana upa upepo mkono na mwisho ikazuka minong'ono hawezi endelea kwenye kampen watu wakapiga shngwe akachaguliwa mwana mama Ambaye ndie mgombea mwenza Kamala Harris.
Ngoma ikawa ni kati ya kamala na Mwamba Trump viumbe vya cia vikiwa nauwakika Trump lazima ashinde while wadukuz wakitamani Kamala ila wasingeweza kutokana na mabadiliko ya ghafla ikawa ni hasara kwa wadukuzi while cia nyuma yapazia wakiucheka wakati.

Mchezo hule ndio umechezwa leo japo utakuwa kwa namna ya tofauti sana. Siwezi andika sana ila mchezo wa leo umewapoteza maboya watia nia ndani ya ccm yaani wamepatwa na shork yes haikuwa rahisi ila hizi ni dalili tu za mvua ila mbele kuna kazi nzito kama ilivyokuwa nzito kwenye kikao cha secret 🙊 kuja na jina la Mwinyi na Samia. Mpaka walipo funguana code

Hii picha bado ni kali sana mithili ya picha zakijasusi. Tunakupa kile unakitaka kisha tunakuja nakile sisi tunakitaka kwenye wakati huku utegemea.

Kaz nikusikiliza reaction ya wananchi pitia vyombo mbali mbali mwisho kufanya vile wanataka. Mimi naita sanaa ya ujasusi ambayo ndio kwa sasa ipo duniani. Rais ni taasisi sio mtu mkumbuke hilo.

Picha na sarakasi zimepita na kile wajuvi wamambo tumekijuwa ndicho kimetokea kachero ndio atachukua nchi. Namba mbili amekuwa smart akijuwa what next mwenzake kaendela ila wanajuwa wenyewe ila hayo mapicha mtamalizana nayo wenyewe deal done
 
Najuwa wengi wamesha chafuka mavumbi najuwa wengi watapiga bia nyingi majumbani mwao nakulala maana kile kimetokea kule dodoma kimewavuruga woote.
Sitaki saana kuwandika ila wakati wote intelligence huwanda sanaa na michezo ya sarakasi kuwavuruga kuanzia watawala na watawaliwa. Yes ni michezo mizuri na inalenga kazi maalumu walizo peana kwa kila unit Yes.

Shambulizi lina andaliwa ndani ya mkutano na lina zimwa ndani ya mkutano na tukitoka kila mtu anarudi 🔕 🤫 yes.

Sio kama tunavyo ona ila nikama tuonavyo na mimi sitaki kusema sana mengi yamesha semwa. Code zipo ofisi kubwa na ningumu kuzifungua unles una watu ndani ya team walio jitoa muhanga kufa kwa kutoa code yes ukitoa wanamalizana na wewe.

Democrasia ni neno zuri na lapendeza sana ila sio kama tunavyo ona vitu vimewekwa kwa mipango na code zilizo pangika. Yale tumeyaona lazima yatokee ili kuuthibitisha umma hata mwenda zake hakuwa yeye ila wao hivyo tupunguze hisia.

Nini unashanga au nini una laani hakijatokea au kimetokea hukukipenda then ask cia yes ask cia wakwambie nini walikifanya kule Usa mwaka jana kwenye uchaguzi wa Urais. Wadukuzi walidukua data na walikuwa wakitamani Joe arudi yes walitamani sana na walijuwa hivyo na alipita ila nataka nikukumbushe baada ya jina kupita na wazee wakudukua kuwa wamesha set kila kitu kuelekea uchaguzi kati kati ya mchezo mara Biden kaanguka mara ana upa upepo mkono na mwisho ikazuka minong'ono hawezi endelea kwenye kampen watu wakapiga shngwe akachaguliwa mwana mama Ambaye ndie mgombea mwenza Kamala Harris.
Ngoma ikawa ni kati ya kamala na Mwamba Trump viumbe vya cia vikiwa nauwakika Trump lazima ashinde while wadukuz wakitamani Kamala ila wasingeweza kutokana na mabadiliko ya ghafla ikawa ni hasara kwa wadukuzi while cia nyuma yapazia wakiucheka wakati.

Mchezo hule ndio umechezwa leo japo utakuwa kwa namna ya tofauti sana. Siwezi andika sana ila mchezo wa leo umewapoteza maboya watia nia ndani ya ccm yaani wamepatwa na shork yes haikuwa rahisi ila hizi ni dalili tu za mvua ila mbele kuna kazi nzito kama ilivyokuwa nzito kwenye kikao cha secret 🙊 kuja na jina la Mwinyi na Samia. Mpaka walipo funguana code

Hii picha bado ni kali sana mithili ya picha zakijasusi. Tunakupa kile unakitaka kisha tunakuja nakile sisi tunakitaka kwenye wakati huku utegemea.

Kaz nikusikiliza reaction ya wananchi pitia vyombo mbali mbali mwisho kufanya vile wanataka. Mimi naita sanaa ya ujasusi ambayo ndio kwa sasa ipo duniani. Rais ni taasisi sio mtu mkumbuke hilo.
Sisi wafurukutwa wao tinasema,wamalizane wenyewe.Naona suprise iliyosemwa ndio yenyewe sio.
 
Aaah Intelijensia gani sasa hapo iliyofanyika, kusema mama anatosha??😂
 
Hakuna kitu hapo ,,Bora Simba ume trend sio Ccm
 
Na 2030 waendelee na utaratibu huohuo wa kienyeji, SSH ampendekeze Mwinyi ili familia iendelee kushika hatamu.

Ushauri wangu ni mmoja tu. Demokrasia ni njia ya amani ya kufanya mabadiliko, isipokuwepo unawashawishi watu watafute njia nyingine.
 
Naona unawapa hao watu sifa wasizostahili.

Huwezi kuwa na intelligensia ya maana kwa watu wenye IQ ya 75. Ni kuwapa hype wasiyostahili.
 
Najuwa wengi wamesha chafuka mavumbi najuwa wengi watapiga bia nyingi majumbani mwao nakulala maana kile kimetokea kule dodoma kimewavuruga woote.
Sitaki saana kuwandika ila wakati wote intelligence huwanda sanaa na michezo ya sarakasi kuwavuruga kuanzia watawala na watawaliwa. Yes ni michezo mizuri na inalenga kazi maalumu walizo peana kwa kila unit Yes.

Shambulizi lina andaliwa ndani ya mkutano na lina zimwa ndani ya mkutano na tukitoka kila mtu anarudi 🔕 🤫 yes.

Sio kama tunavyo ona ila nikama tuonavyo na mimi sitaki kusema sana mengi yamesha semwa. Code zipo ofisi kubwa na ningumu kuzifungua unles una watu ndani ya team walio jitoa muhanga kufa kwa kutoa code yes ukitoa wanamalizana na wewe.

Democrasia ni neno zuri na lapendeza sana ila sio kama tunavyo ona vitu vimewekwa kwa mipango na code zilizo pangika. Yale tumeyaona lazima yatokee ili kuuthibitisha umma hata mwenda zake hakuwa yeye ila wao hivyo tupunguze hisia.

Nini unashanga au nini una laani hakijatokea au kimetokea hukukipenda then ask cia yes ask cia wakwambie nini walikifanya kule Usa mwaka jana kwenye uchaguzi wa Urais. Wadukuzi walidukua data na walikuwa wakitamani Joe arudi yes walitamani sana na walijuwa hivyo na alipita ila nataka nikukumbushe baada ya jina kupita na wazee wakudukua kuwa wamesha set kila kitu kuelekea uchaguzi kati kati ya mchezo mara Biden kaanguka mara ana upa upepo mkono na mwisho ikazuka minong'ono hawezi endelea kwenye kampen watu wakapiga shngwe akachaguliwa mwana mama Ambaye ndie mgombea mwenza Kamala Harris.
Ngoma ikawa ni kati ya kamala na Mwamba Trump viumbe vya cia vikiwa nauwakika Trump lazima ashinde while wadukuz wakitamani Kamala ila wasingeweza kutokana na mabadiliko ya ghafla ikawa ni hasara kwa wadukuzi while cia nyuma yapazia wakiucheka wakati.

Mchezo hule ndio umechezwa leo japo utakuwa kwa namna ya tofauti sana. Siwezi andika sana ila mchezo wa leo umewapoteza maboya watia nia ndani ya ccm yaani wamepatwa na shork yes haikuwa rahisi ila hizi ni dalili tu za mvua ila mbele kuna kazi nzito kama ilivyokuwa nzito kwenye kikao cha secret 🙊 kuja na jina la Mwinyi na Samia. Mpaka walipo funguana code

Hii picha bado ni kali sana mithili ya picha zakijasusi. Tunakupa kile unakitaka kisha tunakuja nakile sisi tunakitaka kwenye wakati huku utegemea.

Kaz nikusikiliza reaction ya wananchi pitia vyombo mbali mbali mwisho kufanya vile wanataka. Mimi naita sanaa ya ujasusi ambayo ndio kwa sasa ipo duniani. Rais ni taasisi sio mtu mkumbuke hilo.
Nime search jina lako mara nyingi nikijua utaandika na kweli umeandika!!

Unachowaza ndicho ninachowaza japo siamini kama kweli nchi itaenda upinzani nadhani tunaweza Rudi Tena chimwaga Kwa uteuzi mpya!!

Najua hivyo!

Operation PJLK Ile next stage iliyositishwa Sasa ipo on !

Nasubiri kuona!!
 
Hamna intelijensia yoyote hapa ni ramli tu , Mi 5 tena kwa mama!
 
Bitozo kapanick upepo wa lissu ni mkubwa mno. Lazima ajiandae mapema, mabilioni yanamwagwa tu.

Na pia mipango ya kuiba kura lazima iwekwe mapema.



Labda Mungu aingilie kati.
 
Najuwa wengi wamesha chafuka mavumbi najuwa wengi watapiga bia nyingi majumbani mwao nakulala maana kile kimetokea kule dodoma kimewavuruga woote.
Sitaki saana kuwandika ila wakati wote intelligence huwanda sanaa na michezo ya sarakasi kuwavuruga kuanzia watawala na watawaliwa. Yes ni michezo mizuri na inalenga kazi maalumu walizo peana kwa kila unit Yes.

Shambulizi lina andaliwa ndani ya mkutano na lina zimwa ndani ya mkutano na tukitoka kila mtu anarudi 🔕 🤫 yes.

Sio kama tunavyo ona ila nikama tuonavyo na mimi sitaki kusema sana mengi yamesha semwa. Code zipo ofisi kubwa na ningumu kuzifungua unles una watu ndani ya team walio jitoa muhanga kufa kwa kutoa code yes ukitoa wanamalizana na wewe.

Democrasia ni neno zuri na lapendeza sana ila sio kama tunavyo ona vitu vimewekwa kwa mipango na code zilizo pangika. Yale tumeyaona lazima yatokee ili kuuthibitisha umma hata mwenda zake hakuwa yeye ila wao hivyo tupunguze hisia.

Nini unashanga au nini una laani hakijatokea au kimetokea hukukipenda then ask cia yes ask cia wakwambie nini walikifanya kule Usa mwaka jana kwenye uchaguzi wa Urais. Wadukuzi walidukua data na walikuwa wakitamani Joe arudi yes walitamani sana na walijuwa hivyo na alipita ila nataka nikukumbushe baada ya jina kupita na wazee wakudukua kuwa wamesha set kila kitu kuelekea uchaguzi kati kati ya mchezo mara Biden kaanguka mara ana upa upepo mkono na mwisho ikazuka minong'ono hawezi endelea kwenye kampen watu wakapiga shngwe akachaguliwa mwana mama Ambaye ndie mgombea mwenza Kamala Harris.
Ngoma ikawa ni kati ya kamala na Mwamba Trump viumbe vya cia vikiwa nauwakika Trump lazima ashinde while wadukuz wakitamani Kamala ila wasingeweza kutokana na mabadiliko ya ghafla ikawa ni hasara kwa wadukuzi while cia nyuma yapazia wakiucheka wakati.

Mchezo hule ndio umechezwa leo japo utakuwa kwa namna ya tofauti sana. Siwezi andika sana ila mchezo wa leo umewapoteza maboya watia nia ndani ya ccm yaani wamepatwa na shork yes haikuwa rahisi ila hizi ni dalili tu za mvua ila mbele kuna kazi nzito kama ilivyokuwa nzito kwenye kikao cha secret 🙊 kuja na jina la Mwinyi na Samia. Mpaka walipo funguana code

Hii picha bado ni kali sana mithili ya picha zakijasusi. Tunakupa kile unakitaka kisha tunakuja nakile sisi tunakitaka kwenye wakati huku utegemea.

Kaz nikusikiliza reaction ya wananchi pitia vyombo mbali mbali mwisho kufanya vile wanataka. Mimi naita sanaa ya ujasusi ambayo ndio kwa sasa ipo duniani. Rais ni taasisi sio mtu mkumbuke hilo.
Hakuna cha ujasusi wala nini ndani ya hii CCM, hizi ni blah blah za siasa za CCM za muda wote. Hakuna kipya wala cha ajabu, hakuna Tiss wala mgambo wa upelelezi. Kifupi hakuna akili, ni fikra za mwenyekiti, angeweza hata kuanza kuziwaza hapo ukumbini na akaamuru zitekelezwe dakika hiyo hiyo.

Ni mtindo ule ule wa kuja na majina matano kwenye mfuko wa shati (alifanya Kikwete), Kuchapishwa kwa fomu moja ya kugombea urais (alifanya Magufuli) na huu wa sasa wa Samia wa kufutwa kabisa mchakato wa kugombea urais.

Kwa kuwa CCM ni taasisi iliyojaa wajinga, wanafiki, Chawa wengi, hakuna mtu wa maana miongoni mwao wa kuhoji au kupinga.
 
Najuwa wengi wamesha chafuka mavumbi najuwa wengi watapiga bia nyingi majumbani mwao nakulala maana kile kimetokea kule dodoma kimewavuruga woote.
Sitaki saana kuwandika ila wakati wote intelligence huwanda sanaa na michezo ya sarakasi kuwavuruga kuanzia watawala na watawaliwa. Yes ni michezo mizuri na inalenga kazi maalumu walizo peana kwa kila unit Yes.

Shambulizi lina andaliwa ndani ya mkutano na lina zimwa ndani ya mkutano na tukitoka kila mtu anarudi 🔕 🤫 yes.

Sio kama tunavyo ona ila nikama tuonavyo na mimi sitaki kusema sana mengi yamesha semwa. Code zipo ofisi kubwa na ningumu kuzifungua unles una watu ndani ya team walio jitoa muhanga kufa kwa kutoa code yes ukitoa wanamalizana na wewe.

Democrasia ni neno zuri na lapendeza sana ila sio kama tunavyo ona vitu vimewekwa kwa mipango na code zilizo pangika. Yale tumeyaona lazima yatokee ili kuuthibitisha umma hata mwenda zake hakuwa yeye ila wao hivyo tupunguze hisia.

Nini unashanga au nini una laani hakijatokea au kimetokea hukukipenda then ask cia yes ask cia wakwambie nini walikifanya kule Usa mwaka jana kwenye uchaguzi wa Urais. Wadukuzi walidukua data na walikuwa wakitamani Joe arudi yes walitamani sana na walijuwa hivyo na alipita ila nataka nikukumbushe baada ya jina kupita na wazee wakudukua kuwa wamesha set kila kitu kuelekea uchaguzi kati kati ya mchezo mara Biden kaanguka mara ana upa upepo mkono na mwisho ikazuka minong'ono hawezi endelea kwenye kampen watu wakapiga shngwe akachaguliwa mwana mama Ambaye ndie mgombea mwenza Kamala Harris.
Ngoma ikawa ni kati ya kamala na Mwamba Trump viumbe vya cia vikiwa nauwakika Trump lazima ashinde while wadukuz wakitamani Kamala ila wasingeweza kutokana na mabadiliko ya ghafla ikawa ni hasara kwa wadukuzi while cia nyuma yapazia wakiucheka wakati.

Mchezo hule ndio umechezwa leo japo utakuwa kwa namna ya tofauti sana. Siwezi andika sana ila mchezo wa leo umewapoteza maboya watia nia ndani ya ccm yaani wamepatwa na shork yes haikuwa rahisi ila hizi ni dalili tu za mvua ila mbele kuna kazi nzito kama ilivyokuwa nzito kwenye kikao cha secret 🙊 kuja na jina la Mwinyi na Samia. Mpaka walipo funguana code

Hii picha bado ni kali sana mithili ya picha zakijasusi. Tunakupa kile unakitaka kisha tunakuja nakile sisi tunakitaka kwenye wakati huku utegemea.

Kaz nikusikiliza reaction ya wananchi pitia vyombo mbali mbali mwisho kufanya vile wanataka. Mimi naita sanaa ya ujasusi ambayo ndio kwa sasa ipo duniani. Rais ni taasisi sio mtu mkumbuke hilo.

Picha na sarakasi zimepita na kile wajuvi wamambo tumekijuwa ndicho kimetokea kachero ndio atachukua nchi. Namba mbili amekuwa smart akijuwa what next mwenzake kaendela ila wanajuwa wenyewe ila hayo mapicha mtamalizana nayo wenyewe deal done
Makamu wa Rais 2025 ameshapendekezwa akitokea Tanganyika,
Mgombea urais ni lazima atokee visiwani, je ni Hussein Mwinyi?
 
Najuwa wengi wamesha chafuka mavumbi najuwa wengi watapiga bia nyingi majumbani mwao nakulala maana kile kimetokea kule dodoma kimewavuruga woote.
Sitaki saana kuwandika ila wakati wote intelligence huwanda sanaa na michezo ya sarakasi kuwavuruga kuanzia watawala na watawaliwa. Yes ni michezo mizuri na inalenga kazi maalumu walizo peana kwa kila unit Yes.

Shambulizi lina andaliwa ndani ya mkutano na lina zimwa ndani ya mkutano na tukitoka kila mtu anarudi 🔕 🤫 yes.

Sio kama tunavyo ona ila nikama tuonavyo na mimi sitaki kusema sana mengi yamesha semwa. Code zipo ofisi kubwa na ningumu kuzifungua unles una watu ndani ya team walio jitoa muhanga kufa kwa kutoa code yes ukitoa wanamalizana na wewe.

Democrasia ni neno zuri na lapendeza sana ila sio kama tunavyo ona vitu vimewekwa kwa mipango na code zilizo pangika. Yale tumeyaona lazima yatokee ili kuuthibitisha umma hata mwenda zake hakuwa yeye ila wao hivyo tupunguze hisia.

Nini unashanga au nini una laani hakijatokea au kimetokea hukukipenda then ask cia yes ask cia wakwambie nini walikifanya kule Usa mwaka jana kwenye uchaguzi wa Urais. Wadukuzi walidukua data na walikuwa wakitamani Joe arudi yes walitamani sana na walijuwa hivyo na alipita ila nataka nikukumbushe baada ya jina kupita na wazee wakudukua kuwa wamesha set kila kitu kuelekea uchaguzi kati kati ya mchezo mara Biden kaanguka mara ana upa upepo mkono na mwisho ikazuka minong'ono hawezi endelea kwenye kampen watu wakapiga shngwe akachaguliwa mwana mama Ambaye ndie mgombea mwenza Kamala Harris.
Ngoma ikawa ni kati ya kamala na Mwamba Trump viumbe vya cia vikiwa nauwakika Trump lazima ashinde while wadukuz wakitamani Kamala ila wasingeweza kutokana na mabadiliko ya ghafla ikawa ni hasara kwa wadukuzi while cia nyuma yapazia wakiucheka wakati.

Mchezo hule ndio umechezwa leo japo utakuwa kwa namna ya tofauti sana. Siwezi andika sana ila mchezo wa leo umewapoteza maboya watia nia ndani ya ccm yaani wamepatwa na shork yes haikuwa rahisi ila hizi ni dalili tu za mvua ila mbele kuna kazi nzito kama ilivyokuwa nzito kwenye kikao cha secret 🙊 kuja na jina la Mwinyi na Samia. Mpaka walipo funguana code

Hii picha bado ni kali sana mithili ya picha zakijasusi. Tunakupa kile unakitaka kisha tunakuja nakile sisi tunakitaka kwenye wakati huku utegemea.

Kaz nikusikiliza reaction ya wananchi pitia vyombo mbali mbali mwisho kufanya vile wanataka. Mimi naita sanaa ya ujasusi ambayo ndio kwa sasa ipo duniani. Rais ni taasisi sio mtu mkumbuke hilo.

Picha na sarakasi zimepita na kile wajuvi wamambo tumekijuwa ndicho kimetokea kachero ndio atachukua nchi. Namba mbili amekuwa smart akijuwa what next mwenzake kaendela ila wanajuwa wenyewe ila hayo mapicha mtamalizana nayo wenyewe deal done
Niwashauri tu wasaka urais ndani ya CCM subirini 2030 , hili la leo limesha pita msiwe kama fisi kudhani mkono utadondoka
 
Back
Top Bottom