rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kumbe kutoka Uganda na alshabaab? Nilijua polisi wa kenya wamebeba masanduku
Polisi ni miongoni mwa waliokamatwa na kura feki
SwadaktaUstaarabu unaazia kuiheshimu katiba yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hehehehe unajifanya hujuiWapi waliokamatwa na kura feki
Typing error polisi ni miongoni mwa waliokamatwa na kura fekiHehehehe unajifanya hujui
Sio kenya.Typing error polisi ni miongoni mwa waliokamatwa na kura feki
Uchaguzi wa kwa majirani Kenya. Je kuna mtu kafungwa ?, kuna mtu katekwa ? Kuna mtu kakosea kujaza form na kukatwa, kuna waziri kapita bila kupingwa ?! kuna mtu kabambikiwa kesi au hata mtu kapiwa risasi ? Kuna wanajeshi wamevaa nguo za polisi na kupiga watu ?, Naona aibu kua mTanzania.Ustaarabu unapimwa kwa mambo mengi. Tangu kuumbwa kwa ulimwengu kiwango cha maendeleo ya binadamu hupimwa kwa maendeleo ya ustaarabu, utu, kuthamini uhai na ustawi wa binadamu mwenzake.
Wale tuliofatilia kuanzia mchakato wa kampeni, kupitishwa wagombea na hata leo Uchaguzi mkuu ni wazi tutasema kwa kauli moja tuna la kujifunza.
Kenya iko level nyingine kabisa ya kiwango cha siasa za kidemokrasia. Sijui majirani Uganda na Rwanda wanajifunza nini.
Itoshe kusema tu Kenya wako mbele mile 1000
Tanzania haina tofauti sana na SomaliaUchaguzi wa kwa majirani Kenya. Je kuna mtu kafungwa ?, kuna mtu katekwa ? Kuna mtu kakosea kujaza form na kukatwa, kuna waziri kapita bila kupingwa ?! kuna mtu kabambikiwa kesi au hata mtu kapiwa risasi ? Kuna wanajeshi wamevaa nguo za polisi na kupiga watu ?, Naona aibu kua mTanzania.
Sahihi...incompetence na inferiority
- Taarifa iwafikie NEC, Polisi Tz, Jumuiya ya Wazazi - CCM, UVCCM.
- Incompetent wanapokuwa kwenye uongozi na tena uchaguzi; lazima watumie manguvu kwani nguvu ndio mbadala wa akili.
Sio wewe tu🤣🤣Umenikumbusha chaguzi za magufuli..